Fahari ya mwanaume

huyu kuna aina ya maisha yamemzunguka na naona yamemuathiri sana...may be na kukosa exposure ya maisha na watu tofauti tofauti....na wakati mwingine huwa inatujengea definition ya ndoa tofaut tofaut

Hahahaaaaaaaa! EXPOSURE!!!!!!!!!!!!! Ipi labda ambayo sina? Mimi mthomi tena nimesoma shule za bei chafu kwa enzi hizo, wazazi wangu alhamdulilah wana PROFESSION zao, ndugu zangu MASHALLAH wameiona dunia na wanajiweza sanaa tu! Na mimi mwenyewe si haba I HAVE DATED SOME HIGHLY SUCCESSFUL MEN! THEY TOOK ME PLACES, Nimefanya kazi MULTINATIONAL COMPANIES na watu wa maana hadi EXPATRIATES!!!!!!!! Nimedhunguka dhunguka dunia kwa ndugu dhangu abroad, nimesoma higher learning institutions. SASA SIJUI EXPOSURE GANI UNAYOSEMEA???????????? LABD NIKO OVER EXPOSED!!!!!!! YOU DONT KNOW ME DUDE!!!!!!!!! DONT TALK OF SOMETHING YOU DONT HAVE A CLUE.

TRUST ME WEALTHY MEN ARE THE WORSTTTTTTTTTTTTTTTTT!!!!!!!! Bora hata wa uswazi kidogo wana utu!
 
.una Maarifa na Hekima ya kiwango cha juu sana dada angu Lizzy, na mara zote umekuwa mtu uanyetazama mambo kwa mapana yake..utamu wa hii kitu umeanzia pale uliposema "Mwanamke anatakiwa amsaidie mwanaume wake kuona na kupata fahari kwa kuwa na mkewe huyo, familia, nyumbani n.k"..ningelipenda kwa wadada/wake wa humu MMU wavae viatu vyako na tena katika hekima zako hili somo liwe jepesi kwao kama ulivyokusudia,somo zuri kwakweli na endelea kupakua yale uliyonayo ili wengi wasimame katika mtazamo chanya, elimu bado inahitajika tena sana hasa wakati huu.
 
Aliyekuoa mama ana raha sana Safi kabisa wanawake kama nyinyi mna stahili tuzo kabisa!

Kwa bahati mbaya wanawake wa jinsi hiyo hupata wanaume bomu kabisa,wengi wao huangukia kwenye mikono ya wanaume wasio na shukrani,wasiotambua thamani ya wanawake wa jinsi hyo.
 
Kwa bahati mbaya wanawake wa jinsi hiyo hupata wanaume bomu kabisa,wengi wao huangukia kwenye mikono ya wanaume wasio na shukrani,wasiotambua thamani ya wanawake wa jinsi hyo.
Na kinyume chake pia ni kweli. Ila wapo weye bahati wanakutana mwanaume na mwanamke wote ni wazuri, kinachowafelisha ni juhudi tu.
 
Asante segere

Na mie najifunza kadiri muda unavyoenda. Kabla ya kulalamika sharti tujiulize ni kwa kiasi gani tunajitahidi kuchangia na kufanya mambo kuwa vile tunavyotaka/penda sisi. Sio mtu unalalamika tuuu wakati hufanyi juhudi zozote kufanya mambo yawe mazuri kwako na kwa mwenzio pia.
 
Last edited by a moderator:
Umeongea yote Lizzy mamii. Mwenye kuelewa ataelewa, pia itasaidia kubadilisha pia.
 
lara vs lara 1 ?

btw, Lizzy, as i usually tell you! you have my rpomise remember! dont break the offer!

nice work actually!
 
Last edited by a moderator:

Kwa povu hilo wewe si fahari hata kwako mwenyewe.
 
 
Mamy Lizzy umenena la maana cijui sisi wadada/wamama nanikatuloga jamani jaman...
wengi tunajisahau na kuona tupo sawa na wanaume sababu ya technologyna kudai haki sawa cos ya elimu,magari,pesa,biashara n.k but we are real mistakenjaman. Unakuta mama yeye yupo na tv 24hrs,kutwa kushinda salon,macho kaweka juujuu kama precision airways inataka kupaa ,yeye ndo chairman wa umbea wa mtaa,unaroho ya kasksi na choyo plus unafik ooooh ,kavaa tyt plus top juu kitovukimemtoka ,na mkorogo wa cheap umedunda jaman jaman yeye kuvaa nguo za heshimana vitenge ni sumu anakuambia mimi siomzee


Men will always remain men tena ni kiongozi no matter unaPHD Or pesa kiasi gani ,tubadilike actlike woman be decent,loyal,use polite language,take care &love ur child nhubby,roho ya upendo yenye woga wa MUUMBA wako,roho ya ukarimu kwa ndugu,makeur house clean to be sweety home not garage,vaa kwa heshima jua tofauti ya nguoya kanisani,kazin.na outing,pika chakula safi na kitamu kwa familia yako.If udone this and ur hubby not proud of u,not value u must have a mental problemsure.mume ataona hata fahari kutoka na wewe,kukudhamin,kukupenda nakukutambulisha kwa yoyote

 
Last edited by a moderator:
It is a beautiful feeling being a good wife.

But hell hath no fury like a woman scorned.

When she makes that 360 degree turn, hell breaks loose.

Believe me no unhappy woman makes a beautiful home.

