Mohamed Mbelwa
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 507
- 272
Leo hii tumejionea faida kubwa ya wachezaji wa kigeni wanao cheza nchini na juhudi za watanzania kuiga
Ukiangalia kwa undani mchezo wa Leo kati ya UGANDA Na TANZANIA utaona nikwajinsi gani wachezaji wa Tanzania wamecheza mpira wa kuiga wachezaji toka nje ya nchi kama, chama, Kagere ,okwi nk, hiyo ndiyo faida kubwa ya kuwaruhusu wachezaji wa nje kucheza nchini kwa wingi,
Tunaomba TFF waruhudu club kusajiri wachezaji kutoka nje ya nchi kusajiri idadi yoyote ili kuwafanya watanzania wasiwe wageni kwenye mashindano haya,
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiangalia kwa undani mchezo wa Leo kati ya UGANDA Na TANZANIA utaona nikwajinsi gani wachezaji wa Tanzania wamecheza mpira wa kuiga wachezaji toka nje ya nchi kama, chama, Kagere ,okwi nk, hiyo ndiyo faida kubwa ya kuwaruhusu wachezaji wa nje kucheza nchini kwa wingi,
Tunaomba TFF waruhudu club kusajiri wachezaji kutoka nje ya nchi kusajiri idadi yoyote ili kuwafanya watanzania wasiwe wageni kwenye mashindano haya,
Sent using Jamii Forums mobile app