Faida ya kuishi duniani ni ipi kama tulizaliwa ili tufe?

Faida ya kuishi duniani ni ipi kama tulizaliwa ili tufe?

"MUNGU angetuuliza kila mmoja kama utakubali kuishi ili uje kufa baadae kuliko kutufanyia umafia kama huu."

Nakazia ni umafia wa hali ya juu sana.
Yani kuna maswali mengi sana hapo.
Kama ni hivyo, unadhani nani angechagua kuja duniani kuteseka halafu baadae uje kuchomwa moto.

Then mtu anakwambia eti tuna free will.
 
Maswali yote uliyouliza yana-stem up from this incorrect idealogy ya Mungu wa Mawinguni.

So nimedeal na mzizi

I hope it’s clear
Kwahyo hata swali langu la mwisho nalo umeliinclude humo.
Si nmekupa swali ambalo linalenga hiko unachotaka kukitumia kukwepa!?

Unaelewa kuwa mwandishi wa hadithi ya biblia alikuwa na mawazo kuwa mbinguni ni hapo kwenye anga/mawingu kama ilivyo kawaida kuonekana?

Bisha.
 
Ni hivi kijana Mungu alimuumba binadamu na lengo la Mungu ni kwamba binadamu asife ,kifo kilikuja baada ya binadamu kutenda dhambi ya kula lile tunda ambalo lilikuwa la kutambua mema Na mabaya Na kabla ya kula tunda binadamu alikua haujui ubaya wowote so kula tunda kulifanya binadamu aondoke kwenye lengo la Mungu Kwa kuujua ubaya,na ubaya ndio uliozaa mauti so mauti ilikuja baada ya binadamu kuujua ubaya automatically kifo kikatokea
Mimi ni mkristo na nina amini katika kuishi kufa na ufufuo.
Ufufuo kwa uzima wa milele au kwa dharau ya milele.
Ila nilitamani kwa mujibu wa maelezo yako nijue
Makusudi ya Mungu ni mwanadamu aishi milele?
Na kama jibu ni ndiyo je makusudi ya Mungu yanashindwa?
Na kama jibu ni hapana,
Ni kwa nini basi tusikubali kuwa kile kinachotokea kuishi , kufa na kifufuka ndiyo yalikuwa makusudi yake kwa mapenzi yake ya kujua mwisho tokea mwanzo?
Zingatia kuwa Mungu
Anajua yote
Ana uwezo wote
Na yupo mahali pote.
 
Ukomo wa fibe senses!?

Mkuu sijakuelewa hapa, kuna senses zingine labda!?

Nimekuuliza swali juu ya source ya mtu..

Umejibu haujui nini source yake

Then kama hujui, naweza kusema pasipo shaka kwamba umekurupuka sana kujibrand ATHEIST kama kuna mambo kwako bado hayaeleweki.

Yaani uko katika upande ambao bado una sintofahamu nyingi. Ungekuwa muungwana sana kubaki hapo katikati huku ukiendelea kufanya research

Again

Ufahamu ulionao ni wa kutoka kwenye mafikara ya watu, mfano. Mungu wa mawinguni, and then kutokea hapo unajenga endless chain of theories na maswali ambayo namna pekee ya kujibu ni kuweka sawa msingi wako wa uelewa.

Sikuzote tunaaddress shida inakoanzia

Shida yako wewe, ni hujakutana na doctrine sahihi ya Mungu.

Tutazunguka sana kujibizana na itakuwa kama paka kuukimbiza mkia wake.

Endelea kujifunza mkuu.
 
MUNGU angetuuliza kila mmoja kama utakubali kuishi ili uje kufa baadae kuliko kutufanyia umafia kama huu.
Tungekua tunaonyeshwa upande wa Pili upoje kabla ya kuvushwa au kutwangwa maswali ya kuelekea huko
✍️
 
yaani Mungu muweza ya yote alishindwa kubaini kwamba ipo siku binadamu aliyemuumba atakuja kutenda dhambi?
Ni programming tu hakuna dhambi ni fikra na uelewa wa mwanadamu kuambiwa hiki ni sawa na hiki si sawa kutokana na mafundisho wanayopitia
✍️
 
Mkuu, unajua kusoma kwa uelewa!?

Saiz hamuwezi kukubali kwasababu watu wamefika huko.

Nkisema Mungu wa mawinguni ndo huyo huyo wa mbinguni.

Unaelewa kuwa mwandishi wa hadithi ya biblia alikuwa na mawazo kuwa mbinguni ni hapo kwenye anga/mawingu kama ilivyo kawaida kuonekana?

Bisha.

Hapana Mwandishi alielewa wazi kabisa kwamba Mungu haishi katika mawingu.

