Fahamu vitu vinavyotofautisha gharama za ujenzi kwenye majengo yenye kufanana mchoro

Blessed
 
Site ipo wapi?
Mkuu umepigwa hapo,hata Njombe kwenye rough terrain hiyo gharama haifiki

Ukubwa wa ramani ni square mitre ngapi? Labda kama unamwaga jamvi Eneo lote.

By the way pimeni viwanja kama Njombe sio kujenga uswahilini huko nyashishi
 
Nimeona leo ni post ili tusaidiane kupunguza gharama za ujenzi
2*2 fut12(isiyo ya dawa)=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2700
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=5000
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13500
1*10 fut 12 fisher board(treated)= 16500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2700
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
 
Kabla ya kuweka zege kama maandalizi ya sakafu unashauri nini kianze?

Nature ya ardhi inakama tindiga fulan hivi msimu wa mvua ni tope.

Je ninaweza kuweka Moram then ni top up na zege au nipange mawe then ni top up na zege?

Asante.
 
FAHAMU MAKISIO YA GHARAMA ZA UJENZI WA NYUMBA YAKO (+255-657-685-268)

Fahamu gharama ujenzi wa nyumba yako kwa kila steji kama MSINGI, KUTA, PAA, RANGI, DARI, MAJI, UMEME... ili uweze fanya tathimini ya uwezo wako kama upo chini au juu sanaaa na uanze kuweka mipango mikakati vyema ya kuweza kufanikisha ujenzi wa nyumba yako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…