Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
We uko wapi Mkuu?!Be serious mkuu acha utani kwa issue sensitive kama hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We uko wapi Mkuu?!Be serious mkuu acha utani kwa issue sensitive kama hizi
Mmmmh ngoja nioneWakuu msaada kwa wale wanaofahamu faida ya biashara ya kuuza nyama ya ngurue ikoje na vip changamoto zake nina mtaji wa laki 2. Vifaa ninavyo. Asanteni.
Wabongo wajuaji kinoma 😊😊😊😂😂 sasa si umpe ushauri mkuu?sio ngurue ni nguruwe
Mkuu, iringa sehemu gani hii?Kwa iringa kilo elfu 6
membersWabongo wajuaji kinoma 😊😊😊😂😂 sasa si umpe ushauri mkuu?
Mtu anayekula kitimoto siku zote ni katili, ukimpunja nyama utakiona cha mtemakuniibia wateja tu ,mpe nusu badala ya kilo
USSR
Iringa yote hata mabanda ya CCMMkuu, iringa sehemu gani hii?
😅😅sio ngurue ni nguruwe
Hahaha daaahMtu anayekula kitimoto siku zote ni katili, ukimpunja nyama utakiona cha mtemakuni
Ishu sensitive ya kitimoto? Kwa mtaji wa laki2... are u serious?Be serious mkuu acha utani kwa issue sensitive kama hizi
Hajui kuwa kwenye kila kilo moja kuna finyango mbili tatu zinaondolewa baada ya kukatwa katwa so muuzaji akiuza kilo kumi au zaidi akaondoa vipande viwili vitatu anapata kilo moja na ushee ya bure . Maana yake ana 12k hadi 15k tayari sasa piga hesabu auze walau kilo 50 kwa sikuKwahiyo ulidhani tunapewa yote?
Watamchinja kule boko haram akiwapelekea kitimotoNtakuunganisha na mwanangu yupo Nigeria Kaskazini mkapige hela.
Kweli huwaona mostly for Christians from up country wana hyo tabia big upMtu anayekula kitimoto siku zote ni katili, ukimpunja nyama utakiona cha mtemakuni