Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa.Ila nitakuwa tayari kwa loloteMwizi hutakiwi kumuonea aibu, tena yeye ndio apaswa kumwambia kabisa. Wewe ukimfukuza utaonekana unaroho mbaya.
Hapo kwenye kubahatisha Ndio mtihaniDah, mabinti wenye tamaa wameharibu sifa za mabinti wema. Ila kuna binti wa kazi unaweza kubahatisha ukaishi naye yaani kama ndugu. Hadi watu wanakuwa wanakuuliza huyo ni nduguyo.
Hahaa mi siyo mleviInabidi upige hata bia mbili hivi nasikia inatoa aibu. 😂
😂😂 Ukiwa na tamaa unakapitia. Tujinga kweli! Yaani hizo text ndio huwa zinachorwa namna hiyo. No space, no mkato, no herufi kubwa.Faida ya kuishi na binti wa kazi hii
👇👇
Ucheshi baada ya week ya 2
1."shkamoankopolenakazinime kumistunakupendanimesh ndwakuvumiliatanguurudinimoyoahunaamanikwako naombanierewe"
2.silewevibayantiatojua
Simply the plain truth......no story,no fabrication,bibi yenu amrudishe alipomtoa!!!!!
Hapa ngoja nisome story mbalimbali za watu wababe then niige ubabe wao haha😂 Wewe ndugu yangu kabisa. Sasa utafanyaje kuuzuia mshipa?
Changamoto sana, binti tangu afike (ana miezi 9)hajawahi hata kuniona zaidi ya video call mara moja tu tena alipofika nilifahamishwa na ili anifahamu mhusika ikabidi niongee naye kwa video call,😂😂 Ukiwa na tamaa unakapitia. Tujinga kweli! Yaani hizo text ndio huwa zinachorwa namna hiyo. No space, no mkato, no herufi kubwa.
tafuta house boy maana imeshajulikana wanawake mna roho mbaya, mpaka sasa hatujasikia vitimbwi vya house boysHajui huyu....mi nikiongeza mtoto atakuwa ndiyo begi langu...muda wa kazi vingirisha kwenye box...piga kazi huku uachungulia.... walimu wanaosubiri vipindi vyao waendelee kubembeleza....nikifika home najibebisha nae.Mabinti hapana
Inabidi atupe siri, maana sisi tunakutana na matukio huku. 😄Kuna Dada yangu Mmoja aisee ni mkali sana lakini sijui mabinti zake uwa anawapa nini? Mpaka uwaga wanakubali kukaaa bure bila kulipwa na wanakaa zaidi ata ya miaka 5 aisee yule anawaoteaga wafanyakazi
Mkuu inabidi umuepue mapema la sivyo utajikuta umemsalimia. 😂Changamoto sana, binti tangu afike (ana miezi 9)hajawahi hata kuniona zaidi ya video call mara moja tu tena alipofika nilifahamishwa na ili anifahamu mhusika ikabidi niongee naye kwa video call,
Baada ya kurejea sasa naona mauzauza,akili yake inashida si bure.
Sawa mkuutafuta house boy maana imeshajulikana wanawake mna roho mbaya, mpaka sasa hatujasikia vitimbwi vya house boys
Hahaha ! Hapana, atarudi kwao hivi karibuni.Mkuu inabidi umuepue mapema la sivyo utajikuta umemsalimia. 😂