Faida za kuoa mwanamke mwenye mtoto

Faida za kuoa mwanamke mwenye mtoto

The redemeer

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2025
Posts
1,497
Reaction score
2,681
1.Unamuoa wakati ameshapevuka kiakili tayari (Hana utoto utoto).

2.Atalea vizuri watoto mtakao zaa kwa sababu ameshalea mtoto wa kwanza kwa hiyo anao uzoefu wa kulea.

3.Anajua thamani ya kupendwa kwa sababu alishawahi kutendwa ama kuishi na mwanaume.

4.Hatatamani kukupoteza kwa sababu alishawahi kumpoteza ampendaye huko nyuma.

5.Atajilinda sana asikukosee kwa sababu ameshajifunza kupitia makosa yalio mtokea huko nyuma.

6.Akikukosea atakuwa mwepesi wa kuomba msamaha kwa sababu anajua hasara ya kutokuomba msamaha.

7.Anajua thamani ya kuitwa mke wa fulani, kwa sababu aliwahi kuipata fursa hiyo akaipoteza, au huyo mume fulani alimtumia vibaya.

8.Anajua umuhimu wa kuwa mvumilivu, kwa sababu ameshajifunza na kujua kwamba kila mwanaume ana mapungufu yake hakuna mkamilifu.

9.Una kuwa na uhakika kabisaa kuwa huyo sio Mgumba.

✅ZINGATIA✅

1.Hawa watu wanafaa na wana haki ya kuolewa na kuwa na ndoa zao

2.Kwani hata mungu hutoa nafasi ya pili wakati mtu anamwendea na kumuomba msamaha.

3.Siyo kila mwanamke alie zalia nyumbani ni Malaya

4.Wengine walibakwa, Wengine walitapeliwa na wanaume vicheche.

5.Wengine walifiwa na wenza wao

6.Wengine kwa sababu ya ugumu wa maisha wakalazimika kuzaa wakiwa nyumbani

7.Usimdharau mwanamke kwa hali yoyote aliyo kuwa nayo.

8.Mheshimu mpe thamani yake na mengineo yawezekanayo
 
1.Unamuoa wakati ameshapevuka kiakili tayari (Hana utoto utoto).

2.Atalea vizuri watoto mtakao zaa kwa sababu ameshalea mtoto wa kwanza kwa hiyo anao uzoefu wa kulea.

3.Anajua thamani ya kupendwa kwa sababu alishawahi kutendwa ama kuishi na mwanaume.

4.Hatatamani kukupoteza kwa sababu alishawahi kumpoteza ampendaye huko nyuma.

5.Atajilinda sana asikukosee kwa sababu ameshajifunza kupitia makosa yalio mtokea huko nyuma.

6.Akikukosea atakuwa mwepesi wa kuomba msamaha kwa sababu anajua hasara ya kutokuomba msamaha.

7.Anajua thamani ya kuitwa mke wa fulani, kwa sababu aliwahi kuipata fursa hiyo akaipoteza, au huyo mume fulani alimtumia vibaya.

8.Anajua umuhimu wa kuwa mvumilivu, kwa sababu ameshajifunza na kujua kwamba kila mwanaume ana mapungufu yake hakuna mkamilifu.

9.Una kuwa na uhakika kabisaa kuwa huyo sio Mgumba.

✅ZINGATIA✅

1.Hawa watu wanafaa na wana haki ya kuolewa na kuwa na ndoa zao

2.Kwani hata mungu hutoa nafasi ya pili wakati mtu anamwendea na kumuomba msamaha.

3.Siyo kila mwanamke alie zalia nyumbani ni Malaya

4.Wengine walibakwa, Wengine walitapeliwa na wanaume vicheche.

5.Wengine walifiwa na wenza wao

6.Wengine kwa sababu ya ugumu wa maisha wakalazimika kuzaa wakiwa nyumbani

7.Usimdharau mwanamke kwa hali yoyote aliyo kuwa nayo.

8.Mheshimu mpe thamani yake na mengineo yawezekanayo
Maandiko yanasemajw labda
 
1.Unamuoa wakati ameshapevuka kiakili tayari (Hana utoto utoto).

2.Atalea vizuri watoto mtakao zaa kwa sababu ameshalea mtoto wa kwanza kwa hiyo anao uzoefu wa kulea.

3.Anajua thamani ya kupendwa kwa sababu alishawahi kutendwa ama kuishi na mwanaume.

4.Hatatamani kukupoteza kwa sababu alishawahi kumpoteza ampendaye huko nyuma.

