Fahamu zaidi kuhusu Brevis?

Fahamu zaidi kuhusu Brevis?

KIMOMWEMOTORS

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2018
Posts
358
Reaction score
675
Mwingine kaulizia iwapo anaweza kuchukua Brevis au la.

Kwa mtu ambaye hafaham chochote kuhusu gari hii akiniomba ushauri nitamuelekeza yafuatayo na kumpa wazo mbadala la gari ambazo zinaendana na gari hii kama ifuatavyo:

Brevis ina sifa ya kuwa gari nzuri ya Saloon yenye uwezo wa safari ndefu ambayo ilitengenezwa mwanzo mwa mwaka 2000 kabla hayajatoka matoleo mengine yanayofanana na hii kwenye injini kama Mark X na baadae Crown.

Ni gari yenye Cc 2500 na ambayo kama utaitunza vizuri kwa kuatisha service zake basi itakutunza pia.

Changamoto ya gari hii kubwa ninkwenye mafuta, mfumo wake wa injini sio rafiki kwenye kubana matumizi makubwa ya mafuta haswa kama unaishi mkoa wenye foleni kubwa, lakini pia unaponunua gari hii kwa gharama kubwa leo utakapohitaji kuiuza baada ya muda fulani thamani yake huwa inaporomoka sana kwa kuwa watu wengi kwa sasa hawapendi gari zenye matumizi makubwa ya mafuta kama Brevis. Iwapo huwazi kuja kuiuza basi unaweza kuinunua na itakufaa zaidi kwenye safari ndefu, ila iwapo utafikiria kuiuza vizuri ujiandae kisaikolojia kuuza kwa bei ya chini sana ikilinganishwa na aina nyingine za magari.

Iwapo unataka gari ambayo inafanania ndani na hii na ambayo pia inaweza safari vizuri lakini hutumia mafuta ya wastani basi nitakushauri Mark 2 GX 110 yenye CC 2000. Lakini pia kama utata kutunza zaidi thamani ya pesa yako na kuuza gari hiyo kwa haraka na bei nzuri basi nitakushauri upate Premio ya CC 1800 injini ya 1ZZ ambayo ni Vvti.

Hizi gari zote yaani Brevis, Mark 2 na Premio zina gharama inayoshabihiana unapoziagiza. Kwa wastani zote huanzia 12.3m ingawa Premio muda mwingine hushuka zaidi.
 
KIMOMWEMOTORS,

Brevis nimeshawahi kuimiliki, inafaa zaidi kama mtumiaji anasafiri sana kwenda mikoa mbalimbali, na haifai katika miji yenye foleni za magari barabarani, na ni gari isiyohitaji mmiliki awe bahiri.
 
Mwingine kaulizia iwapo anaweza kuchukua Brevis au la.

Kwa mtu ambaye hafaham chochote kuhusu gari hii akiniomba ushauri nitamuelekeza yafuatayo na kumpa wazo mbadala la gari ambazo zinaendana na gari hii kama ifuatavyo:

Brevis ina sifa ya kuwa gari nzuri ya Saloon yenye uwezo wa safari ndefu ambayo ilitengenezwa mwanzo mwa mwaka 2000 kabla hayajatoka matoleo mengine yanayofanana na hii kwenye injini kama Mark X na baadae Crown.

Ni gari yenye Cc 2500 na ambayo kama utaitunza vizuri kwa kuatisha service zake basi itakutunza pia.

Changamoto ya gari hii kubwa ninkwenye mafuta, mfumo wake wa injini sio rafiki kwenye kubana matumizi makubwa ya mafuta haswa kama unaishi mkoa wenye foleni kubwa, lakini pia unaponunua gari hii kwa gharama kubwa leo utakapohitaji kuiuza baada ya muda fulani thamani yake huwa inaporomoka sana kwa kuwa watu wengi kwa sasa hawapendi gari zenye matumizi makubwa ya mafuta kama Brevis. Iwapo huwazi kuja kuiuza basi unaweza kuinunua na itakufaa zaidi kwenye safari ndefu, ila iwapo utafikiria kuiuza vizuri ujiandae kisaikolojia kuuza kwa bei ya chini sana ikilinganishwa na aina nyingine za magari.

