Faida ya kuishi duniani ni ipi kama tulizaliwa ili tufe?

Okay sawa so roho ni nini
 
Kwa nini tunda walikula wengine ila adhabu ikatuhusu wote?
 
Du...[emoji87][emoji87][emoji87]
 
Mangi haya mambo, hayajawahi kupata majibu maridhawa toka kwa wateule na washirika waishio humu ndani..!
Sasa swali kama.."Je mungu muumbaji wa vyote..mwenye kujua yote yaliyopita, yote yaliyopo, na yote yatakayokuja, hakujua kama Adamu atakula tunda?Mjuzi wa YOTE Alishtukia tu Adamu kashakula bila Yeye (MJUZI)kujua?
Mangi, labda humu jamvini yupo aliyewahi kujibu maswali hayo pasipo kuacha shaka, lakini niliowahi kuwasoma humu sijamwona.
KIUKWELI NI MASWALI YANAYOWANGISHA VICHWA VYA WATEULE HUMU.
 

Kama kesi ni tunda

Inamaana Mungu naye Kuna tunda lake la mema na mabaya hajakula ndio maana hafi/anaishi milele mkuu?
 
Hatukuzaliwa ili TUFE. Bali dhambi ndio ilibadili uhai mrefu kuwa majuto ya kifo.
Hizi dini zimeundwa na binadamu ili kutoa majibu mepesi mepesi kama haya, dini ni imani tuu unaweza kuamini chochote, life is mysterious binadamu hatujui tumetoka wapi na tunaelekea wapi, labda ukijibu umetokea wapi kabla hujazaliwa unaweza kujua unaelekea wapi kitu ambacho ni impossible
 
🤣🤣🤣Mbn wachungaji hutufanyia mmbo sio kuwa kama hatusali ktk madhehebu au ktk majumuiya nivigumu siku umepatwa na tatizo la msiba wao kuja hii imekaaje
 
Ni story tu ya kutungwa na mababu wa zamani wakijaribu kuelewa mwanzo wa kila kitu..na imekopiwa na kupestiwa jamii mbalimbali mpaka imefika kwenye Bible na Quran. Story hii haina ukweli wowote wa kihistoria
 
😂Si ulikuwa tumboni ama
 
Ni story tu ya kutungwa na mababu wa zamani wakijaribu kuelewa mwanzo wa kila kitu..na imekopiwa na kupestiwa jamii mbalimbali mpaka imefika kwenye Bible na Quran. Story hii haina ukweli wowote wa kihistoria
Mkuu, unaweza kuwa sahihi kabisa...Wako humu wanachungulia-chungulia tu, Maana hawana cha kujibu "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…