Faida ya kuwa Dar

Faida ya kuwa Dar

Kweli Dar kuzuri:
Ombaomba wengi wako Dar
Wavuta bangi wengi wako Dar
Mashoga wengi wako Dar
N.k. n.k. n.k.
 
usisahau pia mikoani
kuna viwanda bidhaa zinatoka uku

mahindi pia

magorofa ndefu pia zipo uku

maharage na njegere pia zipo mikoani

nyany na vitunguu pia ni mkoani

haha usisahau pia timu ya mkoa ipo uk

usisahau pia timu ya mtaa ipo uku

NB:kama we mjanja ivo vote hamishia dar
 
7.jpg
Babu atapiga mashine kimasiala ivi
 
Unakuta kaenda kumsalimia mme wa dada yake hongera kwa kua dar.
 
Dah.....kulala saa saba usiku kuamka saa 10 alfajiri[emoji41]

Sent from my beretta ARX 160 using JamiiForums Mobile App
 
Kuna upungufu wa nguvu za kiume.
Dah...wanaume wako busy Dar..... Kulala sanasana masaa 2.....Nguvu za nini sasa[emoji41] [emoji87]

Sent from my beretta ARX 160 using JamiiForums Mobile App
 
wakuu Leo nawaletea faida za kuishi dar mtaongezea za kwenu pia [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Faida ya Kuwa Dar-es-salaam
Rais anaapishwa Dar
Ikulu ipo Dar
Magorofa marefu yapo Dar
Magari ya Mwendokasi yapo Dar
Tren za Mwakyembe zipo Dar
Yanga ipo Dar
Simba ipo Dar
Azam ipo Dar
Bahari ya Hindi ipo Dar
Hospital ya Hindi Taifa ipo Dar
Coco Beach ipo Dar
TV zote kubwa zipo Dar
Radio zote kubwa zipo Dar
Kombe la Dunia liliishia Dar
Mtaa wa Rooney upo Dar
Uwanja wa Kimataifa wa Mwl
Nyerere upo Dar
Uwanja Taifa upo Dar
Uwaja wa Uhulu upo Dar
Ukumbi mkubwa wa Dar Live upo Dar
Wasanii wote wakubwa wapo Dar
*Daraja zuri na lakuvutia la Mwl
Nyerere lipo Dar*
Singeli zipo Dar
Vigodoro vipo Dar
Ndondo Cup ipo Dar
Aliyemkumbatia Rooney yupo Dar
Aliyemkumbatia Kaka wa Brazil yupo
Dar
Michael Jackson aliishia Dar
Obama aliishia Dar
Makilikili yaliishia Dar
Endeleeni kukaa huko huko Mikoani
mkitoa funza Miguuuni
, *Vitu vizuri tunaanza kula sisi
kisha makombo yanapelekwa
Mkoani*
Kama nawaona vile mnataka
kutokwa povu"!! Hahahahaa

Usisahau na bashite yupo dar[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

the great
ivo vitu vya anasa ivo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashoga wako dar
Machangudoa wako dar
Watoto wa mitaani wako dar
Mitaro inayotiririsha vinyesi iko dar
Wanaoletewa chakula toka mikoani wako dar
Wanaume wanaokula sana chips wako dar
Watu wengi wanaofanya biashara wakiwa uchi huku hawaonekani wako dar(kariakoo)
Tatizo kubwa la usafiri,maji,na foleni lipo dar
Nadhani inatosha kwa leo
 
Dar karibia kila kitu mnalishwa na huku mnapopaita mikoani

Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
 
Ila makombo ni chakula kinachomfanya kichaa aishi.....ilo ni fumbo kwa nyie wa dar

rap beast
 
Wachoyo wote wapo Dar kaugali kakula watoto wawili mnataka tule watu wazima nane cjui ni hali ngum au uchoyo tu




Nabaki Hukuhuku....

KIMEO CHANGU
 
Kweli Dar kuzuri:
Ombaomba wengi wako Dar
Wavuta bangi wengi wako Dar
Mashoga wengi wako Dar
N.k. n.k. n.k.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

the great
 
usisahau pia mikoani
kuna viwanda bidhaa zinatoka uku

mahindi pia

magorofa ndefu pia zipo uku

maharage na njegere pia zipo mikoani

nyany na vitunguu pia ni mkoani

haha usisahau pia timu ya mkoa ipo uk

usisahau pia timu ya mtaa ipo uku

NB:kama we mjanja ivo vote hamishia dar
Hata mihogo mibichi inatoka mikoani

the great
 
Dar karibia kila kitu mnalishwa na huku mnapopaita mikoani

Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
Josevarest si nasikia na wewe wa dar

the great
 
Back
Top Bottom