KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Ujumbe ulionao moyo wangu ni ule wa kukupendeza na ni furaha yako.!Huo moyo ambao una mvurugano mkuu una ujumbe tena[emoji2297][emoji2297][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujumbe ulionao moyo wangu ni ule wa kukupendeza na ni furaha yako.!Huo moyo ambao una mvurugano mkuu una ujumbe tena[emoji2297][emoji2297][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwamba unataka kunitumia tumilioni tungapi? Maana hiyo ndio furaha yangu.Ujumbe ulionao moyo wangu ni ule wa kukupendeza na ni furaha yako.!
ahaaa sijakuelewaa mkuu, kwamba nielezee siku za hedhi kwa kila mwanamke??
Ile cycle huwa na makadirio ya jumla tu, kwamba inachukua siku tatu hadi sita, then zinakuja siku 13 sijui zinafuata ngapi, kwa mtindo huo yaani.ahaaa sijakuelewaa mkuu, kwamba nielezee siku za hedhi kwa kila mwanamke??
Tumilioni tu tatu na nusu! Kubali Kwanza ombi langu la moyoni.. ninayo hali ya kukupenda moyoni mwangu!,nidumu nawe kwa enzi tupeane mapenzi kwa tuo la utenzi,nikuvalishe na penzi usiwakumbuke washenzi... Kikubwa njoo kwa kenzy moyo wako niuenzi sio kwa tungo tu bali kwa utepe wa shekeli..😊Kwamba unataka kunitumia tumilioni tungapi? Maana hiyo ndio furaha yangu.
ahaaa mkuu nimeshakuelewaa nao sijatulia vizuri nitakuelezea tu na mengine ukitaka nitakuelezeaa tu, kama una maswali kuhusu minyanduo na psychology ya kunyanduanaa usisitee kuniulizaaa.Ile cycle huwa na makadirio ya jumla tu, kwamba inachukua siku tatu hadi sita, then zinakuja siku 13 sijui zinafuata ngapi, kwa mtindo huo yaani.
Wacha bwana!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tumilioni tu tatu na nusu! Kubali Kwanza ombi langu la moyoni.. ninayo hali ya kukupenda moyoni mwangu!,nidumu nawe kwa enzi tupeane mapenzi kwa tuo la utenzi,nikuvalishe na penzi usiwakumbuke washenzi... Kikubwa njoo kwa kenzy moyo wako niuenzi sio kwa tungo tu bali kwa utepe wa shekeli..[emoji4]
Nipo nyuma ya pazia, nakusanya hints.Tarehe 20s hamu huwa zinamwagikia....
Sema neno mrembo,Sitaki nikuvishe mkataba wa temboWacha bwana!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
@ERoni hebu niambie nimjibu nini huyu mtoto?Sema neno mrembo,Sitaki nikuvishe mkataba wa tembo
Itika napokuita,sema nami nitakushika!
Nipo nayatazama macho yako kwa hulka!, taratibu nazitazama lips zako nzuri zisizokauka! Kapua kako kameumbika Kama katoto kasiko pilika!.. sema nami bibie,sema nami niseme nawe..[emoji4]
Umeanza umbea sasa!! Haya msubiri huyo member aje akutolee uamuzi!..😎@ERoni hebu niambie nimjibu nini huyu mtoto?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umeanza umbea sasa!! Haya msubiri huyo member aje akutolee uamuzi!..[emoji41]
Poaahaaa mkuu nimeshakuelewaa nao sijatulia vizuri nitakuelezea tu na mengine ukitaka nitakuelezeaa tu, kama una maswali kuhusu minyanduo na psychology ya kunyanduanaa usisitee kuniulizaaa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hili nalo litakuwa ni suala la kisaikolojiaPia tarehe za mishahara hamu zinakuaga juu sana, sijui hormones nazo zinajuaje hizo siku.
Sio hormones kweli?😁[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hili nalo litakuwa ni suala la kisaikolojia
Pia tarehe za mishahara hamu zinakuaga juu sana, sijui hormones nazo zinajuaje hizo siku.