5.Atajilinda sana asikukosee kwa sababu ameshajifunza kupitia makosa yalio mtokea huko nyuma.

6.Akikukosea atakuwa mwepesi wa kuomba msamaha kwa sababu anajua hasara ya kutokuomba msamaha.

7.Anajua thamani ya kuitwa mke wa fulani, kwa sababu aliwahi kuipata fursa hiyo akaipoteza, au huyo mume fulani alimtumia vibaya.

8.Anajua umuhimu wa kuwa mvumilivu, kwa sababu ameshajifunza na kujua kwamba kila mwanaume ana mapungufu yake hakuna mkamilifu.

9.Una kuwa na uhakika kabisaa kuwa huyo sio Mgumba.

✅ZINGATIA✅

1.Hawa watu wanafaa na wana haki ya kuolewa na kuwa na ndoa zao

2.Kwani hata mungu hutoa nafasi ya pili wakati mtu anamwendea na kumuomba msamaha.

3.Siyo kila mwanamke alie zalia nyumbani ni Malaya

4.Wengine walibakwa, Wengine walitapeliwa na wanaume vicheche.

5.Wengine walifiwa na wenza wao

6.Wengine kwa sababu ya ugumu wa maisha wakalazimika kuzaa wakiwa nyumbani

7.Usimdharau mwanamke kwa hali yoyote aliyo kuwa nayo.

8.Mheshimu mpe thamani yake na mengineo yawezekanayo
We ndio mkombozi wao siyo?
 
1.Unamuoa wakati ameshapevuka kiakili tayari (Hana utoto utoto).

2.Atalea vizuri watoto mtakao zaa kwa sababu ameshalea mtoto wa kwanza kwa hiyo anao uzoefu wa kulea.

3.Anajua thamani ya kupendwa kwa sababu alishawahi kutendwa ama kuishi na mwanaume.

4.Hatatamani kukupoteza kwa sababu alishawahi kumpoteza ampendaye huko nyuma.

5.Atajilinda sana asikukosee kwa sababu ameshajifunza kupitia makosa yalio mtokea huko nyuma.

6.Akikukosea atakuwa mwepesi wa kuomba msamaha kwa sababu anajua hasara ya kutokuomba msamaha.

7.Anajua thamani ya kuitwa mke wa fulani, kwa sababu aliwahi kuipata fursa hiyo akaipoteza, au huyo mume fulani alimtumia vibaya.

8.Anajua umuhimu wa kuwa mvumilivu, kwa sababu ameshajifunza na kujua kwamba kila mwanaume ana mapungufu yake hakuna mkamilifu.

9.Una kuwa na uhakika kabisaa kuwa huyo sio Mgumba.

✅ZINGATIA✅

1.Hawa watu wanafaa na wana haki ya kuolewa na kuwa na ndoa zao

2.Kwani hata mungu hutoa nafasi ya pili wakati mtu anamwendea na kumuomba msamaha.

3.Siyo kila mwanamke alie zalia nyumbani ni Malaya

4.Wengine walibakwa, Wengine walitapeliwa na wanaume vicheche.

5.Wengine walifiwa na wenza wao

6.Wengine kwa sababu ya ugumu wa maisha wakalazimika kuzaa wakiwa nyumbani

7.Usimdharau mwanamke kwa hali yoyote aliyo kuwa nayo.

8.Mheshimu mpe thamani yake na mengineo yawezekanayo
Kuna mmoja nampenda sana ila amezaa na mume wa mtu
 
1.Unamuoa wakati ameshapevuka kiakili tayari (Hana utoto utoto).

2.Atalea vizuri watoto mtakao zaa kwa sababu ameshalea mtoto wa kwanza kwa hiyo anao uzoefu wa kulea.

3.Anajua thamani ya kupendwa kwa sababu alishawahi kutendwa ama kuishi na mwanaume.

4.Hatatamani kukupoteza kwa sababu alishawahi kumpoteza ampendaye huko nyuma.

5.Atajilinda sana asikukosee kwa sababu ameshajifunza kupitia makosa yalio mtokea huko nyuma.

6.Akikukosea atakuwa mwepesi wa kuomba msamaha kwa sababu anajua hasara ya kutokuomba msamaha.

7.Anajua thamani ya kuitwa mke wa fulani, kwa sababu aliwahi kuipata fursa hiyo akaipoteza, au huyo mume fulani alimtumia vibaya.

8.Anajua umuhimu wa kuwa mvumilivu, kwa sababu ameshajifunza na kujua kwamba kila mwanaume ana mapungufu yake hakuna mkamilifu.

