Faida alizonazo Simba kuelekea mchezo dhidi ya Al Ahly

Comments reserved
 
Acha hizo mpira una levels ukilinganisha na unaoshindana nao. Hili ni jambo kubwa kwa Simba na mpira wa Tanzania, na kinachofanyika ni kuongeza hamasa.

Kama jambo hili ni ushamba, sijui lile la medali za shirikisho na matukio yaliyofatia kuambatana na hilo tutaliitaje🤣🤣.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…