Faida ya kuishi duniani ni ipi kama tulizaliwa ili tufe?

Faida ya kuishi duniani ni ipi kama tulizaliwa ili tufe?

Ni hivi kijana Mungu alimuumba binadamu na lengo la Mungu ni kwamba binadamu asife ,kifo kilikuja baada ya binadamu kutenda dhambi ya kula lile tunda ambalo lilikuwa la kutambua mema Na mabaya Na kabla ya kula tunda binadamu alikua haujui ubaya wowote so kula tunda kulifanya binadamu aondoke kwenye lengo la Mungu Kwa kuujua ubaya,na ubaya ndio uliozaa mauti so mauti ilikuja baada ya binadamu kuujua ubaya automatically kifo kikatokea
Yeye ni muweza wa kila kitu alikuwa na uwezo kutuumba bila hayo tunayoita madhambi!!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Okay basi wewe ni samaki na ni mbuzi upo katikati... Ongea point sio shiti sawa

Immortality na Mortality sio viumbe mkuu.. unaweza ukagugo kama huelewi.

Inawezekana kabisa this is beyond your comprehension ndio maana unaona ni shit. Utakuwa unafanya vema sana kama utaweza kudigest hii idea. Anyways, ukitulia na kuthink through this ni rahisi sana kukubaliana na mm

Kama Mungu alimuumba Adam na Hawa katika state ya kifo, then tunaweza kuconlude pia kwamba Kifo ni uumbaji wa Mungu. And you will be doctrinally incorrect
 
I also tell young men God is real

Means, ulitaka safari ya moja kwa moja. Lakini hata kusingekwepo na kifo, bado binadamu angeomba afe.
To bealive in God is not about argumentative battle , believe for ur own or not.
 
Ni hivi kijana Mungu alimuumba binadamu na lengo la Mungu ni kwamba binadamu asife ,kifo kilikuja baada ya binadamu kutenda dhambi ya kula lile tunda ambalo lilikuwa la kutambua mema Na mabaya Na kabla ya kula tunda binadamu alikua haujui ubaya wowote so kula tunda kulifanya binadamu aondoke kwenye lengo la Mungu Kwa kuujua ubaya,na ubaya ndio uliozaa mauti so mauti ilikuja baada ya binadamu kuujua ubaya automatically kifo kikatokea
Sas kama lengo la Mungu mwenye uwezo na ujuzi wote ilikuwa kuumba watu wasife, huoni kuwa project yake ilifail!?

Ilikuwaje akatengeneza mazingira ya dhambi kuwezekana!??

Hujawaza kuwa huyo Mungu ndiyo yuko accountable na mazingira ya dhambi kuwezekana?
 
Habari za jioni waungwana !!

Kwa mwenye mahitaji ya digital BP machine na glucometers kwa ajili ya kumonitor blood pressure na blood sugar anicheki inbox. Bei ni very affordable [emoji1545]

Nawakaribisha PM
 
Kuna tofauti gani ya ulichosema na kitu ambacho hakipo...yaani nothing..

Neno ‘Nothing’ Nii katika ukomo wa uelewa wa five senses. Kinaweza kuwepo lakini haimaanishi ni ‘nothing’

Five senses zinaweza kung’amua as ‘Nothing’ na inaweza kuwa sawa kabisa kwa muktadha huo.

I hope unaelewa.
 
Habari zenu,

Natumaini wote wazima.

Huwa najiuliza swali hili kila siku. Na jibu sijawahi kupata, sasa kuna umuhimu gani wa kuishi duniani hali ya kuwa utakufa?

Biblia inasema kuwa Adamu na Hawa walikula tunda pale edeni eti ndo sababu tunakufa. Ina maana kuwa kifo hakikuwa kabla ya kula lile tunda na hata sijui nitunda gani hilo, biblia imetuficha kutupa ukweli.

Sasa kifo na tunda linahusiana na nini? kama MUNGU hakutaka Adam na Hawa wale lile tunda yanini aliliweka kwenye bustani ya edeni? majaribio mengine bana.

Hilo tunda lina ubaya gani? Kitu umekiumba kwanini ukataze kisiliwe? Biblia imetudanganya hapo.

Jamani hata kwa akili ya kawaida kweli upande mazao yako shambani halafu ukataze familia yako kula kweli inakuja? Biblia imeficha ukweli.

Hivi kweli uzae watoto wako alafu uje kuwauwa kisa hawajakutii au hawajafanya utakacho??

Kama tuliumbwa ili tufe ina faida gani kuishi duniani. MUNGU angetuuliza kila mmoja kama utakubali kuishi ili uje kufa baadae kuliko kutufanyia umafia kama huu.

Mtu unahangaika kutafuta maisha kwa kila hali hata mda mwingine hupati milo yako vizuri ili kujibana upate maisha manzuri, sasa unafanya yote ya nini wakati utakufa?

