Fahamu ya kwamba kiarabu sio uisalamu

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
Watu wengi wakisikia mtu anaongea kiarabu anasema yule muislamu sio kweli (kiarabu ni lugha kama lugha nyinginezo Duniani sema maneno ya yaliyoandikwa kwa Quran yameandikwa kwa lugha ya kiarabu so TUELEWANE.

Bible yenyew imetafsriwa kwa lugha ya nyingi sana .
Sipo kwa kuongelea dini mimi hapa me nipo hapa kuongelea kiarabu...
 
Mbona unarudia mule mule??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…