Faida za kuoa mwanamke mwenye mtoto

Faida za kuoa mwanamke mwenye mtoto

Lab
1.Unamuoa wakati ameshapevuka kiakili tayari (Hana utoto utoto).

2.Atalea vizuri watoto mtakao zaa kwa sababu ameshalea mtoto wa kwanza kwa hiyo anao uzoefu wa kulea.

3.Anajua thamani ya kupendwa kwa sababu alishawahi kutendwa ama kuishi na mwanaume.

4.Hatatamani kukupoteza kwa sababu alishawahi kumpoteza ampendaye huko nyuma.

5.Atajilinda sana asikukosee kwa sababu ameshajifunza kupitia makosa yalio mtokea huko nyuma.

6.Akikukosea atakuwa mwepesi wa kuomba msamaha kwa sababu anajua hasara ya kutokuomba msamaha.

7.Anajua thamani ya kuitwa mke wa fulani, kwa sababu aliwahi kuipata fursa hiyo akaipoteza, au huyo mume fulani alimtumia vibaya.

8.Anajua umuhimu wa kuwa mvumilivu, kwa sababu ameshajifunza na kujua kwamba kila mwanaume ana mapungufu yake hakuna mkamilifu.

9.Una kuwa na uhakika kabisaa kuwa huyo sio Mgumba.

โœ…ZINGATIAโœ…

1.Hawa watu wanafaa na wana haki ya kuolewa na kuwa na ndoa zao

2.Kwani hata mungu hutoa nafasi ya pili wakati mtu anamwendea na kumuomba msamaha.

3.Siyo kila mwanamke alie zalia nyumbani ni Malaya

4.Wengine walibakwa, Wengine walitapeliwa na wanaume vicheche.

5.Wengine walifiwa na wenza wao

6.Wengine kwa sababu ya ugumu wa maisha wakalazimika kuzaa wakiwa nyumbani

7.Usimdharau mwanamke kwa hali yoyote aliyo kuwa nayo.

8.Mheshimu mpe thamani yake na mengineo yawezekan
Labda aliyefiwa na Mme ila sio aliyezalishwa na kuachwa. Kimsingi single mother kumuoa ni kujitwisha zigo la misumari
 
1.Unamuoa wakati ameshapevuka kiakili tayari (Hana utoto utoto).

2.Atalea vizuri watoto mtakao zaa kwa sababu ameshalea mtoto wa kwanza kwa hiyo anao uzoefu wa kulea.

3.Anajua thamani ya kupendwa kwa sababu alishawahi kutendwa ama kuishi na mwanaume.

4.Hatatamani kukupoteza kwa sababu alishawahi kumpoteza ampendaye huko nyuma.

5.Atajilinda sana asikukosee kwa sababu ameshajifunza kupitia makosa yalio mtokea huko nyuma.

6.Akikukosea atakuwa mwepesi wa kuomba msamaha kwa sababu anajua hasara ya kutokuomba msamaha.

7.Anajua thamani ya kuitwa mke wa fulani, kwa sababu aliwahi kuipata fursa hiyo akaipoteza, au huyo mume fulani alimtumia vibaya.

8.Anajua umuhimu wa kuwa mvumilivu, kwa sababu ameshajifunza na kujua kwamba kila mwanaume ana mapungufu yake hakuna mkamilifu.

9.Una kuwa na uhakika kabisaa kuwa huyo sio Mgumba.

โœ…ZINGATIAโœ…

1.Hawa watu wanafaa na wana haki ya kuolewa na kuwa na ndoa zao

2.Kwani hata mungu hutoa nafasi ya pili wakati mtu anamwendea na kumuomba msamaha.

3.Siyo kila mwanamke alie zalia nyumbani ni Malaya

4.Wengine walibakwa, Wengine walitapeliwa na wanaume vicheche.

5.Wengine walifiwa na wenza wao

6.Wengine kwa sababu ya ugumu wa maisha wakalazimika kuzaa wakiwa nyumbani

7.Usimdharau mwanamke kwa hali yoyote aliyo kuwa nayo.

8.Mheshimu mpe thamani yake na mengineo yawezekanayo
mwanamke hapevukagi akili, usitudanganye mkuu
nasisitiza usioe mke mwenye umemkuta na mtoto, ukioa jua tu kwamba mpo waume wawili wa huyo mke
 
Kichwa cha habari tu kinaonesha haujitambui nimejitahidi kusoma ulichoandika niseme tu unatakiwa kunyooshwa bado haujanyooka.
 
