Faida ya kuwa Dar

Usahau mashoga

2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
 
Akina james delisious wapo dar[emoji3] [emoji3]

brain is the beautiful part of the body.
 
Mkuu hivi unafanya kazi kweli? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
Siyo wote wanabeba mabox kwa wahindi k/koo

brain is the beautiful part of the body.
 
Escrow dar
Makinikia dar
Harbinder singhi dar


2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
 
1, "Ubi bene ibi patria"- Mahali unapojisikia vizuri basi hapo ndiyo nyumbani kwako.
2, "Ubi panis ibi patria"- Mahali unapoweza kupata mkate basi hapo ndiyo nyumbani kwako.
 
Salama Jabir yupo Dar, lol

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
mie nalidhika na Minoan kilimo huko dar kwanza joto la huko mpambane nalo wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…