Mkuu hivi unafanya kazi kweli? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Basi sawa tuache huku mikoani kwetu tumeridhika nako..
HeheeUmesahau kuandika kuwa mnapata faida ya kula mahindi ya kuchoma kwa ndimu na pilipili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo wote wanabeba mabox kwa wahindi k/kooMkuu hivi unafanya kazi kweli? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
ndio nafanya kazi kweliMkuu hivi unafanya kazi kweli? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
aaa wapi hamna mkuu sio kila mwanaJF yupo DarJosevarest si nasikia na wewe wa dar
the great
mwambie huyo anaesema kila kitu kipo darHata mihogo mibichi inatoka mikoani
the great
[emoji81][emoji81][emoji81]mambo ya dar hayoMi nimelazwa nna chunusi mbili kidevuni
na wanaume wanaojielewa maarufu kama ben ten wapo dar, wanaume kama kaogee wengi wao wapo dar, wasagaji wengi wao wapo dar kweli hakuna sehemu kama dar... ngoja sisi tuishie huku mikoanii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Teh teh teh teh tehIle 33% ya wanaume wapo Dar
Hongereni wakija likizo msiwasindikize