1.Unamuoa wakati ameshapevuka kiakili tayari (Hana utoto utoto).

2.Atalea vizuri watoto mtakao zaa kwa sababu ameshalea mtoto wa kwanza kwa hiyo anao uzoefu wa kulea.

3.Anajua thamani ya kupendwa kwa sababu alishawahi kutendwa ama kuishi na mwanaume.

4.Hatatamani kukupoteza kwa sababu alishawahi kumpoteza ampendaye huko nyuma.

5.Atajilinda sana asikukosee kwa sababu ameshajifunza kupitia makosa yalio mtokea huko nyuma.

6.Akikukosea atakuwa mwepesi wa kuomba msamaha kwa sababu anajua hasara ya kutokuomba msamaha.

7.Anajua thamani ya kuitwa mke wa fulani, kwa sababu aliwahi kuipata fursa hiyo akaipoteza, au huyo mume fulani alimtumia vibaya.

8.Anajua umuhimu wa kuwa mvumilivu, kwa sababu ameshajifunza na kujua kwamba kila mwanaume ana mapungufu yake hakuna mkamilifu.

9.Una kuwa na uhakika kabisaa kuwa huyo sio Mgumba.

โœ…ZINGATIAโœ…

1.Hawa watu wanafaa na wana haki ya kuolewa na kuwa na ndoa zao

2.Kwani hata mungu hutoa nafasi ya pili wakati mtu anamwendea na kumuomba msamaha.

3.Siyo kila mwanamke alie zalia nyumbani ni Malaya

4.Wengine walibakwa, Wengine walitapeliwa na wanaume vicheche.

5.Wengine walifiwa na wenza wao

6.Wengine kwa sababu ya ugumu wa maisha wakalazimika kuzaa wakiwa nyumbani

7.Usimdharau mwanamke kwa hali yoyote aliyo kuwa nayo.

8.Mheshimu mpe thamani yake na mengineo yawezekanayo
Mwalimu wako wa Marketing alikuwa mbobezi hasa. Hakikisha PM yako iko wazi maana sipati picha mkanyagano wa singo mazazi huko.

On a serious note: Mke mwema inategemea na kiwango chake cha kujitambua, kuijua thamani yake na kujiheshimu bila kujali kama ni singo maza ama la! Na singo maza anayerudi kupasha kiporo na baby daddy wake - loser aliyemzalisha na kisha kumtelekeza hajitambui, hajithamini na ni kahaba tu anayestahili kufurushwa kama mbwa ili arudi huko kwa loser mwenzake! ๐Ÿšฎ
 
Hivi kweli mwanaume mwenye akili timamu unaoa single mother mwenye watoto wawili na si wawili tu ni watoto wawili wa kiume!
SINGLE MOTHER NI HATARI KWA AFYA YAKO KAA NAO MBALI!
 
1.Unamuoa wakati ameshapevuka kiakili tayari (Hana utoto utoto).

2.Atalea vizuri watoto mtakao zaa kwa sababu ameshalea mtoto wa kwanza kwa hiyo anao uzoefu wa kulea.

3.Anajua thamani ya kupendwa kwa sababu alishawahi kutendwa ama kuishi na mwanaume.

4.Hatatamani kukupoteza kwa sababu alishawahi kumpoteza ampendaye huko nyuma.

5.Atajilinda sana asikukosee kwa sababu ameshajifunza kupitia makosa yalio mtokea huko nyuma.

6.Akikukosea atakuwa mwepesi wa kuomba msamaha kwa sababu anajua hasara ya kutokuomba msamaha.

7.Anajua thamani ya kuitwa mke wa fulani, kwa sababu aliwahi kuipata fursa hiyo akaipoteza, au huyo mume fulani alimtumia vibaya.

8.Anajua umuhimu wa kuwa mvumilivu, kwa sababu ameshajifunza na kujua kwamba kila mwanaume ana mapungufu yake hakuna mkamilifu.

9.Una kuwa na uhakika kabisaa kuwa huyo sio Mgumba.

โœ…ZINGATIAโœ…

1.Hawa watu wanafaa na wana haki ya kuolewa na kuwa na ndoa zao

2.Kwani hata mungu hutoa nafasi ya pili wakati mtu anamwendea na kumuomba msamaha.

3.Siyo kila mwanamke alie zalia nyumbani ni Malaya

4.Wengine walibakwa, Wengine walitapeliwa na wanaume vicheche.

