Faida za kufanya biashara kama kampuni

Faida za kufanya biashara kama kampuni

Mgoda simtwange

Senior Member
Joined
Sep 7, 2012
Posts
168
Reaction score
64
Kuna faida gani kuendesha biashara au shughuli yoyote kikawaida (yaani bila kusajili kama kampuni) na kuisajili/kuiendesha biashara.shuguli yoyote kama kampuni? Tusaidiane jamani tujue mwelekeo wa maisha yetu hasa sisi vijana
 
Back
Top Bottom