Faida za kuathirika na HIV (UKIMWI

Faida za kuathirika na HIV (UKIMWI

Kweli Tanzania ina vichaa, nilikua nafkiri hawapo !
 
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️

Ndugu yangu leo ngoja nije na faida za kuwa muathirika wa HIV.

Kama wewe ni muathirika wa HIV basi tafadhali soma hadi mwisho itakusaidia.

Pia kama ulikuwa ukichukua tahadhari juu ya HIV (UKIMWI), yaani bado haujaathirika basi endelea kuchukua tahadhali maana sehemu ya faida nitakazoziweka hapo chini si chochote si lolote ukilinganisha na hasara.

Twende sawa.

Unaambiwa katika dunia kila kitu kina hasara na faida. Hivyo kabla kufikilia kufanya unashauliwa kuanza kuangalia pande zote mbili yaani (ADVANTAGE na DESADVANTAGE ) kimombo changu changu kinaweza kisiwe sawa ni kutokana na kiwango chagu cha elimu.

Basi bwana, miongoni mwa faida kubwa ya kuwa muathirika ni

1. KUTOKUWA NA MIPAKA WALA HOFU KATIKA TENDO
Hii hofu juu ya HIV hupunguza sana raha ya tendo na kukosa na umahiri. Pia ukufanya kuwa na mipaka na woga kwenye baadhi ya watu katika jamii yako inayokuzunguka na kupelekea kuwaogopa na kushindwa kufanya nao.

2. KUFANYA KAVU WAKATI WOTE KWA YEYOTE (yaani bila KINGA)

Ndugu yangu asikwambie mtu, miongoni mwa faida waathirika huzipata ni kuinjoi tendo wakati wote bila kukumbuka kinga bila hofu tena.

3. KUTOKUPATA MAGONJWA MADOGO MADOGO YA ZINAA

Unaambiwa dawa za ARV huwa na antibiotic ndani yake hii antibiotic pia huwasaidia waathirika kutokuandamwa na magonjwa madogo madogo mfano UTI, gono, kaswende na magonjwa ya namna hiyo ndio maana sio ajabu kwa muathirika kukwambia kuwa hajui GONO ni nini.

4. KUKUFAYA KUPATA WATOTO KWA WINGI

Ambao bado hawajathirika wengi wao wamekuwa na spidi ndogo ya kupata watoto na hii ni mara kwa mara kuwa na matumizi ya condom hali ambayo huwapelekea spidi yao ya kutia mimba na kutiwa mimba kupungua.

5. KUKUFANYA UFE MAPEMA KABLA YA UKONGWE

Ndugu yangu UKONGWE ni mbaya sana. Hivyo watumia wengi wa ARV hufa mapema kabla ya kuzeeka UKONGWE.

Nikisema UKONGWE namaanisha ile kuanzia miaka 80 na kuendelea jambo ambalo waathirika wengi wa HIV hawafiki.

FAIDA NI NYINGI
ila leo chukua hizo kwa uchache.

Akhsante.
Nahunga mkono hoja
 
Faida kubwa niliyoiona hapo labda ni kuwahi kuonana na muumba mbingu na ardhi.
 
Faida kubwa niliyoiona hapo labda ni kuwahi kuonana na muumba mbingu na ardhi.
Mwanangu wewe umeona kwenye kuwahi KUFA tu,. Angalia angalia vizuri, unaeza pata faida ingine nikupe kama zawadi.
 
2. KUFANYA KAVU WAKATI WOTE KWA YEYOTE (yaani bila KINGA)

Ndugu yangu asikwambie mtu, miongoni mwa faida waathirika huzipata ni kuinjoi tendo wakati wote bila kukumbuka kinga bila hofu tena.

Umeandika hapa bila kufahamu ya kwamba waathirika wa HIV husisitizwa kutumia kinga kwa sababu kuu mbili.

