Faida za kuathirika na HIV (UKIMWI

Faida za kuathirika na HIV (UKIMWI

Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️

Ndugu yangu leo ngoja nije na faida za kuwa muathirika wa HIV.

Kama wewe ni muathirika wa HIV basi tafadhali soma hadi mwisho itakusaidia.

Pia kama ulikuwa ukichukua tahadhari juu ya HIV (UKIMWI), yaani bado haujaathirika basi endelea kuchukua tahadhali maana sehemu ya faida nitakazoziweka hapo chini si chochote si lolote ukilinganisha na hasara.

Twende sawa.

Unaambiwa katika dunia kila kitu kina hasara na faida. Hivyo kabla kufikilia kufanya unashauliwa kuanza kuangalia pande zote mbili yaani (ADVANTAGE na DESADVANTAGE ) kimombo changu changu kinaweza kisiwe sawa ni kutokana na kiwango chagu cha elimu.

Basi bwana, miongoni mwa faida kubwa ya kuwa muathirika ni

1. KUTOKUWA NA MIPAKA WALA HOFU KATIKA TENDO
Hii hofu juu ya HIV hupunguza sana raha ya tendo na kukosa na umahiri. Pia ukufanya kuwa na mipaka na woga kwenye baadhi ya watu katika jamii yako inayokuzunguka na kupelekea kuwaogopa na kushindwa kufanya nao.

2. KUFANYA KAVU WAKATI WOTE KWA YEYOTE (yaani bila KINGA)

Ndugu yangu asikwambie mtu, miongoni mwa faida waathirika huzipata ni kuinjoi tendo wakati wote bila kukumbuka kinga bila hofu tena.

3. KUTOKUPATA MAGONJWA MADOGO MADOGO YA ZINAA

Unaambiwa dawa za ARV huwa na antibiotic ndani yake hii antibiotic pia huwasaidia waathirika kutokuandamwa na magonjwa madogo madogo mfano UTI, gono, kaswende na magonjwa ya namna hiyo ndio maana sio ajabu kwa muathirika kukwambia kuwa hajui GONO ni nini.

4. KUKUFAYA KUPATA WATOTO KWA WINGI

Ambao bado hawajathirika wengi wao wamekuwa na spidi ndogo ya kupata watoto na hii ni mara kwa mara kuwa na matumizi ya condom hali ambayo huwapelekea spidi yao ya kutia mimba na kutiwa mimba kupungua.

5. KUKUFANYA UFE MAPEMA KABLA YA UKONGWE

Ndugu yangu UKONGWE ni mbaya sana. Hivyo watumia wengi wa ARV hufa mapema kabla ya kuzeeka UKONGWE.

Nikisema UKONGWE namaanisha ile kuanzia miaka 80 na kuendelea jambo ambalo waathirika wengi wa HIV hawafiki.

FAIDA NI NYINGI
ila leo chukua hizo kwa uchache.

Akhsante.
Me nikajua sababu za kisayansi kwamba mwili unakuwa na kamechanism Fulani hiviii labda kumbe aaah au basi
 
Pasipo Marekani tusingeweza kuwasiliana anatusaidia sana kwenye technology na mambo mengineyo hivyo basi tutakuwa wendawazimu kwa kutokutambua faida zake

Je unamtambua KONOSUKE MATSUSHITA?
 
Je ni mmarekani au hauutambui mchango wake au haujui hao wamarekani walivyochukua matilio kwake
Ni mjapan alifariki kwa matatizo ya mapafu
Marekani yeye anatengeneza operating system inamaana sawa na roho ya kuendesha mwili

Utatengeneza simu lakini yeye atakupa operating system kwahiyo huwezi kuacha kumtaja
 
Ni mjapan alifariki kwa matatizo ya mapafu
Marekani yeye anatengeneza operating system inamaana sawa na roho ya kuendesha mwili

Utatengeneza simu lakini yeye atakupa operating system kwahiyo huwezi kuacha kumtaja
Hana anachotengeneza zaidi ya WIZI.
Wee subiri Tanzania itokee mali yoyote ya asili ya kipekee katika dunia afu uone mmarekani atakavyokuja kuwahamisha kinyama.
 
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️

Ndugu yangu leo ngoja nije na faida za kuwa muathirika wa HIV.

Kama wewe ni muathirika wa HIV basi tafadhali soma hadi mwisho itakusaidia.

Pia kama ulikuwa ukichukua tahadhari juu ya HIV (UKIMWI), yaani bado haujaathirika basi endelea kuchukua tahadhali maana sehemu ya faida nitakazoziweka hapo chini si chochote si lolote ukilinganisha na hasara.

Twende sawa.

Unaambiwa katika dunia kila kitu kina hasara na faida. Hivyo kabla kufikilia kufanya unashauliwa kuanza kuangalia pande zote mbili yaani (ADVANTAGE na DESADVANTAGE ) kimombo changu changu kinaweza kisiwe sawa ni kutokana na kiwango chagu cha elimu.

