Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,921
- 8,321
Tunajua NCCR Mageuzi Ndio chama ambacho upepo unakivumia vizuri baada ya kupita kwenye mawimbi mengi kwa miaka kumi mfululizo!
Kuna kila dalili hawa jamaa ndio wataunda kambi ya Upinzani wakishirikiana na Cuf au ACT Wazalendo
Faida ya NCCR Mageuzi kuwa Chama kikuu cha upinzani
1. Itaharakisha maendeleo kwani hawa watu wanasiasa za kistaarabu na hawana matusi tofauti na upinzani uliopo
2.Hawana historia ya kutumiwa na Mabeberu kuisaliti Nchi tofauti na chama Kilichopo ambacho kimekuwa kikiwatetea Mabeberu badala ya kuwapigania Watanzania
3.kina idadi kubwa ya wasomi refer Masumbuko Lamwai anatajwa kuwa mwanasheria bora kuwahi kutokea kwa Siasa za Upinzani, hivyo watashirikiana na serkali katika kuijenga Nchi
4 Vurugu na lugha mbaya zitaisha bungeni, tutakumbuka kuwa NCCR mageuzi Ndio chama chenye rekodi ya kuwa na wabunge Wengi bungeni kwa wakati moja Lakini hawakuwahi kufanya vurugu bungeni kama Wapinzani waliopo wanaofanya
5.NCCR Mageuzi ina makao makuu bora kabisa hawa waliopo Chama kimepanga kwenye nyumba ya mtu tena ndogo
6.Hakikuwahi kuwadhihaki makaada wake alipoondoka Mrema, Marando hawakumtukana Walisema ni siasa ila wasasa mwanachama akiwakimbia anatukanwa kila aina ya Matusi
7. NCCR Mageuzi kilikuwa chama cha kitaifa Watanzania wote walikiheshimu
Karibuni NCCR Mageuzi Katika ujenzi wa Taifa letu la Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kila dalili hawa jamaa ndio wataunda kambi ya Upinzani wakishirikiana na Cuf au ACT Wazalendo
Faida ya NCCR Mageuzi kuwa Chama kikuu cha upinzani
1. Itaharakisha maendeleo kwani hawa watu wanasiasa za kistaarabu na hawana matusi tofauti na upinzani uliopo
2.Hawana historia ya kutumiwa na Mabeberu kuisaliti Nchi tofauti na chama Kilichopo ambacho kimekuwa kikiwatetea Mabeberu badala ya kuwapigania Watanzania
3.kina idadi kubwa ya wasomi refer Masumbuko Lamwai anatajwa kuwa mwanasheria bora kuwahi kutokea kwa Siasa za Upinzani, hivyo watashirikiana na serkali katika kuijenga Nchi
4 Vurugu na lugha mbaya zitaisha bungeni, tutakumbuka kuwa NCCR mageuzi Ndio chama chenye rekodi ya kuwa na wabunge Wengi bungeni kwa wakati moja Lakini hawakuwahi kufanya vurugu bungeni kama Wapinzani waliopo wanaofanya
5.NCCR Mageuzi ina makao makuu bora kabisa hawa waliopo Chama kimepanga kwenye nyumba ya mtu tena ndogo
6.Hakikuwahi kuwadhihaki makaada wake alipoondoka Mrema, Marando hawakumtukana Walisema ni siasa ila wasasa mwanachama akiwakimbia anatukanwa kila aina ya Matusi
7. NCCR Mageuzi kilikuwa chama cha kitaifa Watanzania wote walikiheshimu
Karibuni NCCR Mageuzi Katika ujenzi wa Taifa letu la Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app