Fahamu zaidi kuhusu Vanguard na Rav 4 model ya 2009- 2014

Inaanzia hapo kwenye 23m na mda mwingine inaweza kuanzia hata kwenye 22.5. Sisi hatuweki cha juu bali tunapiga hesabu zote hizi kwa uwazi kabisa ili mtanzania apate kilicho bora kwa gharama nafuu na wakati huo huo akituwezesha kukua zaidi
MKUU,

SASA KAMA HAMPIGI CHA JUU,
FAIDA YENU MNAIPATAJE?

KWA MFANO GHARAMA YA KUAGIZA GARI KWA MFANO Allion MPAKA INAONGIA ROAD NI 10 M.

NA NYINYI NA MNAILETA KWA MTEJA KWA 10 M. HIYOHIYO BILA ONGEZEKO LOLOTE AU INAKUWAJE HAPO?

NIPE MWONGOZO MKUU,
ILI HUU MWAKA UKIPINDUKA NIJE NIJILIPUE NA BABYWALKER MOJA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mbona hamjaisema rave yenye 1AZ cc 2000 ?? Rav za mwaka huo zinakuja na engine zaidi ya tano hadi diesel ziko we umekalia kwenye ile ya cc 2400
 

Kluger ni larger alternative ya RAV4 na sio maboresho ya harrier haviusiani kabisa.mmm
 
Naomba unisaidie uchaguzi mzuri kati ya subaru forester xt na subaru isiyo na turbo, suzuki grand vitara na nissani xtrail new model , naomba chaguo hapo lipi ni zuri hasa kwa mtazamo wako na uzoefu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kluger ni larger alternative ya RAV4 na sio maboresho ya harrier haviusiani kabisa.mmm

Kluge ni hurrier wewe acha ubishi soma Wikipedia


Rav4 ni vanguard in other hand soma uelewe brother


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Vanguard beininacheza 35-40m TZS
 
Naomba pia mwenye knowledge kuhusu tofauti Kati ya harrier na kluger atudadavulie hapa Kama huyu ndg yetu alivyofanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…