Faida 6 za kuishi maisha ya ukapera

wanasayansi na watafiti wameconclude kwamba m2 aliyeoa au kuolewa huwa mentaly anakuwa fresh hvyo kujiletea maendeleo, just imagine una bonge la house ndani kukiwa na kila kitu cha kifahari hafu piga picha kwamba umo ndani peke yako, mali zote zinakuwa nothing kwani ful time utakuwa bored. Pia hiyo ni tabia zinazolandana na UCHOYO.
 
Hivi ukapera sini kutokuoa/olewa???
Na je wanaoishi pamoja bila kuoa/olewa hawaanguki kwenye hili kundi??
Nauliza ili nijue cha kuchangia nisije nikajichanganya mwenyewe!
 

Naomba unisamehe
Maana kila nikisoma jina lako hata kabla sijasoma ulichoandika naanza kufanya majumuisho
Hebu jiangalie hapo kwenye REDS
Mazoea hujenga tabia.
Mara zote wanao andika kwa staili hii ni wavivu na pia wanaharibu lugha.
Jaribu kubadilika

Kwenye blue naona unamhusisha Mungu kwa mara ya kwanza hapa JF
Vipi ile thread ya KUFANIKIWA KUTEMBEA NA MUME WA MTU ulimpeleka wapi Mungu???
 
hata hivyo kma ungependa kuendelea kuwa kapera maisha yako yote hapa chini ziko 7bu ambazo unaweza kuzizingatia unapochukua uamuzi huu wa maana
1 UNAWEZA KUPATA ALIYE BORA BAADAE

hapo umenichanganya
umeonaeeeeeeh!
 
acha jazba,kijana hajasema kuwa viungo vyake havifanyi kazi lol!
 

ur real a wiseboy!
 
Si bora ukawa Padri au buruda basi ijulikane moja kwa moja
 

hivi wewe zinakutosha kichwani kweli? Kama huna la kuchangia si uchape lapa? Et nitake kutembea na mume wa m2 kwani vijana wameisha? CPU... CPU... CPU... Niache niandike nitakavyo. i need 2 be free so stop ur s*****
 

hivi wewe zinakutosha kichwani kweli? Kama huna la kuchangia si uchape lapa? Et nitake kutembea na mume wa m2 kwani vijana wameisha? CPU... CPU... CPU... Niache niandike nitakavyo. i need 2 be free so stop ur s*****
 
Kweli kuna faida ya kuwa kapera maana hakuna kufumania wala kufumaniwa kila kitu ni kwenda kama unavyotaka matumiz pia yanapungua subiri nikamfukuze mke wangu nikae peke yangu ili nijenge gorofa
 
faida ya saba: unajifunza kuwa mbinafsi na pia ubahiri wa kutupwaa.
 
hivi wewe zinakutosha kichwani kweli? Kama huna la kuchangia si uchape lapa? Et nitake kutembea na mume wa m2 kwani vijana wameisha? CPU... CPU... CPU... Niache niandike nitakavyo. i need 2 be free so stop ur s*****
amekuchanganya na not enough
 
faida nyingi zaidi kuliko hasara......tumezaliwa tule raha sio karaha!
 
hivi wewe zinakutosha kichwani kweli? Kama huna la kuchangia si uchape lapa? Et nitake kutembea na mume wa m2 kwani vijana wameisha? CPU... CPU... CPU... Niache niandike nitakavyo. i need 2 be free so stop ur s*****

Mmmmmhhhh hekima kama inatoweka vileeeeee



Naendelea kujiuliza



Naendelea kujiuliza.............



Jamani waheshimiwa sana asanteni NAWASILISHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…