Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku

Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku

Nianze na la UPATU

SCENARIO ONE ;

Upatu una operate hivi.... Tufanye mwezi January alikusanya milioni 200 hawa watu watahitaji kulipwa mwezi wa nne/tano kulinga na tarehe walizowekeza.

Maana yake

Faida = 70% ya 200m ni 140m...faida milioni 140

UWEKEZAJI 200m

Jumla itabidi awalipe milioni 340.

Hela ya kuwalipa hawa wawekezaji ni michango mipya iliyokusanywa kati ya February na May.

Kwanini MICHANGO MIPYA

SABABU KUU JAMAA ALIKUWA ANAWEKEZA SO HELA YA WAWEKEZAJI WALIYOLIPWA UNAKUTA HAIJA MATERIALIZE KUTOA FAIDA.....

UNANUNUA KIWANJA
UNAJENGA MABANDA
UNAJENGA KIWANDA CHA CHAKULA
UNAFUNGUA OFISI
UNANUNUA MEANS OF TRANSPORT...

HIYO HELA HAIRUDI.


SCENARIO TWO

Je mbona mr kuku alikuwa anafuga kuku na wawekezaji walioneshwa mabanda?

Swali hili linatupa scenario ya pili, kwasababu faida ya kuku haiwezi kuwa 70% miezi 4 na mradi una risk mbali mbali.

Assumptions

Alipochukua 200m alifanya biashara akapata faida (Sijasema kuku hawama faida, wana faida ndio maana NAFUGA) Tufanye alipate bei gani[emoji28]

Fanya hiyo assuming ya faida (....) Kwasababu nimeonesha pale juu kuwa huwezi kupata 70% miezi 4 basi kitakachopelea anajazia michango mipya.

Akipata faida 50% anakuwa na 100m + initial investment 200m inakuwa 300m ana deficit ya 40m anajazia michango mipya.
Mkuu nimesoma post zako nyingi, unahangaika bure kumuelimisha huyu fala. Watanzania wanatakiwa waachwe wapigwe tu ndo watie akili. Mi nimeelimisha watu tangu Tiansh,Q-net, D-9, Amazon.co.uk etc na bado mafala hayaishi. Acha wapigwe tu ndo akili ziwarudi. Na hizo billion 17 za Mr.Kuku natamani serikali ikajengee Zahanati mikoani ndo watu wajue hakuna shortcut wajifunze namna sahihi ya kuwekeza kwa kutumia akili.
 
Kumbe munajuana ndio maana kakupa lakimoja.
Juzi juzi kapiga picha yupo kwenye shamba la watu la mapapai anajifanya ni lake kuna mtu anamuhoji anasema ana ekari karibu 500 za mipapai anatoa somo hahahaa nikacheka sana , Ontario kashaonja pesa ya utapeli hawezi kuacha utapeli....Yaani anapiga picha kiujanja ujanja ili hata kama eneo ni lako ni ngumu kulijua maana anaficha ficha uhalisia halisi ,anasema tu hapa ni mwanzo linaenda hadi kule halafu hawamove kabisa!! Hapo atataka kufanya elimu ya kupanda mipapai watu watatoa pesa na kusepa na kijiji.
 
Hawa hawana tofauti na Namaingo acha kuwatetea...
Ahahahahahahahah.Namaingo washenzi wale walinipiga 250,000/= mwaka 2015 toka hapo akilibyangu ikakaa sawa sitakaa kuingizwa mjini kizembe tena.

Ofcz dat time ndio nina miaka michache toka chuo na sina ishu ya maana sobi wqs desparate kuhus pesa.

Honestly masikin yuko kwenye risk kubw sana ya kuibiwa kuliko mtu mwenye kipato chake.
 
Ahahahahahahahah.Namaingo washenzi wale walinipiga 250,000/= mwaka 2015 toka hapo akilibyangu ikakaa sawa sitakaa kuingizwa mjini kizembe tena.

Ofcz dat time ndio nina miaka michache toka chuo na sina ishu ya maana sobi wqs desparate kuhus pesa.

