Fahamu vitu vinavyotofautisha gharama za ujenzi kwenye majengo yenye kufanana mchoro

#Pmoses95# mm nilijenga msingi wangu kwa kuzingatia vigezo vyote ulivyoeleza.
Kabla kumwaga zege la mwanzo nilitanguliza mchanga laini chini kiasi cha nchi 5 na kushindilia na kumwagilia maji. Ila juu ya msingi sikuweka ring beam, je nitegeme changamoto gani siku za usoni?
Site Location Dodoma.
 
Ulifanya Jambo jema, pia ungeboresha zaidi Kama tofali za msingi zilizo chini ya ardhi ungezi backfill kwa mchanga. Hapo usingeona athari yoyote.
 

Nashukuru kwa mada nzuri. Naomba uongee pia ujenzi unanyika eneo moja (viwanja vinafuatana) , ramani ni sawa kabisa, ukubwa wa jengo ni sawa e.g G + 5 lakini gharama zinakuwa tofauti.

Ahsante
 
Nashukuru kwa mada nzuri. Naomba uongee pia ujenzi unanyika eneo moja (viwanja vinafuatana) , ramani ni sawa kabisa, ukubwa wa jengo ni sawa e.g G + 5 lakini gharama zinakuwa tofauti.

Ahsante
Kabla ya kuliongelea hilo , naomba unifahamishe kuhusu umiliki wa hivyo viwànja. Je vinamilikiwa na mtu mmoja? Je , hizo nyumba zimejengwa na fundi mmoja?
 
Kabla ya kuliongelea hilo , naomba unifahamishe kuhusu umiliki wa hivyo viwànja. Je vinamilikiwa na mtu mmoja? Je , hizo nyumba zimejengwa na fundi mmoja?

Vyote ni vinamilikiwa na MAMLAKA (Natumaini umeelewa) Eneo LA nyumba (vyumba+ nje) ni sawa ILA ujenzi umefanywa na Kampuni mbili tofauti.

Ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…