9.Una kuwa na uhakika kabisaa kuwa huyo sio Mgumba.

✅ZINGATIA✅

1.Hawa watu wanafaa na wana haki ya kuolewa na kuwa na ndoa zao

2.Kwani hata mungu hutoa nafasi ya pili wakati mtu anamwendea na kumuomba msamaha.

3.Siyo kila mwanamke alie zalia nyumbani ni Malaya

4.Wengine walibakwa, Wengine walitapeliwa na wanaume vicheche.

5.Wengine walifiwa na wenza wao

6.Wengine kwa sababu ya ugumu wa maisha wakalazimika kuzaa wakiwa nyumbani

7.Usimdharau mwanamke kwa hali yoyote aliyo kuwa nayo.

8.Mheshimu mpe thamani yake na mengineo yawezekanayo
Sijui umri wako, umeshaoa km ni me, mwanamke ni km kinyonga hubadilika kulingana na hali aliyo nayo.
 
1.Unamuoa wakati ameshapevuka kiakili tayari (Hana utoto utoto).

2.Atalea vizuri watoto mtakao zaa kwa sababu ameshalea mtoto wa kwanza kwa hiyo anao uzoefu wa kulea.

3.Anajua thamani ya kupendwa kwa sababu alishawahi kutendwa ama kuishi na mwanaume.

4.Hatatamani kukupoteza kwa sababu alishawahi kumpoteza ampendaye huko nyuma.

5.Atajilinda sana asikukosee kwa sababu ameshajifunza kupitia makosa yalio mtokea huko nyuma.

6.Akikukosea atakuwa mwepesi wa kuomba msamaha kwa sababu anajua hasara ya kutokuomba msamaha.

7.Anajua thamani ya kuitwa mke wa fulani, kwa sababu aliwahi kuipata fursa hiyo akaipoteza, au huyo mume fulani alimtumia vibaya.

8.Anajua umuhimu wa kuwa mvumilivu, kwa sababu ameshajifunza na kujua kwamba kila mwanaume ana mapungufu yake hakuna mkamilifu.

9.Una kuwa na uhakika kabisaa kuwa huyo sio Mgumba.

✅ZINGATIA✅

1.Hawa watu wanafaa na wana haki ya kuolewa na kuwa na ndoa zao

2.Kwani hata mungu hutoa nafasi ya pili wakati mtu anamwendea na kumuomba msamaha.

3.Siyo kila mwanamke alie zalia nyumbani ni Malaya

4.Wengine walibakwa, Wengine walitapeliwa na wanaume vicheche.

5.Wengine walifiwa na wenza wao

6.Wengine kwa sababu ya ugumu wa maisha wakalazimika kuzaa wakiwa nyumbani

7.Usimdharau mwanamke kwa hali yoyote aliyo kuwa nayo.

8.Mheshimu mpe thamani yake na mengineo yawezekanayo
Makubwaa,aliyemzalisha kaburi lake liko wapi!?????
 
Hii faida sawa na kusema unauza umeme nchi za nje kisha una nunua nchi za nje. Naona
Hiyo ndiyo maana ya biashara. Hujawahi ona kibao kinasema tunanunua na kuuza kuku? Na je hata hujawahi ona kibao chenye kusema tunanunua na kuuza furniture used? Biashara ni kununua na kuuza, hoja ni kuangalia faida iko upande upi
 
Kwenye Ku Bet Tunaiita HANDCAP..

Yaani Unaingia Uwanjani Kabla Mechi Haijaanza Ushapigwa 1-0, Yaani Uanze Kusawazisha Kisha Utafute Magoli Ya Ushindi..

Napo Haiwezekani Kushinda Coz Hata Ukimpiga Watoto Wawili, Yeye Atakuwa Jumla Na Watoto Watatu, Wewe Wawili, Hivyo Itakuwa 3-2..

Alafu X Wake Aanze Kukusimanga Kwa Misemo Ya Ki HipHop "Kwenye Ndoa Yao Kuna Mtoto Wangu"..

ASANTE KWA USHAURI MKUU, ILA BAKI NAO, TUJADILI SUALA LA NCHI KUZALISHA UMEME ZAIDI YA MAHITAJI ILA BADO TUNATAKA KUNUNUA UMEME ETHIOPIA..
 
Haya ni kama yale maelezo ya kwa nini tununue umeme kutoka Ethiopia wakati tuna umeme wa ziada nchini
1000027679.jpg
 
Unaanzaje mechi 2-0 au 1-0. Ni ujinga.

 
Back
Top Bottom