Faida ya kuishi na mfanyakazi kama rafiki wa karibu

Faida ya kuishi na mfanyakazi kama rafiki wa karibu

nikichokigundua wafanyakazi wa kibongo wanataka kutreatiwa kijeshi ukiishi naye kama mtoto wako anakuona hazimo.
Ukiwapigisha gwaride wanatoroka na viatu vya watoto kama jirani yangu. 😂
 
Dah, mabinti wenye tamaa wameharibu sifa za mabinti wema. Ila kuna binti wa kazi unaweza kubahatisha ukaishi naye yaani kama ndugu. Hadi watu wanakuwa wanakuuliza huyo ni nduguyo.
Hapo kwenye kubahatisha Ndio mtihani
Kuna mmoja nilimwambia apunguze kupika vikombe 4 vya mchele maana tumebaki watu 3 tuu ka kasirika anataka kuondoka yan.
 
Faida ya kuishi na binti wa kazi hii
👇👇

Ucheshi baada ya week ya 2

1."shkamoankopolenakazinime kumistunakupendanimesh ndwakuvumiliatanguurudinimoyoahunaamanikwako naombanierewe"

2.silewevibayantiatojua





Simply the plain truth......no story,no fabrication,bibi yenu amrudishe alipomtoa!!!!!
 
Hapo kwenye kubahatisha Ndio mtihani
Kuna mmoja nilimwambia apunguze kupika vikombe 4 vya mchele maana tumebaki watu 3 tuu ka kasirika anataka kuondoka yan.
😂😂 Sasa akipunguza vikombe, atapataje kiporo?
 
Faida ya kuishi na binti wa kazi hii
👇👇

Ucheshi baada ya week ya 2

1."shkamoankopolenakazinime kumistunakupendanimesh ndwakuvumiliatanguurudinimoyoahunaamanikwako naombanierewe"

2.silewevibayantiatojua





Simply the plain truth......no story,no fabrication,bibi yenu amrudishe alipomtoa!!!!!
😂😂 Ukiwa na tamaa unakapitia. Tujinga kweli! Yaani hizo text ndio huwa zinachorwa namna hiyo. No space, no mkato, no herufi kubwa.
 
Kuna Dada yangu Mmoja aisee ni mkali sana lakini sijui mabinti zake uwa anawapa nini? Mpaka uwaga wanakubali kukaaa bure bila kulipwa na wanakaa zaidi ata ya miaka 5 aisee yule anawaoteaga wafanyakazi
 
😂😂 Ukiwa na tamaa unakapitia. Tujinga kweli! Yaani hizo text ndio huwa zinachorwa namna hiyo. No space, no mkato, no herufi kubwa.
Changamoto sana, binti tangu afike (ana miezi 9)hajawahi hata kuniona zaidi ya video call mara moja tu tena alipofika nilifahamishwa na ili anifahamu mhusika ikabidi niongee naye kwa video call,

Baada ya kurejea sasa naona mauzauza,akili yake inashida si bure.
 
Hajui huyu....mi nikiongeza mtoto atakuwa ndiyo begi langu...muda wa kazi vingirisha kwenye box...piga kazi huku uachungulia.... walimu wanaosubiri vipindi vyao waendelee kubembeleza....nikifika home najibebisha nae.Mabinti hapana
tafuta house boy maana imeshajulikana wanawake mna roho mbaya, mpaka sasa hatujasikia vitimbwi vya house boys
 
Kuna Dada yangu Mmoja aisee ni mkali sana lakini sijui mabinti zake uwa anawapa nini? Mpaka uwaga wanakubali kukaaa bure bila kulipwa na wanakaa zaidi ata ya miaka 5 aisee yule anawaoteaga wafanyakazi
Inabidi atupe siri, maana sisi tunakutana na matukio huku. 😄
 
Changamoto sana, binti tangu afike (ana miezi 9)hajawahi hata kuniona zaidi ya video call mara moja tu tena alipofika nilifahamishwa na ili anifahamu mhusika ikabidi niongee naye kwa video call,

Baada ya kurejea sasa naona mauzauza,akili yake inashida si bure.
Mkuu inabidi umuepue mapema la sivyo utajikuta umemsalimia. 😂
 
Back
Top Bottom