Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,438
- 1,496
- Thread starter
- #21
Mnateseka tokea wapiii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnateseka tokea wapiii?
Comments reserved1)Simba anaongoza ligi kuu Tanzania bara
2)Simba hajapoteza mchezo wowote kwenye ligi kuu Wala Ligi ya mabingwa Africa
3)Simba kachukua ngao ya jamii mbele ya mtani wa jadi
4)Al ahly hawajawahi kumpiga Simba kwa mkapa
5)Simba Yuko home ground na mchezaji wa 12
6)Page ya FIFA kuipost Simba ni heshima kubwa
7)......
Smartphone tam Sana hasa ukiwa na FURAHA!Sikuwahi kujua kama logo zinashindanishwa
Sijala kitu Ila nifuraha ya ndani kwa ndaniUshakula cha chuga
Wala mihogo mumekaririshana huu ujinga kila anayepost lazima aunukuu.
No stressSijala kitu Ila nifuraha ya ndani kwa ndani
Acha hizo mpira una levels ukilinganisha na unaoshindana nao. Hili ni jambo kubwa kwa Simba na mpira wa Tanzania, na kinachofanyika ni kuongeza hamasa.Hivi Enyimba, Wydad, Tp Mazembe, Petro luanda, Mamelod na Es Tunis mashabiki wao wamekuwa mazezeta kama wa huku Tanzania? Au ndio watanzania ushamba ni mzigo. Wakati wengine wanachukulia ni kitu cha kawaida lakini mashabiki wa Simba pekee wanaona wapo kwenye ulimwengu wa kivyao vyao. Sasa hapo hajashiriki club world cup