DZUDZUKU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 3,909
- 2,115
Ndugu habari,
Kuna huu mtindo wa manesi kupiga makofi wajawazito wakiwa labour (usikatae hili jambo lipo) hasa kwa baadhi ya wanawake wanaochelewa kusukuma mtoto.
Je, kuna faida gani inayopatikana baada ya wao kuwapiga makofi? Kama mjamzito anashindwa kupushi si apewe maji ya uchungu tu?
Nawasilisha..
Kuna huu mtindo wa manesi kupiga makofi wajawazito wakiwa labour (usikatae hili jambo lipo) hasa kwa baadhi ya wanawake wanaochelewa kusukuma mtoto.
Je, kuna faida gani inayopatikana baada ya wao kuwapiga makofi? Kama mjamzito anashindwa kupushi si apewe maji ya uchungu tu?
Nawasilisha..