Alitumia mawingu kama kielelezo kufundisha mambo ya rohoni.

Kumbuka kadamnasi yake ilikuwa haiwezi kuelewa kwa ufasaha mambo ya rohoni. Hivo kama mwandishi na mwalimu ilimpasa kutumia vielelezo kama mawingu, matunda, miti n.k ili kufundisha mambo yasiyoonekana yaani mambo ya rohoni
 
Ingetosha naamini kwanza wangebaki Adam na hawa peke Yao lidunia lite😆
 
Unajua kuna vitu huvielewi I used to be like u but elimu ya mambo ya kiroho ni elimu pana sana na inahitaji imani kuielewa Kuna for nutshell mambo ya rohoni yanaongozwa Kwa kanuni binadamu tuliumbwa Kwa mfano wa Mungu so tuna uwezo mkubwa sana ndani yetu nafsi yako inauwezo wa kufanya maamuzi binafsi rejea kwenye mfano wa ibrahim wakati Mungu anampa mtihani wa kumpima imani Kwa kumtoa sadaka mwanawe so kama Mungu angekua anajua ya kwamba ibrahimu hawezi Kwa nn Mungu alimjaribu ibrahimu so Kuna nguvu flani Au nafsi flani binadamu kapewa ambayo Mungu hawezi kuijua

Dini zingekua zinaamini mungu yupo ivi kusingekua na izi contradictons ila mungu kapewa sifa ya kujua kila kitu kabla na baada na kwenye vitabu vya dini vyote ipo ivo sasa wewe ukisema ivo sijui upo dini gani inshot hakuna mungu wa ivyo kwenye uislam wala ukristo na ndo maana kuna mikanganyiko fikirishi mingi.
 
Nimekuuliza swali juu ya source ya mtu..

Umejibu haujui nini source yake

Then kama hujui, naweza kusema pasipo shaka kwamba umekurupuka sana kujibrand ATHEIST kama kuna mambo kwako bado hayaeleweki.

Yaani uko katika upande ambao bado una sintofahamu nyingi. Ungekuwa muungwana sana kubaki hapo katikati huku ukiendelea kufanya research
Hujajibu maswali yangu bado.

Wapi atheism inadai kuwa inajua asili source ya mwanadamu!?
Nani aulimsikia wewe akisema kuwa anajua watu walitokea wapi!?
Hauelewi hata atheist ni mtu wa aina gani.

Kwahyo wewe upande wako hauna sintofahamu kwa kujipa jibu la uongo.?
Ufahamu ulionao ni wa kutoka kwenye mafikara ya watu, mfano. Mungu wa mawinguni, and then kutokea hapo unajenga endless chain of theories na maswali ambayo namna pekee ya kujibu ni kuweka sawa msingi wako wa uelewa.

Sikuzote tunaaddress shida inakoanzia

Shida yako wewe, ni hujakutana na doctrine sahihi ya Mungu.
Hujanijibu swali langu kabla ya kukataa Huyo Mungu wa kwenye biblia siyo wa mawinguni.

Kwanza hujathibitisha kuwa huyo Mungu wako yupo, halafu unataka nitafute muongo aliyesahihi ili anifunze.

Halafu Nmekwambia kuwa mwanafasihi yule wa biblia aliandika mbinguni akimaanisha kuwa ni mawinguni. Ila saiz watu wanafika hawaoni kitu mawinguni nyie kizazi kipya mmeamua kubadilisha.

Nkakwambia bisha..!
 
Hujajibu maswali yangu bado.

Wapi atheism inadai kuwa inajua asili source ya mwanadamu!?
Nani aulimsikia wewe akisema kuwa anajua watu walitokea wapi!?
Hauelewi hata atheist ni mtu wa aina gani.

Kwahyo wewe upande wako hauna sintofahamu kwa kujipa jibu la uongo.?

Hujanijibu swali langu kabla ya kukataa Huyo Mungu wa kwenye biblia siyo wa mawinguni.

Kwanza hujathibitisha kuwa huyo Mungu wako yupo, halafu unataka nitafute muongo aliyesahihi ili anifunze.

Halafu Nmekwambia kuwa mwanafasihi yule wa biblia aliandika mbinguni akimaanisha kuwa ni mawinguni. Ila saiz watu wanafika hawaoni kitu mawinguni nyie kizazi kipya mmeamua kubadilisha.

Nkakwambia bisha..!