Honestly masikin yuko kwenye risk kubw sana ya kuibiwa kuliko mtu mwenye kipato chake.
Mimi wale niliwastukia mapema maana their stories were good to be true yani, kuna rafiki yangu alipigwa 600000 akaungwa na mwingine mwingine alikutana naye huko akapigwa tena zaidi ya milion 30 eti kwa biashara ya kuku
 
Utapeli wake uko wapi?

Ana mwaka wa tatu akiendesha mradi wake kwa mfumo huohuo, je ana rekodi ya kumtapeli mtu yeyote?

Uwekezaji ni lazika uwe wa kampuni za soda, beer au na bank? Kwamba uwezekaji kwenye ufugaji sio sahihi?

Je, kampuni kubwa ambazo watu wanawekeza huwa hazifilisiki?

Huyu bwana angehukumiwa kwa matumizi ya pesa za wawekezaji na sio kuweka general comments kwamba ni tapeli bila kueleza utapeli wake. Mbona hii mifumo inafanyika hata kwenye vikundi vyetu (formal na informal). Tunachangishana pesa na kuwekeza kwenye kilimo na miradi mingine kisha tunagawana faida.

Je, pesa anayokusanya anaiwekeza kwenye miradi inayohusiana na kuku au hakuna biashara yoyote ya Kuku na anafanya PONZI SCHEME?

Huyu bwana hayuko Ulaya, yuko Kigamboni na ana ofisi plus mashamba ya kuku, YENYE KUKU. Kabla hujaharibu biashara na miradi ya watu mtandaoni uende kwaza ukajiridhishe. GNLD na FOREVER LIVING nao walitukanwa sana kwamba wanafanya utapeli lakini mpaka leo wapo wanapiga mzigo.



Sent using Jamii Forums mobile app
Leo una lolote la kutuambia?ĺ
 
Hawa hawana tofauti na Namaingo acha kuwatetea...
Ahahahahahahahah.Namaingo washenzi wale walinipiga 250,000/= mwaka 2015 toka hapo akilibyangu ikakaa sawa sitakaa kuingizwa mjini kizembe tena.

Ofcz dat time ndio nina miaka michache toka chuo na sina ishu ya maana sobi wqs desparate kuhus pesa.

Honestly masikin yuko kwenye risk kubw sana ya kuibiwa kuliko mtu mwenye kipato chake.
 
Mimi wale niliwastukia mapema maana their stories were good to be true yani, kuna rafiki yangu alipigwa 600000 akaungwa na mwingine mwingine alikutana naye huko akapigwa tena zaidi ya milion 30 eti kwa biashara ya kuku
Aisee..Mkuu pole kwake ila anapigwaje 30m.Mbona kwahiyo amount angeweza ku establish projevt yake kubwa tu.Bonge ya poutry farm na chenji ingebaki ya kufanya mengine.

Binafsi niliwapenda wale jamaa idea yao ila baada ya kupigwa nikajipa muda ila nikaapa lazima nifanye ile kitu na nikaanza kikawaida kabisaa bila stress.

Kwel kosa pesa usikose akil.
 
Aisee..Mkuu pole kwake ila anapigwaje 30m.Mbona kwahiyo amount angeweza ku establish projevt yake kubwa tu.Bonge ya poutry farm na chenji ingebaki ya kufanya mengine.

Binafsi niliwapenda wale jamaa idea yao ila baada ya kupigwa nikajipa muda ila nikaapa lazima nifanye ile kitu na nikaanza kikawaida kabisaa bila stress.

Kwel kosa pesa usikose akil.
Yani alianzisha project ya kuku aliinvest ela nyingi sana mzee na huyo aliyempiga alimwambia vifaranga anunue kwake na chakula awe ananunua kwake mabanda akamjengea yeye madawa anunue kwake na jamaa alinunua vifaranga 5000 kwa miada kwamba akifuata hivyo wakianza taga mayai atanunua yeye ana wateja toka nje jamaa alikula hasara moja takatifu
 
Teh teh teh teh.. ananidanganyaje mtu ni jirani yangu.

