kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,080
- 4,914
Kwa Africa ni nadra Sana kukuta msanii ana 1m followers hadi sasa ni wasanii watatu tu ndo wenywe followers 1m Instagram ambao ni Diamond, Davido na Wiz Kid
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo anamashabiki dunia nzima, sio EA pekee... hata hawa makimbukeni wanaopiga kelele kuhusu Diamond na CCM wapo wachache sana na asilimia kubwa ni team coming soon, Ukawa tunaojielewa tupo team diamond team ushindi sio malimbukeni wa siasa kutaka kila mtu awe upande wako...
Minyoosho inaendelea
Mahbatein
Mahbath
Mahabaa
Mahababuba....
Hatariiii mpaka nakuogopa.
Kwani ukawa hawajamu unfollow??? au walikuwa wachache???
Kwani ukawa hawajamu unfollow??? au walikuwa wachache???