kidole cha simba
JF-Expert Member
- Jun 3, 2022
- 1,994
- 2,510
p
pia kulala uchi kwa sisi wanaume kunasababisha KORODANI kujizungusha kwa uhuru zaidi!!!,,,pia,dhakari inendelea kupumua na kunenepa bila shida,,pia ikisimama inasimama kama nguzo ya umeme so inazidi kurefuka,,,,,,,,pia ata ukiachia ushuzi,,haubanwi na nguo!!!!Kwanini unalala uchi ?
1. Kulala bila nguo kunafanya mwili wako uwe relax pamoja na celi za ngozi kupumua haswa.
2. Kulala uchi kwa asilimia 80% huwa wanawahi kupata usingizi zaidi kwa haraka.
3. Kama unajambo lako la imani, ushirikina ulogi, kulala uchi kunachochea jambo lako kutimizika kwa haraka
4. Kulala uchi kwa baadhi ya watu hupata maluelue, ya ndoto n.k.
5. Mchawi anapologa, hupendelea zaidi watu waliovalia nguo tofauti na mtu yupo uchi sababu kumsafirisha mtu aliyeuchi kichawi ni ngumu kama aliyevalia nguo_sababu kuvua nguo inafanya usionekane kwa urahisi koo yako na ndio sababu mchawi ili usimwone sharti avue nguo na sio vaa nguo.
USSR