Faida elfu 30 kwa siku

Na uzuri sasa hivi benki kuu (BOT) wamefungua dawati la malalamiko kama umetendewa ndivo sivyo kwenye hizi commercial banks na swala liwe linapigwa danadana
 
Kwanza pole kwa matatizo uliyopata lkn jambo la kushukuru mungu uzima uliyonao,
Nashukuru kwa ushauri ngoja nijitahidi kama mwanaume wa kweli
 
nenda pale UTT sukari house kama upo DSM, ukafunzwe jinsi ya kununua na kuuza hisa a.k.a kuweka akiba, ni rahisi sana hautajuta kuweka akiba yako, kujiunga ni bure kabisa pia NMB wana account ya NMB chapchap unafungua na kupewa account hapohapo kwa maelezo ni pm nikuelezee zaidi.
 

na mie nimepewa Jana gawio langu 320..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…