I feel good
JF-Expert Member
- Oct 21, 2016
- 804
- 1,362
Faida kutangulia mapema??!!... Faida gani sasa hapo??.. Maisha matamu atiRudia faida namba 5.
Kufa mapema pia ni faida.
Utamu wenyewe hauwi utamu kama hauna HIV., au huwa unapina na kila mtu anayeingia nae kwenye mahusianoHa
Faida kutangulia mapema??!!... Faida gani sasa hapo??.. Maisha matamu ati
Pia kama ulikuwa ukichukua tahadhari juu ya HIV (UKIMWI), yaani bado haujaathirika basi endelea kuchukua tahadhali maana sehemu ya faida nitakazoziweka hapo chini si chochote si lolote ukilinganisha na hasara.Huu ni uchawi
Kweli kabisa.Pima, jitambue, ishi.......
Ana matatizo huyo anitoe kwenye huo ujingaMonetary doctor njoo thibitisha hili la faida za UKIMWI.
HahahahahaAna matatizo huyo anitoe kwenye huo ujinga
Mimi aseeh anitoe huko ........Hahahahaha
NaionaNgoma kama ngoma😂😂😂🫴🫴
Habari za asubuhi?Hakika Virusi hufanya watu wachanganyikiwe!
Ndio kwanza wewe tokea nibandike hili bandiko hapa umeonyesha alau umefika fontuNi sawa shule kwenye biology wanafundisha faida za virusi,na bacteria
Hii naichukua kama faida ya 7Inatengeneza ajira pia