faida zake ni kuwa unapata Ze Utamu, utamu huu haupo kwenye pipi, soda wala kitu kingine chochote duniani. na Utamu huu Hauna cha maskini wala Tajiri, Ni wa kipekee :A S 114:Aisee
Unajiskia kwa jinsi yako. KAma ni Ke unajiskia kweli wewe ni Ke na kama ni ME unajiskia kweli wewe ni DuME la Mbegu.
Inakata misongo ya mawazo na matamanio.
kujiamini kunaongezeka na kajeuri kiasi
UJuzi wa kumfurahisha mwenzako unaongezeka. a.k.a MAufundi
Kupata watoto kupitia mapenzi badala ya chupa(Artficial insermination.
Inaongeza hali ya mtu kuujali mwili wake na kuuelewa: kuanzia USafi, Afya, mazoezi n.k.
Kufanya mapenzi ni sehemu ya mazoezi.
inajenga saikolojia na kuondoa mawenge.i.e. Mentaly fit
dah hata hivyo nimejitahidi sana