1. Kuzuia kuambukiza wengine
2. Kuzuia wao wenyewe kupata maambukizi mapya (hii ndio umesahau wakati ukileta point yako)
 
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️

Ndugu yangu leo ngoja nije na faida za kuwa muathirika wa HIV.

Kama wewe ni muathirika wa HIV basi tafadhali soma hadi mwisho itakusaidia.

Pia kama ulikuwa ukichukua tahadhari juu ya HIV (UKIMWI), yaani bado haujaathirika basi endelea kuchukua tahadhali maana sehemu ya faida nitakazoziweka hapo chini si chochote si lolote ukilinganisha na hasara.

Twende sawa.

Unaambiwa katika dunia kila kitu kina hasara na faida. Hivyo kabla kufikilia kufanya unashauliwa kuanza kuangalia pande zote mbili yaani (ADVANTAGE na DESADVANTAGE ) kimombo changu changu kinaweza kisiwe sawa ni kutokana na kiwango chagu cha elimu.

Basi bwana, miongoni mwa faida kubwa ya kuwa muathirika ni

1. KUTOKUWA NA MIPAKA WALA HOFU KATIKA TENDO
Hii hofu juu ya HIV hupunguza sana raha ya tendo na kukosa na umahiri. Pia ukufanya kuwa na mipaka na woga kwenye baadhi ya watu katika jamii yako inayokuzunguka na kupelekea kuwaogopa na kushindwa kufanya nao.

2. KUFANYA KAVU WAKATI WOTE KWA YEYOTE (yaani bila KINGA)

Ndugu yangu asikwambie mtu, miongoni mwa faida waathirika huzipata ni kuinjoi tendo wakati wote bila kukumbuka kinga bila hofu tena.

3. KUTOKUPATA MAGONJWA MADOGO MADOGO YA ZINAA

Unaambiwa dawa za ARV huwa na antibiotic ndani yake hii antibiotic pia huwasaidia waathirika kutokuandamwa na magonjwa madogo madogo mfano UTI, gono, kaswende na magonjwa ya namna hiyo ndio maana sio ajabu kwa muathirika kukwambia kuwa hajui GONO ni nini.

4. KUKUFAYA KUPATA WATOTO KWA WINGI

Ambao bado hawajathirika wengi wao wamekuwa na spidi ndogo ya kupata watoto na hii ni mara kwa mara kuwa na matumizi ya condom hali ambayo huwapelekea spidi yao ya kutia mimba na kutiwa mimba kupungua.

5. KUKUFANYA UFE MAPEMA KABLA YA UKONGWE

Ndugu yangu UKONGWE ni mbaya sana. Hivyo watumia wengi wa ARV hufa mapema kabla ya kuzeeka UKONGWE.

Nikisema UKONGWE namaanisha ile kuanzia miaka 80 na kuendelea jambo ambalo waathirika wengi wa HIV hawafiki.

FAIDA NI NYINGI
ila leo chukua hizo kwa uchache.

Akhsante.
Ukimaliza uje na faida za kuwa na gonorea na syphills

N.b
Najua ulikuwa haujui kwamba waathirika wanawaeza kupata maambukizi mapya sasa wewe jiachie na ukimwi wako uje upate hiv virus 2.0 ndo akili itakukaa sawa
 
Ukimaliza uje na faida za kuwa na gonorea na syphills

N.b
Najua ulikuwa haujui kwamba waathirika wanawaeza kupata maambukizi mapya sasa wewe jiachie na ukimwi wako uje upate hiv virus 2.0 ndo akili itakukaa sawa
Hiyo akili kunikaa sawa naamini ipo kwenye faida namba 5
 
Na uchaa wako nikuona UKIMWI una hasara tu
Ulichokiandika kina kinzana na Shirika la Afya duniani pamoja na Wizara ya afya hapo una hatari unaweza kuchukuliwa hatua mdogo wangu
Kuwa na ukimwi sio mwisho wa maisha laki usiandike tena hivi

Labda nikufundishe namna nzuri ya kuandika.....
 
Back
Top Bottom