Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,957
Wapendwa Kwanza Niwatakie Sabato Njema Yenye Raha Na Baraka Tele.
Nimejuzwa Hivi Karibumi Na Mdau Mmoja Aliyebahatika Kusafiri Nchi Nyingi Mbalimbali Kuwa Kuishi Jiji La ''Geneva'' Kuna Faida Nyingi Sana. Mdau Huyo Alitaja Faida Hizo Kuwa Za Aina 2, Yaani Faida Kubwa Na Faida Ndogo.
Kwa Leo Nitaanza Na Faida Ndogo Kama Ifuatavyo:
1) Usafiri:- Ukijipulizia pafyumu Nyumbani Ukapanda Bus Utafika Kazini Ukinukia Pafyumu.
2) Usafiri:- Mabus Siyo Ya Kugombania Labda Upende Mwenyewe!
3) Usafiri:- Hakuna Kusimama Kwenye Mabus Labda Upende Mwenyewe.
4) Usafiri:- Siyo Rahisi Kusikia Harufu Ya
Jasho Hasa La Kikwapa Kutoka Kwa Abiria Mwingine
5) Bar/ Pub/ Grocery:- Mhudumu Hawezi Kukudai Ulipe Bill Kabla Ya Kuondoka. Bill inalipwa Mteja Akimaliza Kunywa Tena Kwa Mteja Kutoa Taarifa Kwa Mhudumu Kuwa Sasa Anaondoka.
5) Wanawaje Wa Jiji Hill Wengi Ni Warembo Sana Japo Hawako Complicated!!
6) Wanawake Wengi Wa Jiji Hilo Ni Warembo Sana Ila Hawapendi Kwenda Shule Bali Hupenda Kazi Za Uhudumu Wa Bar,Vijihotel, Uhouse Girl N.k
7) Wanawake Wa Jiji Hill Ukiwaona Kwa Mara Ya Kwanza Utadhani WanaMaisha Ya Juu Sana
8)Sio Rahisi Wadada Hao Kukupeleka Wanapoishi!
9) Wakazi Wengi Wa Jiji Hilo Hasa Vijana Hupenda Kuongea Mambo Makubwa Sana Hasa Yale Yanayohusu Mipango Mikubwa Ya Pesa Au Deal Za Hatari. Ukiwa Nae Pub Unaweza Mnunulia Bia Nyingi Sana Ukidhani Ni Tajiri Fulani Hivi. Cha Ajabu Waweza Kukuta Mfukoni Ana Buku Moja Tu Ya Bajaji Na Sio Rahisi Aagize Hata Round Moja Ya Bia.
10) Wengi Wao Hasa Kina Dada Ukiwauliza Wanaishi Wapi Watakwambia Wanaishi Njiro Au Sakina Japo Sio Rahisi Wakupeleke Wanakoishi.
10) Siasa:- Wakazi Wengi Wa Jiji Hilo Hadi Sasa Hawajui Kuwa Nchi Yao InaMfumo Wa Vyama Vingi.Wao WanaChama Kimoja Tu Wanachokijua.
11) Matembezi;- Wengi Wao Wakitembea Sana Wameishia Kwa Sadalah Na Wanaamini Hapo Ndio Mwisho Wa Mipaka Ya Nchi Yao!
12) Siasa;- Wakazi Wa Jiji Hilo Wanaamini Mawazo Yao Ndiyo Mawazo Ya Raia Wote Wa Nchi Yao.
13) Ni Jiji Pekee Ambalo Ukiwa Na Bastola Unaweza Tembea Nayo Hadi Bar,Unahakikisha Kila Mtu Anafahamu Kuwa Unayo Bastola, Ni Sifa Kubwa Watu Wakijua Kuwa Unayo Bastola.
14) Ni Jiji Pekee Hadi Leo Wakazi Wake Wanashindana Kwa Idadi Ya Bia Walizokunywa Jana Yake, Pamoja Na Fedha Walizotumia, Idadi Ya Watu Aliowanunulia Bia, Bila Kusahau Vurugu Alizozifanya Jana Usiku.
15)Tajiri Mkubwa Lazima Awe Na Land cruiser Nyingi.
16) Mwanaume Mjanja Wa Jiji Hilo Lazima Alete Story Za Mererani Ndio Ataheshimika.
17) Mjanja Wa Jiji Hill Akipotea Wiki 2 Akirudi Tu Lazima Adai Alikuwa Machimboni Mererani.
18) Wajanja Wa Jiji Hill Wanazo CV Za Matajiri Wote Wakubwa Na Pia Always Watadai Wanafahamiana Nao Na Pia Mara Nyingi Wanakunywa Nao Pamoja Kila Siku
19)Sehemu Muhimu Za Mtoko:
a) Triple A
b) PinPoint
c) Club D
d) Picnic
e) Ma,,,,,ko Bar
f) Mrina
g) Shivers
h) Babylon
I)
Itaendelea.
