Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni somo zuri lakini kwa wasiojua kusoma wakiamua kutumia PICHA hizi wameumia, maana yake vitu vingine watakuwa hawajawahi hata kuviona. Hivi ulikosa picha za hivyo ulivyoviandika (picha kubwa inayoonekana vizuri)????? yaani vitu kama tangawizi, chungwa, karoti,papai, na mengineyo.