5.Wengine walifiwa na wenza wao

6.Wengine kwa sababu ya ugumu wa maisha wakalazimika kuzaa wakiwa nyumbani

7.Usimdharau mwanamke kwa hali yoyote aliyo kuwa nayo.

8.Mheshimu mpe thamani yake na mengineo yawezekanayo
Vizuri kama ukimzidi kipato ila akikuzidi ndio utajua kuwa hujui,na hii usiombe itokee tu ghafla umeshuka yeye akapanda.....
 
Hayo ya nke mwenye ntoto tunakuachia wewe, sisi tunajiuliza:

kwanini tununue umeme ili hali tunao umeme hadi wa kuuza nje
Wizira wamesema kupeleka umeme Kanda ya Kaskazini umeme mwingi unapotea kabla ya kufika uko, lakini ukiangalia mikoa ya mipakani Mfano Mikoa ya Kanda ya ziwa ni mbali lakini umeme kutoka Dar haupotei.
 
1.Unamuoa wakati ameshapevuka kiakili tayari (Hana utoto utoto).

2.Atalea vizuri watoto mtakao zaa kwa sababu ameshalea mtoto wa kwanza kwa hiyo anao uzoefu wa kulea.

3.Anajua thamani ya kupendwa kwa sababu alishawahi kutendwa ama kuishi na mwanaume.

4.Hatatamani kukupoteza kwa sababu alishawahi kumpoteza ampendaye huko nyuma.

5.Atajilinda sana asikukosee kwa sababu ameshajifunza kupitia makosa yalio mtokea huko nyuma.

6.Akikukosea atakuwa mwepesi wa kuomba msamaha kwa sababu anajua hasara ya kutokuomba msamaha.

7.Anajua thamani ya kuitwa mke wa fulani, kwa sababu aliwahi kuipata fursa hiyo akaipoteza, au huyo mume fulani alimtumia vibaya.

8.Anajua umuhimu wa kuwa mvumilivu, kwa sababu ameshajifunza na kujua kwamba kila mwanaume ana mapungufu yake hakuna mkamilifu.

9.Una kuwa na uhakika kabisaa kuwa huyo sio Mgumba.

โœ…ZINGATIAโœ…

1.Hawa watu wanafaa na wana haki ya kuolewa na kuwa na ndoa zao

2.Kwani hata mungu hutoa nafasi ya pili wakati mtu anamwendea na kumuomba msamaha.

3.Siyo kila mwanamke alie zalia nyumbani ni Malaya

4.Wengine walibakwa, Wengine walitapeliwa na wanaume vicheche.

5.Wengine walifiwa na wenza wao

6.Wengine kwa sababu ya ugumu wa maisha wakalazimika kuzaa wakiwa nyumbani

7.Usimdharau mwanamke kwa hali yoyote aliyo kuwa nayo.

8.Mheshimu mpe thamani yake na mengineo yawezekanayo
Single mother sio wa kumwamini kabisa utajuta mda ushaenda. Wana pretend sana
 
Wizira wamesema kupeleka umeme Kanda ya Kaskazini umeme mwingi unapotea kabla ya kufika uko, lakini ukiangalia mikoa ya mipakani Mfano Mikoa ya Kanda ya ziwa ni mbali lakini umeme kutoka Dar haupotei.
kwahiyo kutoka Dar kwenda kigoma huko umeme haupotei, ila kwenda Kilimanjaro unapotea
 
mwanamke hapevukagi akili, usitudanganye mkuu
nasisitiza usioe mke mwenye umemkuta na mtoto, ukioa jua tu kwamba mpo waume wawili wa huyo mke
sio kweli kuwa mnakuwa wanaume wawili bali ukweli ni kuwa aliyemzalisha ndo mumewe.Yule wa pili ni kijakazi wa mume halali ambaye ni yule aliyemzalisha.
 
Safi sana inaonekana unaijua vizuri thamani ya mwanamke
Ni upumbavu kumpa thamani mtu ambaye yy mwenyewe hajipi thamani.
Hata ww kama huna bikra na hujaolewa hujui thamani yako,hivyo huna haki ya kudai thamani kutoka kwa watu wengine.
 
Ni upumbavu kumpa thamani mtu ambaye yy mwenyewe hajipi thamani.
Hata ww kama huna bikra na hujaolewa hujui thamani yako,hivyo huna haki ya kudai thamani kutoka kwa watu wengine.
๐Ÿ˜๐Ÿ˜pole sana mkuu, inaonekana umeumizwa sana na mapenzi
 
Back
Top Bottom