Josephat Mgimwa
Member
- Apr 8, 2014
- 60
- 18
Wapo wengi wanatamani kuwa serikalini baada ya kupoteza nafasi hizo kwa dharau ya mishahara kuwa ni midogo.
Ni dhahiri kuwa kuna tofauti ya mishahara kati ya serikalini na private.. Bt lengo langu ni kuwataka wale wasiofanya maamuzi sahihi kwa kukurupuka kwenda private na kurudi Baadae kutaka kupata kazi tena serikalini baada ya kugundua kuwa walikosea.
1. Ukiwa serikalini mazingira ya kufukuzwa kazi ni magumu ukilinganisha na private, otherwise umefanya kosa kubwa sana au Una rekodi ya mfululizo wa makosa
2. Kuna utaratibu maalumu wa kupanda madaraja... Changamoto iliyopo ni Smtyme Wengne huchelewa kupandishwa bt ukiwa aware unaweka mambo sawa..
3. Shule hata ikiwa na wanafunzi wa3 serikali itakulipa kwa uhakika Mshahara wako hata kama wengine wanaona unalipwa kidogo. Na hawawezi kukosa pesa ya kukulipa.
4.unaweza kuhama kutoka kijiji,kata,wilaya,au mkoa mmoja kwenda mwingine na kuendelea kufanya kazi kwavle bosi serikali Ana shule nyingi Kila uendapo.
5. Unaweza kufanya kazi sehemu zingine ukalipwa vizuri kwakuwa unapata nafasi ya Ku"manage" ratiba yako na kufanya kazi za mabosi wengine.
6. Unaweza kupata muda mwingi wa kukaa na familia yako,kutembelea ndugu, mashamba, mifugo yako n.k
7. Unaweza kwenda kusoma ukaendelea kulipwa Mshahara wako kwa miaka hata mi3..
8. Unaweza kupata "deal" ya kuingiza pesa ukaandika barua kuomba likizo hata miaka kadhaa ukimaliza unarudi utaikuta nafasi yako...
9.hata kama kazi unayofanya ni kidogo uhakika wa Mshahara uko palepale na kadri miaka inavyosonga recruitment zinapunguza mzigo
10. Unaweza kufanya kazi zako ndani ya siku 2 au 3 kwa wiki na ukawa umemaliza majukumu yako.
Na mengine mengi sana... Coz kuna jamaa kaajiriwa mwaka huu hajaenda kuripoti kusikia asilimia 10 tu zilizoongezwa za tuhela tudogo tayri shida maana ashazidiwa 15,000 na walio serikalini na anafundisha mwanzo mpaka mwisho wa wiki.. Nadhani zipo nyingi...Lakini pia tusisahau changamoto za kufanya kazi serikalini
Ni dhahiri kuwa kuna tofauti ya mishahara kati ya serikalini na private.. Bt lengo langu ni kuwataka wale wasiofanya maamuzi sahihi kwa kukurupuka kwenda private na kurudi Baadae kutaka kupata kazi tena serikalini baada ya kugundua kuwa walikosea.
1. Ukiwa serikalini mazingira ya kufukuzwa kazi ni magumu ukilinganisha na private, otherwise umefanya kosa kubwa sana au Una rekodi ya mfululizo wa makosa
2. Kuna utaratibu maalumu wa kupanda madaraja... Changamoto iliyopo ni Smtyme Wengne huchelewa kupandishwa bt ukiwa aware unaweka mambo sawa..
3. Shule hata ikiwa na wanafunzi wa3 serikali itakulipa kwa uhakika Mshahara wako hata kama wengine wanaona unalipwa kidogo. Na hawawezi kukosa pesa ya kukulipa.
4.unaweza kuhama kutoka kijiji,kata,wilaya,au mkoa mmoja kwenda mwingine na kuendelea kufanya kazi kwavle bosi serikali Ana shule nyingi Kila uendapo.
5. Unaweza kufanya kazi sehemu zingine ukalipwa vizuri kwakuwa unapata nafasi ya Ku"manage" ratiba yako na kufanya kazi za mabosi wengine.
6. Unaweza kupata muda mwingi wa kukaa na familia yako,kutembelea ndugu, mashamba, mifugo yako n.k
7. Unaweza kwenda kusoma ukaendelea kulipwa Mshahara wako kwa miaka hata mi3..
8. Unaweza kupata "deal" ya kuingiza pesa ukaandika barua kuomba likizo hata miaka kadhaa ukimaliza unarudi utaikuta nafasi yako...
9.hata kama kazi unayofanya ni kidogo uhakika wa Mshahara uko palepale na kadri miaka inavyosonga recruitment zinapunguza mzigo
10. Unaweza kufanya kazi zako ndani ya siku 2 au 3 kwa wiki na ukawa umemaliza majukumu yako.
Na mengine mengi sana... Coz kuna jamaa kaajiriwa mwaka huu hajaenda kuripoti kusikia asilimia 10 tu zilizoongezwa za tuhela tudogo tayri shida maana ashazidiwa 15,000 na walio serikalini na anafundisha mwanzo mpaka mwisho wa wiki.. Nadhani zipo nyingi...Lakini pia tusisahau changamoto za kufanya kazi serikalini