Dogo anamashabiki dunia nzima, sio EA pekee... hata hawa makimbukeni wanaopiga kelele kuhusu Diamond na CCM wapo wachache sana na asilimia kubwa ni team coming soon, Ukawa tunaojielewa tupo team diamond team ushindi sio malimbukeni wa siasa kutaka kila mtu awe upande wako...
Minyoosho inaendelea
Mahbatein
Mahbath
Mahabaa
Mahababuba....
Hatariiii mpaka nakuogopa.
Kwani ukawa hawajamu unfollow??? au walikuwa wachache???
Kwani ukawa hawajamu unfollow??? au walikuwa wachache???