Iwapo unataka gari ambayo inafanania ndani na hii na ambayo pia inaweza safari vizuri lakini hutumia mafuta ya wastani basi nitakushauri Mark 2 GX 110 yenye CC 2000. Lakini pia kama utata kutunza zaidi thamani ya pesa yako na kuuza gari hiyo kwa haraka na bei nzuri basi nitakushauri upate Premio ya CC 1800 injini ya 1ZZ ambayo ni Vvti.

Hizi gari zote yaani Brevis, Mark 2 na Premio zina gharama inayoshabihiana unapoziagiza. Kwa wastani zote huanzia 12.3m ingawa Premio muda mwingine hushuka zaidi.

Zaidi wasiliana nasi Kimomwe Motors (T) Ltd kwa 0746267740 au Tembelea Ofisi za Dar na Mbeya

Wacha kutuaminisha brevis inakula wese jingi sasa unataka gari yenye tani moja na nusu itumie wese kiasi gani ...tatizo ni nyie watu wa IST kutaka brevis ile mafuta kama ist ...na huwezi sikia white man anasema brevis inabwia wese
 
Nauli;
1.Gari yenye cc kubwa e.g 2490 ulaji wa mafuta ni mkubwa kuliko wa gari la cc ndogo eg 1990?
2.Nini faida ya kuwa na gari ya cc kubwa ? Kwa kulinganisha magari yenye muonekano na seat capacity sawa
 
Mwingine kaulizia iwapo anaweza kuchukua Brevis au la.

Kwa mtu ambaye hafaham chochote kuhusu gari hii akiniomba ushauri nitamuelekeza yafuatayo na kumpa wazo mbadala la gari ambazo zinaendana na gari hii kama ifuatavyo:

Brevis ina sifa ya kuwa gari nzuri ya Saloon yenye uwezo wa safari ndefu ambayo ilitengenezwa mwanzo mwa mwaka 2000 kabla hayajatoka matoleo mengine yanayofanana na hii kwenye injini kama Mark X na baadae Crown.

Ni gari yenye Cc 2500 na ambayo kama utaitunza vizuri kwa kuatisha service zake basi itakutunza pia.

Changamoto ya gari hii kubwa ninkwenye mafuta, mfumo wake wa injini sio rafiki kwenye kubana matumizi makubwa ya mafuta haswa kama unaishi mkoa wenye foleni kubwa, lakini pia unaponunua gari hii kwa gharama kubwa leo utakapohitaji kuiuza baada ya muda fulani thamani yake huwa inaporomoka sana kwa kuwa watu wengi kwa sasa hawapendi gari zenye matumizi makubwa ya mafuta kama Brevis. Iwapo huwazi kuja kuiuza basi unaweza kuinunua na itakufaa zaidi kwenye safari ndefu, ila iwapo utafikiria kuiuza vizuri ujiandae kisaikolojia kuuza kwa bei ya chini sana ikilinganishwa na aina nyingine za magari.

Iwapo unataka gari ambayo inafanania ndani na hii na ambayo pia inaweza safari vizuri lakini hutumia mafuta ya wastani basi nitakushauri Mark 2 GX 110 yenye CC 2000. Lakini pia kama utata kutunza zaidi thamani ya pesa yako na kuuza gari hiyo kwa haraka na bei nzuri basi nitakushauri upate Premio ya CC 1800 injini ya 1ZZ ambayo ni Vvti.

Hizi gari zote yaani Brevis, Mark 2 na Premio zina gharama inayoshabihiana unapoziagiza. Kwa wastani zote huanzia 12.3m ingawa Premio muda mwingine hushuka zaidi.

Zaidi wasiliana nasi Kimomwe Motors (T) Ltd kwa 0746267740 au Tembelea Ofisi za Dar na Mbeya

Premio hushuka zaidi au hupanda zaidi ??🤔 Premio ya 2008 kupanda bei yake utafananisha na brevis?? Premio ni bei ghali zaidi
 
Wacha kutuaminisha brevis inakula wese jingi sasa unataka gari yenye tani moja na nusu itumie wese kiasi gani ...tatizo ni nyie watu wa IST kutaka brevis ile mafuta kama ist ...na huwezi sikia white man anasema brevis inabwia wese
Brother!always you are so negative,try to be fair and understanding sometimes-it will make a lot of sense.
 
Back
Top Bottom