Fahari wawili SERIKALI vs WALIMU
Hivi karibuni tumeshudia malumbano ya kimasilahi baina ya walimu na serikali na hatimaye kupelekana mahakamani na serikali kupinga kisheria walimu kuendelea na mgomo, walimu wakakubali kuacha mgomo wa wazi na kuendelea na mgomo baridi tunaoushuhudia leo kupitia matokeo mbalimbali. waliofaulu kutoka primary kwenda Secondary walichaguliwa hadi wa max 70, serikali ilikubaliana nalo na hata matokeo haya ya secondary wenye credit 2 ambazo zinatengeneza kombi kwa kuungwa na D moja wachaguliwe waendelee na kidato cha tano. hakuna ujanja zaidi bali kukubali kusonga hivyo hivyo huku tukizidi kutengeneza WATAWALIWA NA WATAWALA.
Kuna kila sababu ya serikali kukaa na walimu tena kutafuta suluhu ya changamoto hii ili kuwanusuru watoto wetu.
TUTAWAPELEKA WAPI, KILA MTAA VILIO, HURUMU SIMANZI ZIMETAWALA.
SALUMU
BUSEGA
SIMIYU
Hivi karibuni tumeshudia malumbano ya kimasilahi baina ya walimu na serikali na hatimaye kupelekana mahakamani na serikali kupinga kisheria walimu kuendelea na mgomo, walimu wakakubali kuacha mgomo wa wazi na kuendelea na mgomo baridi tunaoushuhudia leo kupitia matokeo mbalimbali. waliofaulu kutoka primary kwenda Secondary walichaguliwa hadi wa max 70, serikali ilikubaliana nalo na hata matokeo haya ya secondary wenye credit 2 ambazo zinatengeneza kombi kwa kuungwa na D moja wachaguliwe waendelee na kidato cha tano. hakuna ujanja zaidi bali kukubali kusonga hivyo hivyo huku tukizidi kutengeneza WATAWALIWA NA WATAWALA.
Kuna kila sababu ya serikali kukaa na walimu tena kutafuta suluhu ya changamoto hii ili kuwanusuru watoto wetu.
TUTAWAPELEKA WAPI, KILA MTAA VILIO, HURUMU SIMANZI ZIMETAWALA.
SALUMU
BUSEGA
SIMIYU