Nasikitika hujaongezea kipengele cha mazoezi katika mapenzi
 
WANAUME HAWANA SHUKRANI! SHUKRAI YAO YA KWAPA, HATA UKIOGA ULIPULIZE PAFYUMU, UPAKE DEODORANT NA BODY SPRAY LIPE DAKIKA 3 TU LIMEFUMU!!!!!!!!!!!!

Pole naona unadondokea sana mikononi mwa wanaume wasio na shukrani.
 
Dada lara 1 una tatizo kubwa sana la kisaikolojia na hili limesababishwa na background ya mahusiano yako ya nyuma.na pengine hata marafiki zako walikuwa hivyo haya watu wanayoyaongelea ni kwako ni mbingu na ardhi havipatani.The future of our Destiny is in our hands sizani kama kuna siku uliwahi muhusisha Mungu katika suala la maisha ya mahusiano yako.Pengine Mungu hujibu maombi ya kipaumbele chako kwamba mwanaume pesa anakupa wenye pesa ila hawafanyi responsibility zote ambazo wanapaswa kukupatia ukiachilia mbali kukupa pesa na kukuhudumia.Maisha ni wewe ndiye unayeyapanga Mungu hujibu matokeo yanayotokana na njia tulizozipitia katika maisha yetu.kama maisha kwako ni pesa.hamna sababu ya kupewa mtu asiye na pesa utapewa mwenye pesa ila akikosa vingine usilaumu sababu ur priority is money first. Sio kwamba napinga mtu kupenda pesa ila ninachokionyesha hapo. Kama huna upendo wa dhati na roho ya kutimiza wajibu wako kama mwanamke katika uhusiano itakuwa kazi sana kumpata the right man ambaye hatokuumiza.Akiwazo mtu ndicho kinachomtokea kama kwako wanaume hawana fadhila itakuwa hivyo kwako mpaka una kufa ila hiyo haindoi ukweli kuna wanawake hadi wanajiona wao ndo wenye makosa kutokana tu na wanavyotendewa na wanaume zao change ur mindset if you really want to live in peace
 
Jamii yetu ina tatizo kubwa sana sio wanaume si wanawake kila mtu amesahau wajibu wake.Sisi wakristo Mungu ametuagiza wanaume tutunze wake zetu sasa utashangaa wanaume wanakwepa wanalalamika wamesahau mtawala siku zote ndiye huwezesha mahitaji yote ya wale anaowatala.Vivyo hivyo wanawake wameagizwa kuwaheshimu na kuwatii waume zao sasa siku hizi mtu akiwa na pesa kumzidi mumewe basi ni taabu.afu huwa tunasahau kuna mafanikio tunapata sababu Mungu anatumia labda Baraka za Mwenza wako ili wewe ufanikiwe mkiachana tu. Unaanza kushangaa mambo yako hayaendi vizuri unaumwa kazini hapaeleweki kumbe source ni kumwacha mwenzio
 
Last edited by a moderator:
 
Spirit ya wazungu inakutesa umeishi uzungu mwenzetu huku hapakustahili unajitesa unafaa mapenzi ya mikataba kabisa jambo ambalo kwetu utasomewa dua na sala maake kwetu watakuona una mapepo.But trust me am telling you ughaibuni kwa wazungu huwa wanajutia mila na desturi zao wakijilinganisha na mabara mengine. Huwa wanashangaa mama wa ki afrika kubeba mtoto mgongoni wao hawawezi na siri iliyopo ni upendo wa dhati kati ya mama na mtoto wao hawana. Mtu akipata msiba ni watu wachache sana tena muhimu ndo wanashiriki hata jirani anaweza asijue.Maisha gani ya kuishi hata jina la jirani yako hujui.Infact hao kwetu wana mawili ya kujisifu kuwa wamepiga hatua nayo ni POLITICAL life na ECONOMICALLY basi ila SOCIAL life hamna kitu ustaarabu wetu wanautamani sana. Na ndilo jambo ambalo lara 1 linakutesa u are good Economically but Socially you have nothing to teach us dada angu.
 

..mmmwaaaaaa kwa shavu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!, nimekuingiza kwenye rekodi yangu ya wanawake wenye UELEWA,MAARIFA, HEKIMA na KIWANGO CHA JUU CHA USTAARABU..Mungu na akusaidie ukaishi katika utoshelevu wote wa furaha ya kweli ndani ya mahusiano na ndoa..kula big LIKE napenda sana kuona watu kama wewe na dada Lizzy, kumbe bado mpo jamani nalidhani kizazi chenu kilipotea tangu miaka ya 450 B.C ..
 
..mkuu Husninyo kumbuka mtoa mada alianza kwa kusema "Mwanamke anatakiwa amsaidie mwanaume wake kuona na kupata fahari kwa kuwa na mkewe huyo, familia, nyumbani n.k" kwa hiyo kila jambo huanza kwa mwanamke kutoa msaada kwa mwanaume wake na hii ni nzuri zaidi kwani hata kiimani mwanamke hutambulika kama msaidizi. Najua ni jukumu langu kumfanya apendeze lakini lazima anisaidie kufanya hivyo na ataanzaje rejea pointi ya kwanza ya mtoa mada.kila alichokiongea mtoa mada kitazame kwa mtazamo huu kwamba mwanamke na awe msaada katika kuyafanya hayo yatokee. Na ndo ukweli sisi wanaume tunapata au kuona fahari juu ya wenza wetu hasa pale wanaposimama kama wasaidizi na si vinginevyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…