mjasiriamali mdogo
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 258
- 110
1.nimejiunga nssf kwa hiari 2.kupata elimu ya mashine mbalimbali kama ya kukoboa na kusaga, vitu kama lora 1,2 na 3 havinisumbui tena. Kuhusu size ya kinu kama 75,100 na 200 pamoja na bei zake na ipi ni nzuri kwa biashara. 2.animal feed milling machine, animal feed milling mixer machine na animal feed pellet machine, zipo za aina mbalimbali na ukubwa tofauti na bei zake na uwezo wa kazi. 3.solar power na incubator. Kama upo dar na mjasiriamali nenda sabasabå
