Faida za Hot Towel Katika Mwili

Faida za Hot Towel Katika Mwili

Joined
Aug 18, 2016
Posts
47
Reaction score
26
1. Kichwani: Inafungua vinyweleo na kuondoa sumu zillizohifadhiwa, pia inaboresha mzunguko wa damu na Ukuaji wa Nywele.
2. Usoni: Inafungua vinyweleo na kuifanya ngozi kuwa nyororo.
3. Katika Macho: Huweka sawa misuli inayozunguka eneo la macho ( rectus & oblique muscles.)
4. Katika Shingo: Inaondoa uchovu wa mwili na inaboresha mzunguko wa damu katika mwili mzima.
5. Huondoa Msongo wa Mawazo.
6. Katika Misuli: Inaondoa kukaza kwa misuli na kuipa nguvu.

SIMU: 0715 343 161
 
Back
Top Bottom