Mambo haya yanachanganya kichwa sana.
Haya maisha hayana formula, ishi kwa kutenda mema na kuyaacha mabaya huku ukimpendeza Mwenyenzi Mungu
 
Now umenarrow down to the core of our discussion.

Huyo Mungu wa juu mawinguni ndio Mungu ambaye hayupo na simjui pia, wala hajaelezewa hivo katika Bibilia.

Bibilia imemuwasilisha kwetu Mungu ambaye ni roho wala hakai sehemu inaitwa mawinguni.

Hiyo idea ya Mungu wa mawinguni ni doctrine ambayo ni potofu na ndio hicho nimekuwa nikikuambia kuwa, msingi wa doctrine yako ukiyumba huko mbele lazima uone biblia ni kitabu cha kutungwa.

Mimi sio mmoja wa hao wanaoamini Mungu anaishi mawinguni, ninaamini kwa ushahidi wa bibilia kuwa Mungu ni roho na anapatikana kila mahali.

Mara nyingi sana Bibilia imekuwa ikiaddress kama “Mungu wa mbinguni” na ikaeleweka vibaya kama Mungu anayeishi mawinguni. Hii ni matokeo ya usomaji mbovu wa maandiko pasipo kuzingatia kanuni zote za kutafsiri maandiko.

Consequently, idea hii imepelekea wengi kuamini kwamba kuna safari ya kwenda mbinguni huko ambako inaaminika Mungu anaishi, which is wrong and indoctrinal.

Ukishaamini hivo lazima uone bibilia ni kitabu cha uongo na cha kutungwa na watu tu.
Mkuu, unajua kusoma kwa uelewa!?

Saiz hamuwezi kukubali kwasababu watu wamefika huko.

Nkisema Mungu wa mawinguni ndo huyo huyo wa mbinguni.

Unaelewa kuwa mwandishi wa hadithi ya biblia alikuwa na mawazo kuwa mbinguni ni hapo kwenye anga/mawingu kama ilivyo kawaida kuonekana?

Bisha.
 
Now umenarrow down to the core of our discussion.

Huyo Mungu wa juu mawinguni ndio Mungu ambaye hayupo na simjui pia, wala hajaelezewa hivo katika Bibilia.

Bibilia imemuwasilisha kwetu Mungu ambaye ni roho wala hakai sehemu inaitwa mawinguni.

Hiyo idea ya Mungu wa mawinguni ni doctrine ambayo ni potofu na ndio hicho nimekuwa nikikuambia kuwa, msingi wa doctrine yako ukiyumba huko mbele lazima uone biblia ni kitabu cha kutungwa.

Mimi sio mmoja wa hao wanaoamini Mungu anaishi mawinguni, ninaamini kwa ushahidi wa bibilia kuwa Mungu ni roho na anapatikana kila mahali.

Mara nyingi sana Bibilia imekuwa ikiaddress kama “Mungu wa mbinguni” na ikaeleweka vibaya kama Mungu anayeishi mawinguni. Hii ni matokeo ya usomaji mbovu wa maandiko pasipo kuzingatia kanuni zote za kutafsiri maandiko.

Consequently, idea hii imepelekea wengi kuamini kwamba kuna safari ya kwenda mbinguni huko ambako inaaminika Mungu anaishi, which is wrong and indoctrinal.

Ukishaamini hivo lazima uone bibilia ni kitabu cha uongo na cha kutungwa na watu tu.
Then njibu maswali yangu nliyokuuliza kwanini umeyaacha.!?
 
Kiongozi hii sawa na kuzaa watoto alafu unaweka shimo kuwa mtatumbukia. Unawawekea shimo la nini? Kuweka ule mti wa ujuzi wa mema na mabaya ilikuwa na haja Gani? Wakati hawakumkosea chochote.?

Na kwanini aliwafukuza bustanini ili wasile matunda ya mti wa uzima wakawa wazima.? Kuna maswali mengi sana hayako pouwa kabisa.
Biblia ni kitabu ambacho mwenye akili timamu akikisoma kwa lengo la kutafuta majibu, anajikuta anaongeza maswali tu.
 
Je unaamini kila chenye mwanzo kina mwisho? Kama kifo hakingekuwepo, hii dunia ingetosha kubeba watu wote?
Unataka kusema kuwa Mungu muweza wa yote angeshindwa kuumba ulimwengu huo ambao kifo hakiwezekani na dunia ikatosha watu wote milele?
 
Neno ‘Nothing’ Nii katika ukomo wa uelewa wa five senses. Kinaweza kuwepo lakini haimaanishi ni ‘nothing’

Five senses zinaweza kung’amua as ‘Nothing’ na inaweza kuwa sawa kabisa kwa muktadha huo.

I hope unaelewa.
Ukomo wa fibe senses!?

Mkuu sijakuelewa hapa, kuna senses zingine labda!?
 
Back
Top Bottom