Fahamu zaidi kuhusu Wachagga

Fahamu zaidi kuhusu Wachagga

Wewe ushawah kut**** na mwanaume wa kichagga au waongea tu? Individual differences ndo una associate na kabila lote? Fafanua pia namba mbili na moja!!


Mi si bingwa wa kutomba wake za watu ila wanawake wengi ambao nakutana nao hapa Bongo wengi ni wachagga na somehow wote wameolewa. Cha kusikitisha utakuta demu mwenyewe anakuambia mi sio kama nakupenda ila napenda jinsi unavyonipa raha kitandani. Kuna wengine utasikia mume wangu akiirudi nyumbani na hela pungufu mze wake hasimami kwa jinsi anavyokuwa na hasira. Usikasirike na kwenda kumpiga mkeo nyumbani, nakupasha ukweli tu. By the way, nimefafanua tatu kwani ndiyo nina uhakika nayo, hizo moja na mbili zina wenyewe subiri tu watakuja kukupa ukweli ila usilie tu.
 
Umesahau kusema kuwa wachaga ni mkusanyiko wa makabila kuanzia wakikuyu, wamasai, wakamba, wameru na mengine mengi. Njau na Kimathi ni wakikuyu. Mengi ni wakamba. Mbatia ni masai wengine wenye upeo waendeleze.

kuna wakenya wanaitwa mosha na mushi sijui imekaaje hiyo?
 
Mi si bingwa wa kutomba wake za watu ila wanawake wengi ambao nakutana nao hapa Bongo wengi ni wachagga na somehow wote wameolewa. Cha kusikitisha utakuta demu mwenyewe anakuambia mi sio kama nakupenda ila napenda jinsi unavyonipa raha kitandani. Kuna wengine utasikia mume wangu akiirudi nyumbani na hela pungufu mze wake hasimami kwa jinsi anavyokuwa na hasira. Usikasirike na kwenda kumpiga mkeo nyumbani, nakupasha ukweli tu. By the way, nimefafanua tatu kwani ndiyo nina uhakika nayo, hizo moja na mbili zina wenyewe subiri tu watakuja kukupa ukweli ila usilie tu.
Ok then! Hao wanawake wanaokucfia ts just they are hooking ua bucks buddy! They also want money. Pili cna cha kuniliza bse mie cio mchagga arifu.....i wanna know the facts only bse mengi yanapotoshwa kuhusu hawa watu.
 
mimi naomba kuwauliza wachaga yale maeneo wanayosema ni porini ambaako ni mashamba ya vyakula hasa nafaka waliwezaje kuya design vile? manake juzi juzi nilikuwa niliena rombo na arusha jamani nimekutana na mashamba makubwa sana ya mahindi halafu hakuna nyumba ni just mashamba ambayo yapo kwenye tambarare halafu wao wakaishi huko juu. mfano hapo njia panda ni mashamba mazuri makubwa ya mahindi hakuna nyumba hata moja useme ni kijiji ukiwa unaenda arusha maeneo ya mailisita nenda hadi kikafu chini sadala na boma kote huko ni mashamba tu. pale kilipo kile marhemu kiwanda usipime mashamba ya mahindi hadi huoni mwisho wake sasa kwanini nyie mkaish milimani halafu huku tambarare mkapaacha?
they are so brave bro waliacha tmbarare kwaajili ya kilimo bora na kule milimani sio kuzuri kwa kilimo cha mfano mahindi maharage kule hakuna mwanga kwaajili ya miti mingi na mimea hiyo inahitaji mwanga,thats the reason,kule milimani wanalima kahawa na migomba ambayo inahitaji kivuli kingi theni ,walipaacha kwa ajili ya mazao ya muda mfupi ,kwani kahawa ,ndizi ni zao lakudumu ,huwezi yachanganya kabisa.
 
