monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
Mkuu acha kubishana na hawa madogo wanaokaa kwa shemeji zaoSuala la nyumba huliongelei au sio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tangia 2016 kawatoa wangapi kwenye umaskini?? Mbona walirudi humu wakiwa wanalia lia. Sasahivi mmehamia Twitter hehehe
Wanadanganya mademu zao kuwa "kuna mchongo nausikilizia"
Narudia tena hawa vilaza achana nao tu