Faida nilizopata baada ya kujitolea kuwapa wajasiriamali wenzangu namba za machimbo ninayonunulia vitu nchini China

Faida nilizopata baada ya kujitolea kuwapa wajasiriamali wenzangu namba za machimbo ninayonunulia vitu nchini China

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Jikumbushe kwanza huu uzi;

Nia yangu ilikuwa kusaidiana bila kujali kupata chochote baada ya hapo ila katika hali ya kushangaza baadhi ya wachina ambao tumeshakuwa marafiki sana wakanijulisha kuwepo kwa wateja wapya kutoka Tanzania. Nami nikawapasulia jibu kwamba niliwapa namba zenu. Walijikuta wanafurahia na kunishukuru sana. Na wakaenda mbali zaidi na kusababisha nipate faida zifuatazo;

1. Baadhi walinitumia zawadi ambazo bado ninazisubiri. Sijajua walichokiweka ila wameniambia ni "digital devices"... natarajia kulipa usafirishaji karibu Tsh 800,000/= kwa kampuni ya Yoonek cargo. Inaonyesha sio zawadi haba.

2. Wote wamenipa punguzo maalum kwenye vitu vyote nitakavyonunua. Ni punguzo ambalo hata mimi mwenyewe sijawahi kutegemea. Kwa mfano supplier wangu wa mabegi ya shule kanipa punguzo la karibu 50%.

3. Uhusiano wetu umeimarika zaidi kiasi kwamba hata machimbo ya vitu vingine pia wameshaanza kunisaidia kuyapata.

Nimeandika huu uzi makusudi ili kuwapa moyo watu kuwa tusaidiane tunapoweza kusaidiana. Mungu anaona unachokifanya... hakuna mtenda mema ataachwa ateseke. Mimi ni shuhuda wa hili.
 
Wewe ni muongo sana hakuna mtu wa kuagiza bidhaa china halafu akajiita mama samia a.k.a mama abdul
 
Write your reply...Kama hutaki kutusaidia namba basi angalau tuchange hiyo laki nane ya usafiri af tugawane hiyo zawadi. maana wewe ni mwema.
 
Jikumbushe kwanza huu uzi;

Nia yangu ilikuwa kusaidiana bila kujali kupata chochote baada ya hapo ila katika hali ya kushangaza baadhi ya wachina ambao tumeshakuwa marafiki sana wakanijulisha kuwepo kwa wateja wapya kutoka Tanzania. Nami nikawapasulia jibu kwamba niliwapa namba zenu. Walijikuta wanafurahia na kunishukuru sana. Na wakaenda mbali zaidi na kusababisha nipate faida zifuatazo;

1. Baadhi walinitumia zawadi ambazo bado ninazisubiri. Sijajua walichokiweka ila wameniambia ni "digital devices"... natarajia kulipa usafirishaji karibu Tsh 800,000/= kwa kampuni ya Yoonek cargo. Inaonyesha sio zawadi haba.

2. Wote wamenipa punguzo maalum kwenye vitu vyote nitakavyonunua. Ni punguzo ambalo hata mimi mwenyewe sijawahi kutegemea. Kwa mfano supplier wangu wa mabegi ya shule kanipa punguzo la karibu 50%.

3. Uhusiano wetu umeimarika zaidi kiasi kwamba hata machimbo ya vitu vingine pia wameshaanza kunisaidia kuyapata.

Nimeandika huu uzi makusudi ili kuwapa moyo watu kuwa tusaidiane tunapoweza kusaidiana. Mungu anaona unachokifanya... hakuna mtenda mema ataachwa ateseke. Mimi ni shuhuda wa hili.
Hongera sana Mkuu.

Kwenye jamii yetu mtu anakunyima mchongo ila anakununulia Bia 🍻

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Write your reply...Kama hutaki kutusaidia namba basi angalau tuchange hiyo laki nane ya usafiri af tugawane hiyo zawadi. maana wewe ni mwema.
Wewe Mbakaji utakuja kubakwa.
 
Back
Top Bottom