Mimi pia mtumiaji wa Twitter pia naona details za watu nisio waFollow ila sio kwa kihasi icho Boss.Nishajibu hilo swali la kufatilia mkuu au ubongo kichwa cha panzi? Maana maswali yako unayarudia rudia tu.
Una kichwa kizito sana.Mimi pia mtumiaji wa Twitter pia naona details za watu nisio waFollow ila sio kwa kihasi icho Boss.
Acha kubadili rangi kama kinyonga.
Acha wenge wewe mi nimeuliza tu usiropoke siku nyingine
Acha wenge wewe mi nimeuliza tu usiropoke siku nyingine
Wanataka ku download pesa kirahisi rahisi!Tatizo watanzania tunapenda vitonga sanaaaaa,,, Yaani tunataka kuingiza pesa tukiwa ghetto tumelala
Itakuwa unatatatizo kwenye Ombwe.Una kichwa kizito sana.
Kama bado hujafunguka akili kwa hiyo mifano uliyopewa, basi unastahili kutapeliwa.
Teh teh teh mkuu Asante sana kwa kuliona hili..Wakuu msiumize vichwa ,Ontario ni Tapeli Mjanja mjanja kwa watu ambao hawana upeo lazima awaingize king,Ontario kaanzisha Shindano la kujishindia laki 1 kwa watu 10 ,mmoja wa washindi ni Dan Pol na ametaja sifa nyingi sana za Dan Pol mpaka akampa laki 1 ,ukichunguza utajua tu Dan Pol ni Ontario mwenyewe.
Majibu unayo mkuu, au mwambieni asogee tena kupiga picha happy aone kitakachomkuta teh teh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]basi sawa mzee kwaiyo jamaa katuchuuuza
Teh teh teh teh mkuu kumbe huyo Dan Pol ndo walewale..Ontario ni tapeli tu...twitter kasema miezi michache iliyopita alikuwa anakaa hostel kimara hana kitu halafu mtu anakuja humu kumtetea
Hahahah daah mamamae,habari naomba uitoe hio picha tafadhali.
Ilikua inahitaji unabii wowote ule kuona kwamba mr. Kuku ni project ya kitapeli?Mkuu wewe ni nabii?
Teh teh teh teh mchizi wangu akujibiwa kitu akaambulia block tu..Hahahah daah mamamae,habari naomba uitoe hio picha tafadhali.
Simple tu,motivation speaker akala kona fasta tu,hahahah.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Huyo tapeli Ontario aliandika kwenye mitandao kwamba hiyo nyumba kawajengea wazazi wake.Sikuona hii post nyumba ya nani.
Acha wajinga wapigwe mkuu,bila wajinga wajinga hii dunia isingekua tamu mzee baba.Jamaa sijaelewa kwanini ameuliza hilo swali ,hajui Ontario anasema yeye kwamba ni tajiri anaingiza mil 100 forex ,ana mashamba kibao ya mipapai ,ana mashamba ya mkonge mengi tu , ana biashara za kuku kibao ,ana miliki mandinga ya maana ,mijengo kibao ,amewajengea wazazi nyumba ya ghorofa lakini alikuwa amepanga mikocheni usd 1000 kodi ikamshinda akaenda kupanga hostel kwa elfu 40,swali kwanini asingeenda kukaa moja ya nyumba zake wakati akijipanga? Kama ana hela nyumba zake obvoius zitakuwa prime areas!
Hahah tangu aseme alikodisha sijui tractor kwa siku 30 na akapata mil 30 kama faida nilijua tu huyu ni tapeli per se.Teh teh teh teh mchizi wangu akujibiwa kitu akaambulia block tu..
Huyu dogo mpaka Magufuli atoke madarakani atawanyoosha sana vichwa panzi..
Ni jamaa yako mwenye nyumba yao.Huyo tapeli Ontario aliandika kwenye mitandao kwamba hiyo nyumba kawajengea wazazi wake.
Kwa bahati tu, jamaa ambaye wazazi wake ndio wamiliki wa hiyo nyumba akaona hiyo post ya huyo tapeli, jamaa akamfata tu DM kwa ustaarabu, atoe hiyo picha. Aliambulia block tu..
Kesi ya utakatishaji inakuwaje mkuu.Hahah tangu aseme alikodisha sijui tractor kwa siku 30 na akapata mil 30 kama faida nilijua tu huyu ni tapeli per se.
Ila kuna siku huyu jamaa haya mambo yatakuja kumkalia hovyo watampa kesi za utakatishaji.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wasiwasi ndio akili.Vimoradi miradi hivi vya sungura mara sijui samaki mara kuku mara nyanya huwa siviamini, ni bora ifanye mwenyewe at your own pace na kujijengea uwezo taratibu, asije mtu akaja kukupa plan ya kuingiza hela haraka haraka, ni utapeli tu
Habari za leoUtapeli wake uko wapi?
Ana mwaka wa tatu akiendesha mradi wake kwa mfumo huohuo, je ana rekodi ya kumtapeli mtu yeyote?
Uwekezaji ni lazika uwe wa kampuni za soda, beer au na bank? Kwamba uwezekaji kwenye ufugaji sio sahihi?
Je, kampuni kubwa ambazo watu wanawekeza huwa hazifilisiki?
Huyu bwana angehukumiwa kwa matumizi ya pesa za wawekezaji na sio kuweka general comments kwamba ni tapeli bila kueleza utapeli wake. Mbona hii mifumo inafanyika hata kwenye vikundi vyetu (formal na informal). Tunachangishana pesa na kuwekeza kwenye kilimo na miradi mingine kisha tunagawana faida.
Je, pesa anayokusanya anaiwekeza kwenye miradi inayohusiana na kuku au hakuna biashara yoyote ya Kuku na anafanya PONZI SCHEME?
Huyu bwana hayuko Ulaya, yuko Kigamboni na ana ofisi plus mashamba ya kuku, YENYE KUKU. Kabla hujaharibu biashara na miradi ya watu mtandaoni uende kwaza ukajiridhishe. GNLD na FOREVER LIVING nao walitukanwa sana kwamba wanafanya utapeli lakini mpaka leo wapo wanapiga mzigo.
Sent using Jamii Forums mobile app