Faida za kula mayai ya kuku wa kienyeji

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363


~~~~~~~BENEFITS OF EATING EGGS~~~~~~~~~~

1. Clean,healthy and convenient.
2. High in amino acids.
3. High in good fats.
4. Promote healthy hair and nails due to good fats and minerals.
5. Inexpensive.
6. Delicious.
7. Quick and easy to cook.


FAIDA YA MAYAI YA KUKU WA KIENYEJI:::

  • Mayai hupunguza athari ya tatizo la moyo kwa kiwango kikubwa sana.
  • Ni chanzo kizuri cha kupunguza protini iliyozidi mwilini.
  • Husaidia kuupa mwili mafuta kiasi yanayohitajika mwilini.
  • Huunguza na kupunguza kiwango cha mafuta yasiyohitajika mwilini.
  • Huondoa sumu iliyojificha mwilini.
  • Husaidia katika kuzifanya kucha na nywele kuwa ngumu.
  • Husaidia katika kuifanya mishipa na damu kufanya kazi kwa uzuri kabisa.
  • Mayai yanasaidia kutunza kumbukumbu.
  • Mayai yanavirutubisho aina ya foleti (folate) ambayo imetengenezwa vidonge, navyo vinashauriwa kwa wajawazito kuvinywa ili kupata chembe hai za damu.
  • Huleta kinga nzuri ya mwili ambayo hupunguza uwezekano wa kupata kansa kwa kiwango kikubwa.
  • Ni chakula bora chenye virutubisho vingi na vyenye kulingana (balanced diet).
  • Hufanya mfumo wa ubongo kufanya kazi vizuri.
  • Huleta usawa katika homoni (hormones).
  • Hulainisha misuli.
  • Huupa mwili nguvu zaidi.
  • Kwa wale wanywaji, mayai mabichi ni kiungo kizuri kuondoa hangover.
  • Inapunguza, kama sio kuondoa ngozi iliyoungua


KWA WALE WENYE MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME KULENI KIINI CHA YAI LA KUKU WA KIENYEJI CHANGANYA NA KIJIKO 1 CHA

ASALI SAFI YA NYUKI KILA SIKU ASUBUHI KISHA NJOO UJE UNIPE FEEDBACK.
 
Hiyo ya kuchanganya na asali mkuu mzizi mkavu.ni ikiwa kibichi au kimechemshwa. Na je asali mbichi mixer limao kila asubui inasaidia nn.
 
No you are wrong, it depend on your age! Good for kids but not for aged persons especially after 35 yrs, they contain too much cholestrol esp the egg yolk!
 
Hiyo ya kuchanganya na asali mkuu mzizi mkavu.ni ikiwa kibichi au kimechemshwa. Na je asali mbichi mixer limao kila asubui inasaidia nn.
Kuchanganya kwa Asali na Yai la kuku wa kienyeji ni Dawa ya nguvu za kiume unachanganya kiini cha yai bichi pamoja na Asali safi mbichi ya nyuki ukiipata ukikosa japo Asali tu pia itasaidia. Unakula kila siku asaubuhi mara moja halfau fanya vitu vyako kwa shemeji yangu utaona maajabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…