Fahima wa Rayvanny ateswa na wivu wa mapenzi

Huwa hakuna mwimbo mzuri kama maneno ya mkosaji.

Rayvanny ashaongezewa nyota kwenye chama la mabaharia huyu akawe single mama tu.
 
Huyo reivani na faima nani mwanamke na ni nani mwanaume?
 
Kumbe hata dini kilibadili Wanawake wa Kitanga tuna msimamo kwenye dini huyu si Mtanga mwenzetu.
Acha hizo mbona wengi tu wakitanga wanabadili tena wengi wanatoka uislam na kwenda ukristo siku hizi mbaka zenji nako mambo yamebadilika
 
Mimi nadhani abadilishe hilo jina analotumia, itakuwa bado imekuwa bond,, to mtu mbaaaaaya, vanny,, fayvanny..love healing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…