Karibuni.
Nimejuzwa Hivi Karibumi Na Mdau Mmoja Aliyebahatika Kusafiri Nchi Nyingi Mbalimbali Kuwa Kuishi Jiji La ''Geneva'' Kuna Faida Nyingi Sana. Mdau Huyo Alitaja Faida Hizo Kuwa Za Aina 2, Yaani Faida Kubwa Na Faida Ndogo.
Kwa Leo Nitaanza Na Faida Ndogo Kama Ifuatavyo:
1) Usafiri:- Ukijipulizia pafyumu Nyumbani Ukapanda Bus Utafika Kazini Ukinukia Pafyumu.
2) Usafiri:- Mabus Siyo Ya Kugombania Labda Upende Mwenyewe!
3) Usafiri:- Hakuna Kusimama Kwenye Mabus Labda Upende Mwenyewe.
4) Usafiri:- Siyo Rahisi Kusikia Harufu Ya
Jasho Hasa La Kikwapa Kutoka Kwa Abiria Mwingine
5) Bar/ Pub/ Grocery:- Mhudumu Hawezi Kukudai Ulipe Bill Kabla Ya Kuondoka. Bill inalipwa Mteja Akimaliza Kunywa Tena Kwa Mteja Kutoa Taarifa Kwa Mhudumu Kuwa Sasa Anaondoka.
5) Wanawaje Wa Jiji Hill Wengi Ni Warembo Sana Japo Hawako Complicated!!
6) Wanawake Wengi Wa Jiji Hilo Ni Warembo Sana Ila Hawapendi Kwenda Shule Bali Hupenda Kazi Za Uhudumu Wa Bar,Vijihotel, Uhouse Girl N.k
7) Wanawake Wa Jiji Hill Ukiwaona Kwa Mara Ya Kwanza Utadhani WanaMaisha Ya Juu Sana
8)Sio Rahisi Wadada Hao Kukupeleka Wanapoishi!
9) Wakazi Wengi Wa Jiji Hilo Hasa Vijana Hupenda Kuongea Mambo Makubwa Sana Hasa Yale Yanayohusu Mipango Mikubwa Ya Pesa Au Deal Za Hatari. Ukiwa Nae Pub Unaweza Mnunulia Bia Nyingi Sana Ukidhani Ni Tajiri Fulani Hivi. Cha Ajabu Waweza Kukuta Mfukoni Ana Buku Moja Tu Ya Bajaji Na Sio Rahisi Aagize Hata Round Moja Ya Bia.
10) Wengi Wao Hasa Kina Dada Ukiwauliza Wanaishi Wapi Watakwambia Wanaishi Njiro Au Sakina Japo Sio Rahisi Wakupeleke Wanakoishi.
10) Siasa:- Wakazi Wengi Wa Jiji Hilo Hadi Sasa Hawajui Kuwa Nchi Yao InaMfumo Wa Vyama Vingi.Wao WanaChama Kimoja Tu Wanachokijua.
11) Matembezi;- Wengi Wao Wakitembea Sana Wameishia Kwa Sadalah Na Wanaamini Hapo Ndio Mwisho Wa Mipaka Ya Nchi Yao!
12) Siasa;- Wakazi Wa Jiji Hilo Wanaamini Mawazo Yao Ndiyo Mawazo Ya Raia Wote Wa Nchi Yao.
13) Ni Jiji Pekee Ambalo Ukiwa Na Bastola Unaweza Tembea Nayo Hadi Bar,Unahakikisha Kila Mtu Anafahamu Kuwa Unayo Bastola, Ni Sifa Kubwa Watu Wakijua Kuwa Unayo Bastola.
14) Ni Jiji Pekee Hadi Leo Wakazi Wake Wanashindana Kwa Idadi Ya Bia Walizokunywa Jana Yake, Pamoja Na Fedha Walizotumia, Idadi Ya Watu Aliowanunulia Bia, Bila Kusahau Vurugu Alizozifanya Jana Usiku.
15)Tajiri Mkubwa Lazima Awe Na Land cruiser Nyingi.
16) Mwanaume Mjanja Wa Jiji Hilo Lazima Alete Story Za Mererani Ndio Ataheshimika.
17) Mjanja Wa Jiji Hill Akipotea Wiki 2 Akirudi Tu Lazima Adai Alikuwa Machimboni Mererani.
18) Wajanja Wa Jiji Hill Wanazo CV Za Matajiri Wote Wakubwa Na Pia Always Watadai Wanafahamiana Nao Na Pia Mara Nyingi Wanakunywa Nao Pamoja Kila Siku
19)Sehemu Muhimu Za Mtoko:
a) Triple A
b) PinPoint
c) Club D
d) Picnic
e) Ma,,,,,ko Bar
f) Mrina
g) Shivers
h) Babylon
I)
Itaendelea.
Karibuni.