Kuna sifa moja maarufu huyo aliyeandika habari ya wachagga kaisahau, nani anaikumbuka?
Amesahau kuwa mfano mwanamke ukienda kusema unaleta mchumba nyumbani.chakwanza utaulizwa ni kabila gani?,anafanya kazi gani?etc na watu wakuja kule yaani kabila lingine unaitwa chasaka au nyamusi au ikwawi
 
kuna wakenya wanaitwa mosha na mushi sijui imekaaje hiyo?

hao na wengine wengi ni ndugu zetu tuliotengana nao zamani wakati mababu zetu walipokuwa wanatembea kutafuta ardhi yenye rutuba tanganyika ya sasa.
 
Nina maswali 3 juu ya wachaga??

1-kwa nini wachaga wanapenda sana chapaa?

2-kwanini wachaga wa siku hizi wamejiingiza sana ktk vitendo vya ushoga?
chapaa ni asili yetu. Ila hiyo no. 2 $ 3 ni tabia binafsi za watu sio za kichagga na tunatakiwa tuzikemee kwa nguvu zote mm na ww. Nimefika tanga, dodoma na pia nasikia znz $ mombasa kunatisha .
 
Kumbe wachaga ni ma great Thinkers muda mrefu ndiyo maana wanawaogopa.Kumbe Kilimanjaro ndiyo inaongoza kwa kuwa na shule nyingi? ndiyo maana katika kila watoto kumi nane ni form 4 au 6.
 
mimi naomba kuwauliza wachaga yale maeneo wanayosema ni porini ambaako ni mashamba ya vyakula hasa nafaka waliwezaje kuya design vile? manake juzi juzi nilikuwa niliena rombo na arusha jamani nimekutana na mashamba makubwa sana ya mahindi halafu hakuna nyumba ni just mashamba ambayo yapo kwenye tambarare halafu wao wakaishi huko juu. mfano hapo njia panda ni mashamba mazuri makubwa ya mahindi hakuna nyumba hata moja useme ni kijiji ukiwa unaenda arusha maeneo ya mailisita nenda hadi kikafu chini sadala na boma kote huko ni mashamba tu. pale kilipo kile marhemu kiwanda usipime mashamba ya mahindi hadi huoni mwisho wake sasa kwanini nyie mkaish milimani halafu huku tambarare mkapaacha?

Mashamba yako sehemu za tambarare kwa kuwa zina rutuba na hii inatokana na geographical ya mkoa wenyewe, kipindi cha Mvua maji hutiririsha masalia na uchafu wote kutoka sehemu za milimani hadi zile sehemu za tambarare ndio maana zinafanywa za kilimo, watu hawaishi zile sehemu za tambarare kwa kuwa msimu wa kiangazi kunakuwa na joto kali sana
 
Mashamba yako sehemu za tambarare kwa kuwa zina rutuba na hii inatokana na geographical ya mkoa wenyewe, kipindi cha Mvua maji hutiririsha masalia na uchafu wote kutoka sehemu za milimani hadi zile sehemu za tambarare ndio maana zinafanywa za kilimo, watu hawaishi zile sehemu za tambarare kwa kuwa msimu wa kiangazi kunakuwa na joto kali sana


ila mbona sasa huwa mnadai hakuna ardhi ya kutosha? mbona kama huku maporini kwenu mkipanda miti mwaweza kuish? manake ni tambarare nzuri tena kubwa bafikir kuliko hata vijiji yenu?
 
mleta mada kuna kitu amesahau."kwanini wachaga wengi sura zao zimefafana?yaani ukimwaona sura tu, utajua huyu ametokea moshi,why?
 
  • Thanks
Reactions: SIM
mchagha.jpg

wachagha wachagha hivi tanzania haina makabila mengine?
 
mtoa mada kuna kitu amesahau,kwanini wachaga wamefafanana yaani nirahisi sana kumgundua mtu anaetokea moshi,eidha kwa mwendo au sura.ufafanuzi plz
 
Back
Top Bottom