Kofi linaongeza uchungu?
kwa nini asiongezewe maji ya uchungu badala ya makofi?
Na uchungu ule bana anawaza uke?
Na kwa nini watu wanalalamika kwamba manesi Ni wakali?
Waendelee kupiga,mtoto akifa lawama kwa nani?
Nesi kupiga mama kibao hairuhusiwi kabisa, ila kuna wakati inabidi kuchapa kibao na kukoromea sana, haiongezi uchungu ila inaongeza usikivu na mtulivu kwa mama mwenye maumivu mpaka anakua kama kachanganyikiwa! Mfano unakuta njia imefunguka vizuri, Mtoto ameshuka vizuri na tayari sehemu ya kichwa cha Mtoto imeshaonekana!hapo uchungu unakua mkubwa sana!mama anabana mguu wakati nesi anasubiri kupokea Mtoto! Hapo kibao lazima kihusike ili mama awe mtulivu na kusaidia kupata mtoto asiyekua na matatizo kwenye ubongo! Kwani kina mama wengi ambao wanakua wakorofi wakati mtoto anataka kutoka huwa wanaharibu sehemu za ubongo wa watoto wao bila kujua! Madhara yataonekana miaka ya mbele na mama hatajua ni kwa nini!
Mkuu niliwahi kumuuliza swali hili nesi mmojaNdugu habari,
Kuna huu mtindo wa manesi kupiga makofi wajawazito wakiwa labour (usikatae hili jambo lipo) hasa kwa baadhi ya wanawake wanaochelewa kusukuma mtoto.
Je, kuna faida gani inayopatikana baada ya wao kuwapiga makofi? Kama mjamzito anashindwa kupushi si apewe maji ya uchungu tu?
Nawasilisha..
Mkuu niliwahi kumuuliza swali hili nesi mmoja
alinijibu kuwa kuna wanawake hawataki kufuata maelekezo
wanayopewa na manesi ili kujifungua salama,
sasa kama unatoa maelekezo mtu anafanya kinyume
na wewe nesi unajua fika kitendo anachokifanya mgonjwa
ni hatari kwake na kwa mtoto pia,ukimtia kofi
anazinduka anajua kwamba siyo utani,unachomwambia
ndicho unachomaanisha.
Hasara kwa manesi kama unazalisha watoto wamekufa
kuna namba unayohesabiwa,ikifika kazi huna
hivyo kama mtu analeta masihala wakati wewe
uko serious ukimtia kibao naye anakuwa serious
na hatimaye yeye anapata mtoto,nawewe unabakia na kazi yako.
Alikili kuwa kuna wanaotumia vibaya mwanya huo
pia alikiri kuwa siyo lengo lao kupiga mgonjwa
ila inapobidi wanafanya.
Baada ya kujifungua, huyu mama akimshitaki itakuwaje?
Nadhani sheria inachukua mkondo wake,Baada ya kujifungua, huyu mama akimshitaki itakuwaje?