Fahari ya nyanda za juu kusini

Fahari ya nyanda za juu kusini

Pale lahela km waenda sumbawanga napo pana ndizi km tukuyu hivi
 
<TABLE width=350 align=right border=0><TBODY><TR><TD></TD></TR><TR><TD class=formstyle vAlign=top></TD></TR><TR><TD class=top_tabs></TD></TR></TBODY></TABLE>
cover.JPG


Hii Kyela mwana wane muchere mwanzo mwisho

Namuona kama George Mwakalinga kwa mbaaali. Sijui ni yeye?
 
Safi sana mkuu,umenikumbusha mbali sana,nyanya pori,matecha,chikanda,masuku,mabungo,mbula,ntalali,makangala,nyimbwa,ndagu(matunda). Kantasila (big g za kifipa). Hali ya hewa safi huku,kibaridi cha hapa na pale. Gharama za maisha ziko chini. Unaweza kuwa na mtaji kidogo na ukatoka kimaisha kwa kujishughulisha na shughuli mbalimbali zinazoweza kukupa kipato halali. Nasikia barabara za Sumbawanga- Mpanda na Sumbawanga-Matai-Kasanga na Kasesya mpakani wakandarasi wameingia kuanza ujenzi wa barabara hizo kiwango cha lami. Barabara ya Sumbawanga-Tunduma mkandarasi anaingia mwezi ujao wa 4. Hakika maboresho ya miundombinu yataleta changamoto kubwa mkoani Rukwa na tunategemea mkoa huo sasa utaruka kimaendeleo.
 
Safi sana mkuu,umenikumbusha mbali sana,nyanya pori,matecha,chikanda,masuku,mabungo,mbula,ntalali,makangala,nyimbwa,ndagu(matunda). Kantasila (big g za kifipa). Hali ya hewa safi huku,kibaridi cha hapa na pale. Gharama za maisha ziko chini. Unaweza kuwa na mtaji kidogo na ukatoka kimaisha kwa kujishughulisha na shughuli mbalimbali zinazoweza kukupa kipato halali. Nasikia barabara za Sumbawanga- Mpanda na Sumbawanga-Matai-Kasanga na Kasesya mpakani wakandarasi wameingia kuanza ujenzi wa barabara hizo kiwango cha lami. Barabara ya Sumbawanga-Tunduma mkandarasi anaingia mwezi ujao wa 4. Hakika maboresho ya miundombinu yataleta changamoto kubwa mkoani Rukwa na tunategemea mkoa huo sasa utaruka kimaendeleo.

Duh mkuu mbula na ndagu hahaa uko juu,
 
Pich 1; Raha ya nyanda za juu ukiwa mtoto wa chehechea na shule ya msingi lazima ujue kuendesha bagadu (baiskeli ya miti). utaanguka nayo nakupata makovo kibao lakini huachi.

Pich 2;Angalia mandhari nzuri ya Kitulo, ile yenyewe sasa hivi imikuwa .....National Park. iko katika safu za milima ya Livingstone. kuna bariiidi huuuko! Lakini sisi tulioyazoea maeneo yetu hatuna shida tunavaa sahati au sweta dogo swaafi.
 

Attachments

  • bagadu.jpg
    bagadu.jpg
    3.2 KB · Views: 77
  • kitulo.jpg
    kitulo.jpg
    26.6 KB · Views: 76
Huko ndiko wanakotoka BANYAMBALA wanaowatoa kamasi mafisadi na vibaraka wao!!
 
Du! I am very happy. Asanteni sana. Leteni zingine. Lakini picha zingine hazina maelezo kutambulisha zilichukuliwa wapi. Can you update?
 
Huko neema kwenda mbele, panatia hamu kiaina.
 
Back
Top Bottom