Basi bwana, miongoni mwa faida kubwa ya kuwa muathirika ni

1. KUTOKUWA NA MIPAKA WALA HOFU KATIKA TENDO
Hii hofu juu ya HIV hupunguza sana raha ya tendo na kukosa na umahiri. Pia ukufanya kuwa na mipaka na woga kwenye baadhi ya watu katika jamii yako inayokuzunguka na kupelekea kuwaogopa na kushindwa kufanya nao.

2. KUFANYA KAVU WAKATI WOTE KWA YEYOTE (yaani bila KINGA)

Ndugu yangu asikwambie mtu, miongoni mwa faida waathirika huzipata ni kuinjoi tendo wakati wote bila kukumbuka kinga bila hofu tena.

3. KUTOKUPATA MAGONJWA MADOGO MADOGO YA ZINAA

Unaambiwa dawa za ARV huwa na antibiotic ndani yake hii antibiotic pia huwasaidia waathirika kutokuandamwa na magonjwa madogo madogo mfano UTI, gono, kaswende na magonjwa ya namna hiyo ndio maana sio ajabu kwa muathirika kukwambia kuwa hajui GONO ni nini.

4. KUKUFAYA KUPATA WATOTO KWA WINGI

Ambao bado hawajathirika wengi wao wamekuwa na spidi ndogo ya kupata watoto na hii ni mara kwa mara kuwa na matumizi ya condom hali ambayo huwapelekea spidi yao ya kutia mimba na kutiwa mimba kupungua.

5. KUKUFANYA UFE MAPEMA KABLA YA UKONGWE

Ndugu yangu UKONGWE ni mbaya sana. Hivyo watumia wengi wa ARV hufa mapema kabla ya kuzeeka UKONGWE.

Nikisema UKONGWE namaanisha ile kuanzia miaka 80 na kuendelea jambo ambalo waathirika wengi wa HIV hawafiki.

FAIDA NI NYINGI
ila leo chukua hizo kwa uchache.

Akhsante.
bila shaka upo kwenye foolish age ,sasa jichangane ujae kwenye mfumo
 
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️

Ndugu yangu leo ngoja nije na faida za kuwa muathirika wa HIV.

Kama wewe ni muathirika wa HIV basi tafadhali soma hadi mwisho itakusaidia.

Pia kama ulikuwa ukichukua tahadhari juu ya HIV (UKIMWI), yaani bado haujaathirika basi endelea kuchukua tahadhali maana sehemu ya faida nitakazoziweka hapo chini si chochote si lolote ukilinganisha na hasara.

Twende sawa.

Unaambiwa katika dunia kila kitu kina hasara na faida. Hivyo kabla kufikilia kufanya unashauliwa kuanza kuangalia pande zote mbili yaani (ADVANTAGE na DESADVANTAGE ) kimombo changu changu kinaweza kisiwe sawa ni kutokana na kiwango chagu cha elimu.

Basi bwana, miongoni mwa faida kubwa ya kuwa muathirika ni

1. KUTOKUWA NA MIPAKA WALA HOFU KATIKA TENDO
Hii hofu juu ya HIV hupunguza sana raha ya tendo na kukosa na umahiri. Pia ukufanya kuwa na mipaka na woga kwenye baadhi ya watu katika jamii yako inayokuzunguka na kupelekea kuwaogopa na kushindwa kufanya nao.

2. KUFANYA KAVU WAKATI WOTE KWA YEYOTE (yaani bila KINGA)

Ndugu yangu asikwambie mtu, miongoni mwa faida waathirika huzipata ni kuinjoi tendo wakati wote bila kukumbuka kinga bila hofu tena.

3. KUTOKUPATA MAGONJWA MADOGO MADOGO YA ZINAA

Unaambiwa dawa za ARV huwa na antibiotic ndani yake hii antibiotic pia huwasaidia waathirika kutokuandamwa na magonjwa madogo madogo mfano UTI, gono, kaswende na magonjwa ya namna hiyo ndio maana sio ajabu kwa muathirika kukwambia kuwa hajui GONO ni nini.

4. KUKUFAYA KUPATA WATOTO KWA WINGI

Ambao bado hawajathirika wengi wao wamekuwa na spidi ndogo ya kupata watoto na hii ni mara kwa mara kuwa na matumizi ya condom hali ambayo huwapelekea spidi yao ya kutia mimba na kutiwa mimba kupungua.

5. KUKUFANYA UFE MAPEMA KABLA YA UKONGWE

Ndugu yangu UKONGWE ni mbaya sana. Hivyo watumia wengi wa ARV hufa mapema kabla ya kuzeeka UKONGWE.

Nikisema UKONGWE namaanisha ile kuanzia miaka 80 na kuendelea jambo ambalo waathirika wengi wa HIV hawafiki.

FAIDA NI NYINGI
ila leo chukua hizo kwa uchache.

Akhsante.
Kwa maneno mengineni kuwa, ambukiza wengine bila kikomo, leta watoto duniani ambao hutawajibika nao na si ajabu ukafa/mkafa ukiwaacha yatima.
 
Ugonjwa wa Ukimwi bado ni ugonjwa hatari na unao tisha duniani.
 
Back
Top Bottom