Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Ndugu wana JF naomba kiwasilisha.
Naomba tujikite kujadili kwa kina faida na hasara za kuungana na kuwa jumuiya ya Afrika mashariki.
Kwa historian muungano huu uliwahi kuwepo na ukavunjika kwa sababu kadha wa kadha.
Je, zile sababu zilizosababisha kuvunjika kwa Afrika mashariki ya zamani tunazijua? Kama tunazijua tunazitatua vipi?
Naomba tujikite kujadili kwa kina faida na hasara za kuwa na muungano huu katika nyanja zifuatazo:-
1. Kiuchumi
2. Kisiasa
3. kiutamaduni na kijamii
Haya ndiyo mambo makubwa yanayochagiza watu kuwa pamoja.
Je, mifumo yetu ya uchumi inaweza kuunganishwa na kuwa mfumo mmoja? Sera za kiuchumi kwenye nchi zetu zinakaribiana!?
Kwa maoni yangu tungebaki kuwa washirika tu, na siyo kuwa na community. Hii inatokana na kwamba Tunatofautina sana kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Baada ya wakoloni kuondoka walikuwa wametengeneza tamaduni tofauti baina ya nchi zetu hizi.
Nawakaribisha tuchangie mawazo na ushahidi.
Naomba tujikite kujadili kwa kina faida na hasara za kuungana na kuwa jumuiya ya Afrika mashariki.
Kwa historian muungano huu uliwahi kuwepo na ukavunjika kwa sababu kadha wa kadha.
Je, zile sababu zilizosababisha kuvunjika kwa Afrika mashariki ya zamani tunazijua? Kama tunazijua tunazitatua vipi?
Naomba tujikite kujadili kwa kina faida na hasara za kuwa na muungano huu katika nyanja zifuatazo:-
1. Kiuchumi
2. Kisiasa
3. kiutamaduni na kijamii
Haya ndiyo mambo makubwa yanayochagiza watu kuwa pamoja.
Je, mifumo yetu ya uchumi inaweza kuunganishwa na kuwa mfumo mmoja? Sera za kiuchumi kwenye nchi zetu zinakaribiana!?
Kwa maoni yangu tungebaki kuwa washirika tu, na siyo kuwa na community. Hii inatokana na kwamba Tunatofautina sana kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Baada ya wakoloni kuondoka walikuwa wametengeneza tamaduni tofauti baina ya nchi zetu hizi.
Nawakaribisha tuchangie mawazo na ushahidi.