Faida za kulala uchi

Unalala sehemu ambazo wewe ni sungura halafu kuna fisi lazima uliwe. Badili mtazamo, kuwa simba wanaokuzunguka wawe fisi otherwise ni suala la muda tu fisi watajua yupo sungura humu anaogopa kuliwa na anajilinda kwa kuvaa manguo.
Chief kama wewe fisi, simba, mbweha lala uchi, hujakatazwa.

Umesoma nilichoandika? ni kauli ya umoja kuwakilisha mtazamo wangu mimi kama mimi. Anika kende zako wazi ukilala ndugu, nchi huru hii.
 
Chief kama wewe fisi, simba, mbweha lala uchi, hujakatazwa.

Umesoma nilichoandika? ni kauli ya umoja kuwakilisha mtazamo wangu mimi kama mimi. Anika kende zako wazi ukilala ndugu, nchi huru hii.
Boss, mm nalala na mke wangu ndani ya nyumba sina sababu ya kuwaza lolote juu ya kuingiliwa.

Wewe umesema vijana wa hovyo wanaweza kukuingilia sasa kwa kuwa upo katika mazingira hatarishi, badili mtazamo wao ndo wakuogope wewe esp ukiwa uchi na si vice versa. Hiyo ndo point yangu. Si kwa nia mbaya.
 
Ngumu kumeza hizi, maisha ya walio wengi bongo ni bahati nasibu, watu wanapumzika tu Wala hawalali, muda mwingi utakuta mtu Hana amani kabisa na Wala hajui kwanini, muda wowote Kuna jambo litamchota.
 
Naanza leo...
 
Maisha mafupi mno kuchukulia kila kitu kimuktadha.

Anyways uwe na siku njema. Msalimie mkeo.
 
Boya nini! Mwanaume unalalaje uchi? Yani mi nikiwa jambazi nikivamia kwako nikikukuta mwanaume umelala uchi naachana na shughuli ya kuchukua mali nakutembezea kichapo hadi ukate moto
 
Hii ni kumwalika popobawa kwa lazima.
 
Popobawa je
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…