Faida na hasara za uhamasishaji wa Mwijaku Simba

Faida na hasara za uhamasishaji wa Mwijaku Simba

Kama suala la degreee hata daudi bashite anayo degree, Mwijaku anajua mpira kuliko yule dada kay mziwanda ambaye probably hata ni standard 7?
Wahamasishaji wanatakiwa wawajue mashabiki, kuujua mpira kunakohitajika ni kwa level ya shabiki tu wala sio lazima aucheze au awe kocha
 
Kabisa si unaona juzi kapewa dongo la ndoa kanyamaza kimya binafsi anatamani dongo lile lingetoka kwa Barbra au Mo sasa limevurumushwa na lopolopo mwenzake, acha watukanane na kusutana wkati huo simba wachague afisa habari atakayekuwa anafanya kazi kama mtu mwenye akili timamu
Hesabu za mlinganyo ulizofundushwa darasa la 5 umeshazisahau kabisaa kiasi cha kudiriki kumlinganisha Manara na Mwijaku?
 
sukule limerudishwa kwenye lane yake alikuwa anatamani sana Mo na Brbra wamjibu ili aendelee kuwatukana sasa kwa kuwa anapenda midomomidomo kaletewa mwijaku ikibidi ataletewa na Dr kumbuka kabisa wasutan huko mana wote wajingawajinga tu
Mimi ni Simba,ila natofautiana na wewe kwa maandishi yako ya kuwatukana mashabiki wenzako na kuwadhiaki kwa kuwaita wajinga!! si lugha nzuri na yenye staha!!
Simba ni taasisi ya michezo ina mashabiki wa kila rika,kila jinsia,kila umri, wenye mtazamo tofauti na style tofauti,kuna ambao hawana elimu hizi za kisasa ndio wengi wao uko nyuma walishiriki bega kwa bega na wengine kuanzisha hii club yetu pendwa,

Kuna wenye elimu walitumia elimu yao kuisaidia na wengine kuiibia club yetu pia,kuna wale wasio jua lolote kuhusu modern football hawajui sijui Asenal,sijui Manchester!!hawajui kama kuna Fifa wala CAf,wao wanachojua ni Simba SC tu,na wanaipenda kufa wananunua jezi,wanawanunulia jezi watoto na ndugu zao,wanakata tiketi kuingia uwanjani kila mara,na Simba ikifungwa wanalia machozi hawajui neno kupoteza au matokeo matatu!!

Wengine wanazimia,na wengine wanakufa kabisa,kuna mashabiki wengine waliwahi kuwa wahaini lakini wametoa mchango mkubwa sana kwa club yao wanayoipenda sana,hivyo kila mtu anastahili heshima na kuchukuliwa kama ni mtu mwenye mchango kwa club yake.

Kuna wengine hawapendi kuona club yao na viongozi wao wanaojitolea pakubwa, kutukanwa na mtu yeyote,wanajitoa kujibu mashambulizi kwa kila namna ili kulinda viongozi na timu yao,tutumie lugha nzuri tunapokuwa tunawaongelea Simba ni yetu na Simba ni nguvu moja as long as ni burudani tu za duniani na tukifa tutaziacha hapa duniani.
 
Mimi ni Simba,ila natofautiana na wewe kwa maandishi yako ya kuwatukana mashabiki wenzako na kuwadhiaki kwa kuwaita wajinga!! si lugha nzuri na yenye staha!!
Simba ni taasisi ya michezo ina mashabiki wa kila rika,kila jinsia,kila umri, wenye mtazamo tofauti na style tofauti,kuna ambao hawana elimu hizi za kisasa ndio wengi wao uko nyuma walishiriki bega kwa bega na wengine kuanzisha hii club yetu pendwa,

Kuna wenye elimu walitumia elimu yao kuisaidia na wengine kuiibia club yetu pia,kuna wale wasio jua lolote kuhusu modern football hawajui sijui Asenal,sijui Manchester!!hawajui kama kuna Fifa wala CAf,wao wanachojua ni Simba SC tu,na wanaipenda kufa wananunua jezi,wanawanunulia jezi watoto na ndugu zao,wanakata tiketi kuingia uwanjani kila mara,na Simba ikifungwa wanalia machozi hawajui neno kupoteza au matokeo matatu!!

Wengine wanazimia,na wengine wanakufa kabisa,kuna mashabiki wengine waliwahi kuwa wahaini lakini wametoa mchango mkubwa sana kwa club yao wanayoipenda sana,hivyo kila mtu anastahili heshima na kuchukuliwa kama ni mtu mwenye mchango kwa club yake.

Kuna wengine hawapendi kuona club yao na viongozi wao wanaojitolea pakubwa, kutukanwa na mtu yeyote,wanajitoa kujibu mashambulizi kwa kila namna ili kulinda viongozi na timu yao,tutumie lugha nzuri tunapokuwa tunawaongelea Simba ni yetu na Simba ni nguvu moja as long as ni burudani tu za duniani na tukifa tutaziacha hapa duniani.
soma hii thread yangu mpya nimeweka 5 minutes ago msukule ushapaniki umemjibu mwijaku AUDIO:MWIJAKU OYEEE, HATIMAYE LISUKULE LAMJIBU MWIJAKU, LAKIRI LILIAJIRIWA SIMBA
 
hataweza Yule anaringia ngoz yake sukule huwa linaanzaga kutafuta huruma za watu likizidiwa
 
Kabisa si unaona juzi kapewa dongo la ndoa kanyamaza kimya binafsi anatamani dongo lile lingetoka kwa Barbra au Mo sasa limevurumushwa na lopolopo mwenzake, acha watukanane na kusutana wkati huo simba wachague afisa habari atakayekuwa anafanya kazi kama mtu mwenye akili timamu
Nimeona voice note yako kue kwenye uzi wako, Msukule keshaanza kulalama.
 
Nianze na hasara sababu ni nyingi:

*Tofauti na kale ka dada, Mwijaku hajui mpira ni shabiki hoyahoya ukimuambia akuachambulie hata formation za mpira ni debe tupu.

*Ni lolopolopo haswa halijui kuchuja maneno hana tofauti na lile tambara tulilolitupa

*Akili yake ni kujikweza yeye na kutaka kuonyesha mafanikio ya kitu yanatokana na yeye hapo hana tofauti na lile sukule tambara letu la zamani

FAIDA ZA DC WIJAKU
*Kwa sasa sukule limeletewa mwezi mchanga mwenzake , Its high time ajue kwamba Barbra na Mo dewji ni way above level zake akae kuvurumishishiana matusi na Mwijaku na ndani ya siku moja tu ishajionyesha kwamba ni jambo sahihi kabisa kuwakutanisha nguruwe wawili kwenye zizi lenye matope machafu yanayonuka wavurumushane huko, hata mashabiki wa utopolo wameligundua hilo ndiyo maana wote wana mu attack Mwijaku na siyo kay mziwanda.

Wakati vita ya hawa wehu wawili inaendelea embu tulieni mtutafutie afisa habari anayefanya kazi kiuweledi
Mwikaku sio mwana Soka
 
Ukimsikiliza mwijaku huwezi amini kama yule jamaa ni degree holder .

Yaani waruwaru Bora hata manara
 
Back
Top Bottom