Mbona nimeshajibu maswali yako. Check tena replies zangu. Then uje tena
 
Ni hivi kijana Mungu alimuumba binadamu na lengo la Mungu ni kwamba binadamu asife ,kifo kilikuja baada ya binadamu kutenda dhambi ya kula lile tunda ambalo lilikuwa la kutambua mema Na mabaya Na kabla ya kula tunda binadamu alikua haujui ubaya wowote so kula tunda kulifanya binadamu aondoke kwenye lengo la Mungu Kwa kuujua ubaya,na ubaya ndio uliozaa mauti so mauti ilikuja baada ya binadamu kuujua ubaya automatically kifo kikatokea

Wanyama wengine hawajui mema na mabaya, kwanini hao wanakufa? Hujajibu hoja bado
 
Hapana Mwandishi alielewa wazi kabisa kwamba Mungu haishi katika mawingu.

Alitumia mawingu kama kielelezo kufundisha mambo ya rohoni.

Kumbuka kadamnasi yake ilikuwa haiwezi kuelewa kwa ufasaha mambo ya rohoni. Hivo kama mwandishi na mwalimu ilimpasa kutumia vielelezo kama mawingu, matunda, miti n.k ili kufundisha mambo yasiyoonekana yaani mambo ya rohoni
Unauhakika gani kuwa kadamnas yake ilikuwa haiwezi kuelewa.

Mambo ya rohoni ni yapi!?
Rohoni ni wapi?
 
Unauhakika gani kuwa kadamnas yake ilikuwa haiwezi kuelewa.

Mambo ya rohoni ni yapi!?
Rohoni ni wapi?

Unazunguka tena kwenye maswali yale yale ambayo nimeshakujibu.

Roho na rohoni nimeshakuelezea vizuri kabisa.

Bro if the shoe fits, wear it.

Huwezi shindana na facts

Kweli zitabaki kuwa kweli


Ninao uhakika kwamba kadamnasi yake ilikuwa haiwezi kuelewa kwa sababu Mwandishi mara nyingi katika uandishi wake amekuwa akiwashutumu kama ni watu wenye mioyo mizito na migumu kuelewa au kuamini mambo ya rohoni (Kumb 30:11-16)

Pia Mwandishi wa Waebrania anaaddress the same issue ya kutokuamini kwao (Ebrania 4:1-4)

Soma hizo scriptures then come back
 
Unazunguka tena kwenye maswali yale yale ambayo nimeshakujibu.

Roho na rohoni nimeshakuelezea vizuri kabisa.

Bro if the shoe fits, wear it.

Huwezi shindana na facts

Kweli zitabaki kuwa kweli


Ninao uhakika kwamba kadamnasi yake ilikuwa haiwezi kuelewa kwa sababu Mwandishi mara nyingi katika uandishi wake amekuwa akiwashutumu kama ni watu wenye mioyo mizito na migumu kuelewa au kuamini mambo ya rohoni (Kumb 30:11-16)

Pia Mwandishi wa Waebrania anaaddress the same issue ya kutokuamini kwao (Ebrania 4:1-4)

Soma hizo scriptures then come back
Hujanieleza roho ni kiti gan, maybe ni mtu mwingine.

Hapo umeleta ushahidi wa kifungu mtunzi akielezea watu wenye moyo mzito ambao kwanza haiendani na muktadha.
Hiyo inaitwa bible falacy.

Ujue mtindo na dhima ya fasihi yoyote ile huwa inabaki kwa mtunzi mwenyewe.
Unaweza kunieleza nini kimekufanya kudhani kuwa mwandishi alipokuwa akisema mbingu hakumaanisha mwisho wa uono hapo kwenye mawingu (firmament) na ukachukulia kuwa alikuwa anatumia kama mifano tu eti kisa wana mioyo mizito?

Unadhani kwanini mwandishi aliamua kutumia lugha hiyo kwa watu wale ilihali kitabu alikuwa anakitunga kwa ajili ya kusomwa hadi zama kama hizi!?

Tuelewane tu, huu ni ukweli usiopingika Ukisoma kwa uelewa na action unajua kabisa kuwa Mungu yuko juu tena ni kwenye mawingu.

Wajenzi wa mnara wa babeli walitaka kumuona Mungu, sasa jamaa alikuwa mawinguni akapelekewa taarifa kuwa watu wake wanataka kumfikia,
Sasa jamaa huyo wa mawinguni akastuka akaja kukwamisha project.

Inamaana walifikia height gani ya kujenga mnara huo hadi jamaa astuke!?

Hii ni moja ya hadithi ukisoma kwa uelewa unajua kabisa kuwa huyu Mungu anaishi juu hapo kwenye tu kwenye mawingu.

Embu niambie sasa Nini kimekufanya wewe kujua kuwa mbingu hakumaanisha ni hapo mawinguni tu?
 
Psalms 90:10,12
[10]Seventy years is all we have — eighty years, if we are strong; yet all they bring us is trouble and sorrow; life is soon over, and we are gone.

[12]Teach us how short our life is, so that we may become wise.
 
Back
Top Bottom