Fahima wa Rayvanny ateswa na wivu wa mapenzi

Fahima wa Rayvanny ateswa na wivu wa mapenzi

View attachment 1756784


Fahima anateswa na wivu wa mapenzi baada ya Rayvanny kuweka kambi kwa mtoto Paula.

Anamuita Paula anaejiona amepata ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Nakushauri move on Fey hakunaga laana ya Ex...Hicho anachofanya Ray ndio uanaume sisi wanaume hata uwe mzuri vipi ukikosa heshima na unyenyekevu tunakuacha tunatafuta mali mpya tena tuchagua aliyekuzidi.
Huwa hakuna mwimbo mzuri kama maneno ya mkosaji.

Rayvanny ashaongezewa nyota kwenye chama la mabaharia huyu akawe single mama tu.
 
Huyo reivani na faima nani mwanamke na ni nani mwanaume?
 
Kumbe hata dini kilibadili Wanawake wa Kitanga tuna msimamo kwenye dini huyu si Mtanga mwenzetu.
Acha hizo mbona wengi tu wakitanga wanabadili tena wengi wanatoka uislam na kwenda ukristo siku hizi mbaka zenji nako mambo yamebadilika
 
Mimi nadhani abadilishe hilo jina analotumia, itakuwa bado imekuwa bond,, to mtu mbaaaaaya, vanny,, fayvanny..love healing
 
Back
Top Bottom