Muulizeni jamaa enu kwanini alimblock mchizi kwa kumuomba tu atoe picha ya nyumba ya wazazi wake kwenye huo ujinga anaowadanganya nao mitandaoni..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]basi sawa mzee kwaiyo jamaa katuchuuuza
 
Bora mtu kama unaamua kuwekeza wekeza kivyako usimame ww kama ww, miaka ya nyuma kuna watu walikuja wasema unanua sungura mmoja laki moja wanakuwa wanakufugia wao ! Ww unakua unaenda kukagua sungura wako wanaendeleaje, mm nlivyosikia hadithi hzoo nikasema hapa kuna upigaji, nikaachanao, nasikia huko nako watu waligwa, nilivyoona ya mr kuku nikajua ndo yale yale
Ahahahah.
Siku hiz sitakagi ujinga baada ya kusikia pia ishu za sungura, nikatengeneza mazingira home nikatafuta sungura nikaweka home personally.and guese what sasa...hawa cost even ur time unaendelea na ishu zakobas normal.
Market ikwepo u sell them ikizingua unawa paki tu kwenye freezer for home use.
No stress . Utapel nilishakataa toka nipigwe namaingo.
Ahahahahahah
 
Yani alianzisha project ya kuku aliinvest ela nyingi sana mzee na huyo aliyempiga alimwambia vifaranga anunue kwake na chakula awe ananunua kwake mabanda akamjengea yeye madawa anunue kwake na jamaa alinunua vifaranga 5000 kwa miada kwamba akifuata hivyo wakianza taga mayai atanunua yeye ana wateja toka nje jamaa alikula hasara moja takatifu
Dahhh!!!!! Think Big Start small.
Sasa jamaa nae alimuaje kuingia mazima badala ya kuanza japo na Pilot phase kwa kujaribu.Daah.imenium kama hiyo hela ni yangu vile..
 
Ahsante kwa ufafanuzi mkuu, nimekutana sana na tangazo lao lakini imani yangu inagoma kuniunga mkono, haya mambo ya weka kiasi fulani upate mara 3 ya kiasi ulichoweka, huwa yananipita kushoto sijui ni uoga ama ni ujinga.!

Mwisho wa siku, yule mwenye maamuzi magumu ndiye atakayekula mema ya nchi.!!
Isikilize nafsi yako. Kunguru muoga huishi miaka mingi
 
Teh teh teh teh.. ananidanganyaje mtu ni jirani yangu.

Muulizeni jamaa enu kwanini alimblock mchizi kwa kumuomba tu atoe picha ya nyumba ya wazazi wake kwenye huo ujinga anaowadanganya nao mitandaoni..
Ontario ni tapeli tu...twitter kasema miezi michache iliyopita alikuwa anakaa hostel kimara hana kitu halafu mtu anakuja humu kumtetea
 
Shukran sana kaka.

Napenda sana watu wanaotoka na kulisemea tatizo kabda halijaathiri wengi zaidi wengi husubiri tatzo lishamili watu waathirike ndio waje kutoa shuhuda ambazo zinakuwa hazina faida tena
 
Dahhh!!!!! Think Big Start small.
Sasa jamaa nae alimuaje kuingia mazima badala ya kuanza japo na Pilot phase kwa kujaribu.Daah.imenium kama hiyo hela ni yangu vile..
Uwa anapenda sana investments zenye big return hawezi invest kwenye returns za milion moja jamaa alihadiwa kuwa kwa investment hiyo atakuwa anaingiza 30 mls kwa mwezi
 
Uwa anapenda sana investments zenye big return hawezi invest kwenye returns za milion moja jamaa alihadiwa kuwa kwa investment hiyo atakuwa anaingiza 30 mls kwa mwezi
Basi kumbe huyo sio level za kawaida kama tulipo wachache so kwake hiyo 30m inaweza kuwa hasara ya kawaida tu kama hasara nyingine yoyote
 
Basi kumbe huyo sio level za kawaida kama tulipo wachache so kwake hiyo 30m inaweza kuwa hasara ya kawaida tu kama hasara nyingine yoyote
Ni hasara kubwa kwake lakini siyo mtu mwenye pesa nyingi wala pesa kidogo ila ni mtu ambaye anashika ela mls 200, 100, 20 hakosi ndani ya miezi 3 -5
 
Back
Top Bottom