Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku

Nishajibu hilo swali la kufatilia mkuu au ubongo kichwa cha panzi? Maana maswali yako unayarudia rudia tu.
Mimi pia mtumiaji wa Twitter pia naona details za watu nisio waFollow ila sio kwa kihasi icho Boss.

Acha kubadili rangi kama kinyonga.
 
Mimi pia mtumiaji wa Twitter pia naona details za watu nisio waFollow ila sio kwa kihasi icho Boss.

Acha kubadili rangi kama kinyonga.
Una kichwa kizito sana.

Kama bado hujafunguka akili kwa hiyo mifano uliyopewa, basi unastahili kutapeliwa.
 
Teh teh teh mkuu Asante sana kwa kuliona hili..

Hawa watu ujanja wao iko siku utakuja kuwatokea puani..
 
Ontario ni tapeli tu...twitter kasema miezi michache iliyopita alikuwa anakaa hostel kimara hana kitu halafu mtu anakuja humu kumtetea
Teh teh teh teh mkuu kumbe huyo Dan Pol ndo walewale..
 
Hahahah daah mamamae,habari naomba uitoe hio picha tafadhali.

Simple tu,motivation speaker akala kona fasta tu,hahahah.

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Teh teh teh teh mchizi wangu akujibiwa kitu akaambulia block tu..

Huyu dogo mpaka Magufuli atoke madarakani atawanyoosha sana vichwa panzi..
 
Sikuona hii post nyumba ya nani.
Huyo tapeli Ontario aliandika kwenye mitandao kwamba hiyo nyumba kawajengea wazazi wake.

Kwa bahati tu, jamaa ambaye wazazi wake ndio wamiliki wa hiyo nyumba akaona hiyo post ya huyo tapeli, jamaa akamfata tu DM kwa ustaarabu, atoe hiyo picha. Aliambulia block tu..
 
Acha wajinga wapigwe mkuu,bila wajinga wajinga hii dunia isingekua tamu mzee baba.
 
Teh teh teh teh mchizi wangu akujibiwa kitu akaambulia block tu..

Huyu dogo mpaka Magufuli atoke madarakani atawanyoosha sana vichwa panzi..
Hahah tangu aseme alikodisha sijui tractor kwa siku 30 na akapata mil 30 kama faida nilijua tu huyu ni tapeli per se.

Ila kuna siku huyu jamaa haya mambo yatakuja kumkalia hovyo watampa kesi za utakatishaji.
 
Ni jamaa yako mwenye nyumba yao.
 
Hahah tangu aseme alikodisha sijui tractor kwa siku 30 na akapata mil 30 kama faida nilijua tu huyu ni tapeli per se.

Ila kuna siku huyu jamaa haya mambo yatakuja kumkalia hovyo watampa kesi za utakatishaji.
Kesi ya utakatishaji inakuwaje mkuu.
 
Vimoradi miradi hivi vya sungura mara sijui samaki mara kuku mara nyanya huwa siviamini, ni bora ifanye mwenyewe at your own pace na kujijengea uwezo taratibu, asije mtu akaja kukupa plan ya kuingiza hela haraka haraka, ni utapeli tu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wasiwasi ndio akili.
Miaka ya katikati hapo walijitokeza wa kware na mayai yake wakapotea,baadae wakaja wa sungura mafundi seremala hapa nao walineemeka sana kutengeneza mabanda ya kuhamishika wakapotea,sasa hv ndio amekuja huyu mr kuku.
Huyu Mr. kuku alichofanikiwa ni ile kuwapa urahisi wateja wake yaani ukishatoa hela mara 1 wewe unalala tu nyumbani kisha tarehe zikifika muhamala unasoma.
 
Habari za leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…